Pata msaada wa tatizo lolote la kompyuta hapa

Yangu pia IPO hivi yaan unawasha inaload kama sekunde tano inajizima inawaka tena.
 
Sorry Mkuu japo Nipo outdated na post. pc yangu cursor inatembea ila uki clik kufungua labda file haifungui mpaka nikawa natumia peripheral (yaani mouse ya pembeni) naweza kupata suluhisho
 
mkuu computer yangu ina tatizo la kupenda site za porn kila niki fungua JF lazima inionyeshe dem mwenye SNURA

hapo utatakiwa kutumia freebasics kuperuzi jf maana hakutakuwa na adds zozote
 
mkuu computer yangu ina tatizo la kupenda site za porn kila niki fungua JF lazima inionyeshe dem mwenye SNURA

hapo utatakiwa kutumia freebasics kuperuzi jf maana hakutakuwa na adds zozote
 
Hili tatizo nimekutana nalo sn kwenye desktop but still sijajua jinsi ya kutatua yaan cursor inatembea vzr tu but haifungui chochote kile
Sorry Mkuu japo Nipo outdated na post. pc yangu cursor inatembea ila uki clik kufungua labda file haifungui mpaka nikawa natumia peripheral (yaani mouse ya pembeni) naweza kupata suluhisho
 
wakuu habari nina cpu yangu dell jana nimetumia kutwa ile nazima kuja kuwasha jion imegoma kuwaka inawasha taa za kijani kwnye namba 1 na 3 pia inatoa kimlio mara 1 na pale pakuwashia panawak taa ya orang...msaada
 
computer yangu aina ya dell inawaka na kuonyesha logo ya dell tu ikifika hapo haiendelei hata menu ya msaada au window hamna
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…