Hii ya chumba kimoja self ukipika vinne gharama itakuwajeHapa kuna chumba kimoja kimoja self
Pia chumba Sebule self karibu sana kiongozi
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ya chumba kimoja self ukipika vinne gharama itakuwajeHapa kuna chumba kimoja kimoja self
Pia chumba Sebule self karibu sana kiongozi
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Plan yake ikoje? Nani bei gani???Chora nasi sasa kwa gharama nafuu kabisa
View attachment 2315980
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kanyumba kametulia, wastani hii inaweza kugharimu kiasi gani?Chora nasi sasa kwa gharama nafuu
View attachment 1859733
Nataka ramani ya nyumba hii ila roofing yake sitaki iwe contemplary nataka iwe vigae ya lean to roof.Chora nasi kwa gharama nafuu kabisa
View attachment 1856289
Tamu kweli kweli vyumba vingapi hii?Chora nasi sasa kwa gharama nafuu kabisa
View attachment 2331665
Nipe Bei ya hii ramani.
Haka kwenye picha ya mwisho katamu....vyumba vingapi?Chora nasi kwa gharama nafuu kabisa pia tuna mafundi wenye weledi na walio bobea
Katika maswala ya ujenzi wa nyumba yako pia mafundi walio bobea katika kuezeka nyumba za non-roofing au contemporary house.
View attachment 2337297View attachment 2337298View attachment 2337299
Chora na Jenga nasi kwa gharama nafuu kabisa
View attachment 2337334
Estimated cost mpaka nahamia na begi langu la nguo?Vyumba viwili
Kimoja master
Cha kawaida
Sebule
Dining
Jiko na public toilet
Hiyo gharama nafuu ndio bei gani mzeyaChora nasi kwa gharama nafuu kabisa
View attachment 2342490
Mkuu Msaada Floor plan yake nione ikoje wala isiwe na Vipimo Boss.AsanteVyumba viwili
Vyote self
Sebule
Dining
Jiko
Store
Piga
0689993661
0678195114
Wasap:
0766195115
Email:sirajimsilanga55@gmail.comView attachment 1949533View attachment 1949536View attachment 1949537View attachment 1949539View attachment 1949540View attachment 1949541View attachment 1949542View attachment 1949543View attachment 1949544
Haka bei gani mpaka kuhamia?Chora nasi kwa gharama nafuu
View attachment 1949636
Sawa BossOk mkuu nakutumia
Specs zake zikoje? Idadi ya vyumba30million mkuu mpaka kuhamia karibu sana mkuu
👆Ok mkuu nakutumia