Pata hadithi mbalimbali za zamani hapa

Pata hadithi mbalimbali za zamani hapa

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Hii ni thread maalum ya kukuunganisha na mastory mbalimbali ya zamani, nyingi zikiwa ni zile tulisimuliwa na Deborah Mwenda akisaidiwa na Eddah Sanga kwenye kipindi cha Mama na mwana, Radio Tanzania Dar es Salaam.

Zifuatazo ni hadithi ntakazozileta wiki hii, wiki ya uhasishaji wa usomaji wa vitabu duniani.

Najua kupitia hadithi hizi tutaunganishwa wapenzi wa majukwaa mbalimbali ya JamiiForums.


1. SAFARI SABA ZA SINBAD

Safari 7 za Sinbad

2. ALADIN NA TAA YA AJABU


3. ALIBABA NA WEZI 40


4. MASIMULIZI KAMILIFU YA ALFU LELA U LELA AU SIKU ELFU MOJA NA MOJA


5. MASHIMO YA MFALME SULEIMAN


6. ADILI NA NDUGUZE:- RIWAYA YA SHAABAN ROBERT


7.HEKAYA ZA ABUNUWASI


 
4. Adili na Nduguzee
5. Mpiga filimbi wa hamelini (yaani kisiasa kukiwa na mada nzito...jamaa wanapiga filimbi kuzusha jambo jingini ili kutuhamisha kimawazo)
 
Hii ni thread maalum ya kukuunganisha na mastory mbalimbali ya zamani, nyingi zikiwa ni zile tulisimuliwa na Deborah Mwenda akisaidiwa na Eddah Sanga kwenye kipindi cha Mama na mwana, Radio Tanzania Dar es Salaam.

Zifuatazo ni hadithi ntakazozileta wiki hii, wiki ya uhasishaji wa usomaji wa vitabu duniani.

Najua kupitia hadithi hizi tutaunganishwa wapenzi wa majukwaa mbalimbali ya JamiiForums.


1. SAFARI SABA ZA SINBAD

Safari 7 za Sinbad

2. ALADIN NA TAA YA AJABU


3. ALIBABA NA WEZI 40


4. MASIMULIZI KAMILIFU YA ALFU LELA U LELA AU SIKU ELFU MOJA NA MOJA


5. MASHIMO YA MFALME SULEIMAN


6. ADILI NA NDUGUZE:- RIWAYA YA SHAABAN ROBERT


UA Jekundu ipo?
 
 
Mwenye kitabu Cha Safari ya Bulicheka na Lizabetha hatupie hadithi humu. Kitabu hicho nilikisomaga muda mrefu enzi nikiwa primary sikufanikiwa kumaliza kurasa za mwishoni zilikuwa zimechanika.
 
Back
Top Bottom