lost account
Member
- Jun 6, 2012
- 26
- 1
"rich dad, poor dad" by robert kiyosaki kilinifungua macho nikiwa first year, GPA sikuiwazia tena though nlijiwekea lengo la kupata 3.5. Toka nmemaliza chuo sijawahi ombwa gpa yangu, hata hizo certificate sijawahi zifuatilia, na ajira siitaji tena baada ya kudhalauriwa na mwajiri wangu wa kwanza!