Kiti Chema
JF-Expert Member
- Oct 18, 2017
- 1,793
- 1,961
KIGOMAMkoa gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KIGOMAMkoa gani?
Nitafute kwa simuFundi mim nina laptop yang HP probook CORE i7 ilikua ktk chaji ikaanguka chini baada yahapo haikuwaka tena ila moto inaonesha unaingia ktk pc tatzo hai display kitu..nmezunguka kwa mafund chungu mzma kariakoo machinga complx had kwa wahindi wamechemka..naomba msaada wako maan naipend san nataman niuze screpa ila nafs inakataa
Fungus nyuma toa RAM kisha rudishia halafu washa ikigoma hapo nipigie nikuelekeze kwa simuHabari mkuu, mimi Pc yangu ni aina ya Dell haikuwa na tatizo lolote ila ghafla tu naiwasha haiwaki ila inalia king'ola tu kama vile vya kuashirria moto
Badili windows kama huna mafaili ya muhimu lakini kama yapo zuia background processes zote kisha weka kaspersky antivirus hiyo utainunua halafu scan...ukishindwa just call sometimes kuja humu forum ukiwa bize ni ishumkuu mimi kuna virus wameingia wamefunga mafaili yangu siwezi kutumia hadi nifuate maelekezo yao sijui nikadownload kitu gani ambacho ntakuwa nmetumia hela.
naomba maelekezo yako ya haraka
Punguza cursor speed tatizo linaondoka kabisamkuu,min laptop dell inagoma double click toka juzi.
ila cursor inatembea fresh tu
Watakuja watu tu huko mkuu soon tutaanza kutoa training za uhakikaKIGOMA
karibuni sana wakuu.Watakuja watu tu huko mkuu soon tutaanza kutoa training za uhakika
Ok ngoja nijaribuT
Fungus nyuma toa RAM kisha rudishia halafu washa ikigoma hapo nipigie nikuelekeze kwa simu
Install OSMkuu nina HP2000 sijaitumia kama mwezi hivi Ila nimeiwasha hapa haidisplay chochote kioo cheusi lakini taa ya caps lock inablink kila baada ya sekunde3-4,na taa ya WI-FI inawaka.msaada tafadhali
Sorry Mkuu! PC yangu aina ya Dell imegoma kuwaka, na haidisplay chochote. Tatizo litakuwa nini Mkuu?well we are back