Pata namba zako zote za simu za zamani na ulizopoteza kupitia Facebook

Pata namba zako zote za simu za zamani na ulizopoteza kupitia Facebook

Aisee, ni vizuri sana kwa kweli. Nilishawahi kupoteza namba ya dem hivi ila siku ya siku nikaingia cloud nikakuta hadi text zetu na yaliyoendelea hadi leo tangu 2016 yanafurahisha
Mkuu cloud ndo wapi
 
Asante ila ukiachana na kushea link hebu tupatie process ya kuingia kupitia facebook lite yenyewe.
Nenda Facebook lite harafu settings harafu waapakiaji waasiliani ila ubadirishe lugha iwe ya Kiswahili ndo utaona 😁
 
Nenda Facebook lite harafu settings harafu waapakiaji waasiliani ila ubadirishe lugha iwe ya Kiswahili ndo utaona 😁
Asante binafsi hata mimi hua natumia kiswahili.
 
Shukrani muanzisha mada nimepata no za muhimu ..na za shemeji yangu ndo nachat nae kwa kweli
 
Duh aisee sikuwahi kudhani ntapata namba nilizopoteza miaka mingi kirahisi hivi, mtoa mada kunywa soda kwa mangi nakuja kulipa
 
Aisee mpaka nimeona namba ya x wng mmoja ila kashatangulia mbele ya haki[emoji22][emoji22]
 
Back
Top Bottom