Pata hadithi mbalimbali za zamani hapa

Pata hadithi mbalimbali za zamani hapa

7.HEKAYA ZA ABUNUWASI


Kuna mtu alikuwa anaitafuta hii humuhumu JF
 
Hii ni thread maalum ya kukuunganisha na mastory mbalimbali ya zamani, nyingi zikiwa ni zile tulisimuliwa na Deborah Mwenda akisaidiwa na Eddah Sanga kwenye kipindi cha Mama na mwana, Radio Tanzania Dar es Salaam.

Zifuatazo ni hadithi ntakazozileta wiki hii, wiki ya uhasishaji wa usomaji wa vitabu duniani.

Najua kupitia hadithi hizi tutaunganishwa wapenzi wa majukwaa mbalimbali ya JamiiForums.


1. SAFARI SABA ZA SINBAD

Safari 7 za Sinbad

2. ALADIN NA TAA YA AJABU


3. ALIBABA NA WEZI 40


4. MASIMULIZI KAMILIFU YA ALFU LELA U LELA AU SIKU ELFU MOJA NA MOJA


5. MASHIMO YA MFALME SULEIMAN


6. ADILI NA NDUGUZE:- RIWAYA YA SHAABAN ROBERT


7.HEKAYA ZA ABUNUWASI


Safi sana
 
Hii ni thread maalum ya kukuunganisha na mastory mbalimbali ya zamani, nyingi zikiwa ni zile tulisimuliwa na Deborah Mwenda akisaidiwa na Eddah Sanga kwenye kipindi cha Mama na mwana, Radio Tanzania Dar es Salaam.

Zifuatazo ni hadithi ntakazozileta wiki hii, wiki ya uhasishaji wa usomaji wa vitabu duniani.

Najua kupitia hadithi hizi tutaunganishwa wapenzi wa majukwaa mbalimbali ya JamiiForums.


1. SAFARI SABA ZA SINBAD

Safari 7 za Sinbad

2. ALADIN NA TAA YA AJABU


3. ALIBABA NA WEZI 40


4. MASIMULIZI KAMILIFU YA ALFU LELA U LELA AU SIKU ELFU MOJA NA MOJA


5. MASHIMO YA MFALME SULEIMAN


6. ADILI NA NDUGUZE:- RIWAYA YA SHAABAN ROBERT


7.HEKAYA ZA ABUNUWASI


Mzee bujibuji shukrani sana kwa hizi mambo za kale, hakika wewe sio sharobaro wala bishoo wewe ni simba.
 
Ua nakumbuka mbali sana napokutna na hadithi za kitambo icho japo hizi za apo juu sikuzisoma mwaka flani ndani ya 2005 kurudi nyuma nilikuta kitabu kimeandikwa watoto wa mama ntilie kutoka kabatini na palikua na ma brother wapo secondary mi nikakiona na kuanza kusoma sikujua kama kinatumika shuleni nilijua hadithi tu
aisee nilitumia siku nzima kukisoma nika kimaliza nilikipenda sana Mara paaa form three hii hapa nakutana nacho tena na kukisoma tena hua napata feelings sana nikisoma zile hadithi naisi ndio kama nipo maeneo hayo.
 
Back
Top Bottom