Ninja assasin
JF-Expert Member
- Jul 2, 2018
- 2,512
- 5,848
😂😂😂Hii nayo ni baraa jamaa wanatujua nje ndani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
View attachment 1426155
Nimepata contact nyingi ila sioni mahala naweza export! Msaada...
Tumia browser then copy unayohitaji paste katika phonebook kisha saveIla nimeshindwa kuzirudsha kwenye contacts zangu nisaidie
[emoji23][emoji23][emoji23]Hii nayo ni baraa jamaa wanatujua nje ndani
Aisee hawa jamaa wanatujua nje ndani!!!
Wakuu wala hawatufatilii hizi namba wewe eidha ulizitumia invited sms za kawaida au uliziupload katika kutafuta marafiki fisty time wakati unafungua apps ya facebook au kila unapotumia simu mpya sasa wakati wa kuseti inakuuliza kabisa upload contact ili kupata marafiki zaidi na wewe unakubali sawaAmong the things nilikuwa conscious ni kuruhusu app za fb kuaccess contact zangu. Nashangaa kukuta Kuna zaidi ya contact zangu 530 ambazo sielewi fb aliziaccess vipi!! Nilikuwa na deny access kila inapoomba kuchukua contact.
Sasa nimekusoma daaah! Kweli huo mtindo allow ndio ilikuwa tabia yangu hadi rfk yangu aliponikataza.Wakuu wala hawatufatilii hizi namba wewe eidha ulizitumia invited sms za kawaida au uliziupload katika kutafuta marafiki fisty time wakati unafungua apps ya facebook au kila unapotumia simu mpya sasa wakati wa kuseti inakuuliza kabisa upload contact ili kupata marafiki zaidi na wewe unakubali sawa
Sema wengi nyinyi ni wazee wa next next na allow tu bira kusoma maelezoView attachment 1426472
Sent using Jamii Forums mobile app
HATIMAE NIMEIPATA TENAAA MICHEPUKO YANGUUUUU😀😀😀😀😀
HATARIIII
Kama ULIKUWEPOOOOqaswida mix alf raha ya michepuko ya zamani ukiitafa now itashangaa sana alfu lazima ugegede tena bila kubaniwa wala kutumia hela nyingi
Hii imekuwa desturi yetu ya Allow, Agree, Submit toka zamani za program za computer maana Licence agreement kuisoma ni ishu labda tu kama ingekuwa ya udaku hapo wangekuwa wanasoma.Sasa nimekusoma daaah! Kweli huo mtindo allow ndio ilikuwa tabia yangu hadi rfk yangu aliponikataza.
Bado nilikua najiuliza fb kapataje contact zangu wakati nilikuwa nadeny acess? muda huu ndo nimerealize kumbe nilikuwa naruka mkojo nakanyaga kinyesi. Facebook aliinunua WhatsApp Mwaka 2014 WhatsApp iko directly linked na Facebook. Ko nimegundua data zilizopo hapo zilitoka kwenye WhatsApp yangu mwenyewe tena kwa kuiruhusu bila kinyongo. Maana bila kuruhusu access ya contacts huwezi enjoy power ya WhatsApp. Ko jamani hali ndo hiyo.Wakuu wala hawatufatilii hizi namba wewe eidha ulizitumia invited sms za kawaida au uliziupload katika kutafuta marafiki fisty time wakati unafungua apps ya facebook au kila unapotumia simu mpya sasa wakati wa kuseti inakuuliza kabisa upload contact ili kupata marafiki zaidi na wewe unakubali sawa
Sema wengi nyinyi ni wazee wa next next na allow tu bira kusoma maelezoView attachment 1426472
Sent using Jamii Forums mobile app