chofachogenda
Senior Member
- Oct 6, 2016
- 107
- 199
Kilomita10 kwa 10 nini?milimita?desimita?mita?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkuu huo ni uchochoro sio kiwanja
Ameshasema ni uwezo wako, kama una milioni mbili unapata uchochoro wa kuwekea kiosk.Mkuu huo ni uchochoro sio kiwanja
mita10 kwa 10 nini?milimita?desimita?mita?
Chumba na sebule unapata vizuri kabisa lakini kama una uwezo unkatiwa 20 kwa 20 ambayo itakuwa milioni nne hata ukitaka 30 kwa 30 unapata ni wewe tu na pesa yako. Muhimu kila mtu amiliki kiwanja mjini hataacha kujenga chumba kimojaMkuu huo ni uchochoro sio kiwanja
Slum village 10 to 10Mkuu huo ni uchochoro sio kiwanja
mbona umeandika kama unakimbizwa, kwa hiyo kila mtu humu anapajua mbezi mzalendo, fafanua toe maelezo mazuri angalau hata mtu anapata picha ya eneo husika, umeshiindwa kupiga hata picha ukaambatanisha hapo???Pata kiwanja 10 kwa 10 kwa shilingi milioni mbili tu eneo la mbezi mzalendo. Usafiri wa bajaji toka mbezi stend ni 1000 tu. Eneo ni kubwa hivyo unakatiwa kutokana na ukubwa unaotaka na hela uliyokuwa nayo.
Kwa mawasiliano zaidi piga 0716694624