Balozi limited
JF-Expert Member
- Jun 6, 2022
- 989
- 2,565
Karibuni wateja tuwapatie maeneo kwaajiri ya ujenzi na uwekezaji, yamepimwa na huduma zote za kijamii zipo. Check me via 0620701780.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu sana kujipatia kiwanjaShukrani mkuu
Safi sana.Karibuni tukupatie viwanja kwa mkoa WA dar na pwani kwaajjri ya ujenzi na uwekezaji
Check me via 0620701780. View attachment 2285147View attachment 2285143View attachment 2285146View attachment 2285145View attachment 2285144View attachment 2285148
Sawa ndugu yangu nichek via 0620701780 au nitumie number yako tukupatie plot yako.Nihitaji hvyo vya kiluvya km 3...unaingia na barabara ipi mkuu ile ya kwenda kwa sumaye?
Sawa ndugu yangu nichek via 0620701780 au nitumie number yako tukupatie plot yako.
Sawa ndugu nimeona, tumewasiliana na karibu sana Katika miradi yetu utaifurahia tunaenda vzr utajionea na sio mbaya kuwaalika na Wengine utakapopata wasaa WA kuona projects.Chungulia PM yako
Tajiri vp swala la hati mnatoa kwa mteja akishakamilisha UnunuziSawa ndugu nimeona, tumewasiliana na karibu sana Katika miradi yetu utaifurahia tunaenda vzr utajionea na sio mbaya kuwaalika na Wengine utakapopata wasaa WA kuona projects.
Mteja akishakamilisha ununuzi lile eneo tunalimark as SOLD, na kwa maeneo yote yaliondani ya kampuni inachukua muda kidg kwaajiri ya kuprocessing hati na huwa anakuja ofisini tukisha process as soon as possible tunampatia hati yake kutokana na michakato ya serikali ndio maana huwa inachukua muda kidg lkn kwa upande wetu huwa tunalishughulikia haraka kama kampuni, lkn kama ni mradi WA mtu binafsi tunakupatia hapohapo kwasababu huwa haipitii mchakato wa serikalini.Tajiri vp swala la hati mnatoa kwa mteja akishakamilisha Ununuzi
Vp mna document za umiliki ambazo mnaweza kumuona mteja kabla hajanunua
Karibu sana ndugu yangu maeneo yapo kwaajiri ya ujenzi na Uwekezaji. Especially kwa mikoa ya dar na pwani.Mna langua sana ardhi.
Well noted & thank you ntawatembelea hapa Makumbusho nkipata nafasiMteja akishakamilisha ununuzi lile eneo tunalimark as SOLD, na kwa maeneo yote yaliondani ya kampuni inachukua muda kidg kwaajiri ya kuprocessing hati na huwa anakuja ofisini tukisha process as soon as possible tunampatia hati yake kutokana na michakato ya serikali ndio maana huwa inachukua muda kidg lkn kwa upande wetu huwa tunalishughulikia haraka kama kampuni, lkn kama ni mradi WA mtu binafsi tunakupatia hapohapo kwasababu huwa haipitii mchakato wa serikalini.
Lakini pia kwenye kuonesha miliki kama ununuzi ni mradi wa mtu binafsi kupitia kampuni tunakupigia picha na unaona lkn km ni mradi wa kampuni unafika ofisini, na kupewa maelekezo na kuoneshwa/kupelekwa eneo husika kwahiyo ofisi inadeal navyo. Karibu sana Ndugu.
Warmly welcome ndugu yangu.Well noted & thank you ntawatembelea hapa Makumbusho nkipata nafasi
Bianka vipo ndugu zanguni dar na pwani vimepimwa na huduma za kijamii zipoWarmly welcome ndugu yangu.
VIWANJA BADO VIPO KWAAJIRI YA MAKAZI NA UWEKEZAJI.Bianka vipo ndugu zanguni dar na pwani vimepimwa na huduma za kijamii zipo
Mku hivi vya Kiluvya ni ngapi kwa ngapiKaribuni tukupatie viwanja kwa mkoa WA Dar na Pwani kwaajjri ya ujenzi na uwekezaji
Check me via 0620701780.
Vimepimwa square meter 400, ambapo 20 meter urefu na 20 meter upana.Mku hivi vya Kiluvya ni ngapi kwa ngapi