Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao contacts zako wana namba yako na wameruhusu access.Among the things nilikuwa conscious ni kuruhusu app za fb kuaccess contact zangu. Nashangaa kukuta Kuna zaidi ya contact zangu 530 ambazo sielewi fb aliziaccess vipi!! Nilikuwa na deny access kila inapoomba kuchukua contact.
Pole , naona umevimba mdomo hapo 'avatar'[emoji736][emoji736][emoji736][emoji736][emoji736]
Huu ndio uchawi wa mzungu
Dah nimeshindwa hata kushangaa maana sikuwahi add namba yangu fb.Aisee hawa jamaa wanatujua nje ndani!!!
Nimejisikia ku share njia hii rahisi yakupata namba zako zote za simu za zamani zilizopotea au zile ulizofuta kwa bahati mbaya. Hii ni kwa watumiaji wa facebook tu.
https://m.facebook.com/mobile/facebook/contacts
Pole , naona umevimba mdomo hapo 'avatar'
Nimejisikia ku share njia hii rahisi yakupata namba zako zote za simu za zamani zilizopotea au zile ulizofuta kwa bahati mbaya. Hii ni kwa watumiaji wa facebook tu.
https://m.facebook.com/mobile/facebook/contacts
Mi,i sijaelewa kidogo, kwa mfano ;Asante sana bro,nimepata namba ya mpenzi wangu kipind nipo primary [emoji28][emoji1787][emoji1787]
Hahahaha unadhani sikukumbuki?? Kwa taarifa yako ile namba siku hizi siitumii na huku JF huwa nakufatilia kimya kimya kitambo tu.Nina danga langu la siku nyingi tulipotezana ngoja nilitafute.
Linanipaga mpunga sana
🤣🤣🤣🤣🤣duhhahahaha unadhani sikukumbuki??,kwa taarifa yako ile namba siku hz siitumii na huku jf huwa nakufatilia kimya kimya kitambo tu.
sema ulikuwaga mtamu!!
Sent using Jamii Forums mobile app