Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zinaanza kupauka na kuweka mistari ya njia za miguu baada ya muda gani?
Nahitaji box 500 kwa 24,000 kama unayo kesho tufanye biasharaJipatie tiles aina mbalimbali
Kwa size 60*60, 50*50, 40*40, 30*30, 25*40
Kwa bei 50*50 _tsh 38000 kwa box..Grada A
Kwa bei 40*40 _tsh 28000, 24000 ,23000
View attachment 1800605
View attachment 1800607
Hapa ndio naishiwa pose la hizi tiles,bora uweke sakafu ya kawaidq au carpet tu.Maana unaweza kujikaza ukanunua tiles,kumbe famba.Baada ya muda unaona zinatengeneza njia ya kwenda jikoni au chooniZinaanza kupauka na kuweka mistari ya njia za miguu baada ya muda gani?
Yeah Grade C bei yake iko chini sana lkn zinaudhaifu flani ivi
Iyo boss bei yake ya mwisho 26500 maana ni nzito
Pambana mkuu kwa 24,500 nakupa dili asubuhi na mapema tena box caton 1000Iyo boss bei yake ya mwisho 26500 maana ni nzito
Sure, ni bora upige skafu ya kawaida ya niru kisha ukapiga carpet manyoya.Hapa ndio naishiwa pose la hizi tiles,bora uweke sakafu ya kawaidq au carpet tu.Maana unaweza kujikaza ukanunua tiles,kumbe famba.Baada ya muda unaona zinatengeneza njia ya kwenda jikoni au chooni