Pata unlimited bundle kwa bei nafuu

Pata unlimited bundle kwa bei nafuu

Ila sikumbuki Kama wasema unaweza kulinganisha watu 65,nakumbuka wamesema unaweza ku connect DEVICE 65
Kwahiyo wananipa unlimited ili niwe na connect devices zangu binafsi 65 kweli kaka? Hapana si hivyo, haipo hivyo mkuu!
 
Kwahiyo wananipa unlimited ili niwe na connect devices zangu binafsi 65 kweli kaka? Hapana si hivyo, haipo hivyo mkuu!
Hujui unachoongea ngoja nikuache tu,nimeuliza kuhusu Azam,inaruhusiwa kuwaunganisha watu na decoder Yako??
 
Wadau nimekua na idea ya biashara ila naombeni, niwashirikishe mlitafakari kwangu naona linaweza kulipa sana!!.

Wazo lenyewe bila kupoteza mda ni: HUDUMA YA WI-FI YA UNLIMITED KULIPIA KWA MWEZI
Tufanye hivi kama upo maeneo ya biashara, chuo, maofisini au popote ambapo kuna watu wenye matumizi ya bando la data, fanya hivi uweze kujipatia kipato ambacho risk ya kupoteza hela ni ndogo sana na faida ni kubwa.

Chukua router ambayo ina unapewa na bando unlimited ambayo tunaiuza kwa sh. Laki moja tu. router hii kila mwezi utakua unalipia laki moja, inauwezo wa KUCONNECT watu 65 kwa wakati mmoja.

so wewe ukishainunua waambie watu kua utakua unawakonnect free WiFi kwa mwezi wanakulipa sh. 10k tu.

Mfano kwenye eneo lako ukipata watu wa uhakika 20 tuu unakua umepata faida ya laki moja kwa mwezi na pia wewe umepata faida ya kua online kila wakati. Na hii nimewekea kiwango cha chini sana ila unaweza hata kupata watu 40 na kuendelea kutokana na eneo ulilopo.

Kama uhitaji utakua mkubwa zaidi unaweza ukachukua router kubwa zaidi unayopewa na speed kubwa zaid, mfano ipo ya 150k, na 200k

SOKO:
Soko ni la uhakika mana watumiaji wa bando la data ni wengi, hakuna mtu utakayemuambia atoe 10k kisha awe anatumia data free mwezi mzima akakataa. Kama huamini jaribu kifanya utafiti kidogo tu, waulize watu waliokuzunguka kua; "unaonaje nikikupa bando la data mwezi mzima alafu uwe unanilipa elfu kumi?" Majibu utakayopata yatakupa picha halisi ya faidaunayoenda kupata. Pia speed ya mtandao kwenye router hizo ni kubwa hivyo itawavutia watu wengi.

UTAPATA WAPI HICHO KIFAA CHA WI-FI(ROUTER)?

Router hizo nitakuuzia mimi na NAKULETEA HADI ULIPO POPOTE TANZANIA FREE DELIVERY.
Malipo ya kifaa yanalipiwa moja kwa moja kwenda tig0 kwa utaratibu nitakaokupatia, utaratibu huo wa kufanya malipo ni utaratibu rasmi, unaweza hata kuuliza watoa huduma kujiridhisha, pia kama tukielewana vizuri unaweza hata kulipia baada ya wewe kupata huduma kamili. ukiwa na swali lolote usisite kuuliza nikupe ufafanuzi!

NICHEKI TUANZE BIASHARA: 0717700921
 
Wadau nimekua na idea ya biashara ila naombeni, niwashirikishe mlitafakari kwangu naona linaweza kulipa sana!!.

Wazo lenyewe bila kupoteza mda ni: HUDUMA YA WI-FI YA UNLIMITED KULIPIA KWA MWEZI
Tufanye hivi kama upo maeneo ya biashara, chuo, maofisini au popote ambapo kuna watu wenye matumizi ya bando la data, fanya hivi uweze kujipatia kipato ambacho risk ya kupoteza hela ni ndogo sana na faida ni kubwa.

Chukua router ambayo ina unapewa na bando unlimited ambayo tunaiuza kwa sh. Laki moja tu. router hii kila mwezi utakua unalipia laki moja, inauwezo wa KUCONNECT watu 65 kwa wakati mmoja.

so wewe ukishainunua waambie watu kua utakua unawakonnect free WiFi kwa mwezi wanakulipa sh. 10k tu.

Mfano kwenye eneo lako ukipata watu wa uhakika 20 tuu unakua umepata faida ya laki moja kwa mwezi na pia wewe umepata faida ya kua online kila wakati. Na hii nimewekea kiwango cha chini sana ila unaweza hata kupata watu 40 na kuendelea kutokana na eneo ulilopo.

Kama uhitaji utakua mkubwa zaidi unaweza ukachukua router kubwa zaidi unayopewa na speed kubwa zaid, mfano ipo ya 150k, na 200k

SOKO:
Soko ni la uhakika mana watumiaji wa bando la data ni wengi, hakuna mtu utakayemuambia atoe 10k kisha awe anatumia data free mwezi mzima akakataa. Kama huamini jaribu kifanya utafiti kidogo tu, waulize watu waliokuzunguka kua; "unaonaje nikikupa bando la data mwezi mzima alafu uwe unanilipa elfu kumi?" Majibu utakayopata yatakupa picha halisi ya faidaunayoenda kupata. Pia speed ya mtandao kwenye router hizo ni kubwa hivyo itawavutia watu wengi.

UTAPATA WAPI HICHO KIFAA CHA WI-FI(ROUTER)?

Router hizo nitakuuzia mimi na NAKULETEA HADI ULIPO POPOTE TANZANIA FREE DELIVERY.
Malipo ya kifaa yanalipiwa moja kwa moja kwenda tig0 kwa utaratibu nitakaokupatia, utaratibu huo wa kufanya malipo ni utaratibu rasmi, unaweza hata kuuliza watoa huduma kujiridhisha, pia kama tukielewana vizuri unaweza hata kulipia baada ya wewe kupata huduma kamili. ukiwa na swali lolote usisite kuuliza nikupe ufafanuzi!

NICHEKI TUANZE BIASHARA: 0717700921
FEEDBACK KUTOKA KWA MTEJA

kuna mwenzetu mmoja yeye baada ya kuona hili wazo aliamua aanze Kwanza kuwaulizia watu wanaotumia internet kama watakua tayari akiona uhitaji wa watu upo ndo achukue kifaa. Sasa kwa juzi na jana tuu, watu aliowapata wenye uhitaji huo ni 22.
Hapo akichukua kifaa anachukua akiwa tayari na soko la kuanzia ambapo ana faida yake 120%.
Naomba niambatanishe na screen shot!
 

Attachments

  • Polish_20240422_084519160.jpg
    Polish_20240422_084519160.jpg
    377.3 KB · Views: 23
Wazo zuri San mkuu mm nimezungukwa na boda boda ningekuwa mjini faster Sana ningekucheki
 
Hujui unachoongea ngoja nikuache tu,nimeuliza kuhusu Azam,inaruhusiwa kuwaunganisha watu na decoder Yako??
Mfano wako hauendani na huduma hii, kupata uhakika kama inaruhusiwa au hairuhusiwi nitakutafutia ile contract ya hii huduma kisha utaona kama it's possible kufanyika au kufanya hii biashara itaenda against the contract. Wewe unazungumzia mfano ambao unahusiana na product nyingine ambayo ipo kundi tofaut kabisa na mtandao wa sim, mfano sahihi ungetakiwa uwe hivi: labda V0da wamekataza hii huduma wakawa wanamtoza faini anayefanya hivi, basi nikiwa mm nazungumzia hiyo huduma kwa TîG0, unaweza ukasema ni kosa na ukatolea mfano voda cause hao wapo kundi moja la products wanazotoa, ila mtandao wa sim na madishi ni vitu tofaut kabisa hakuna ufanano hata kidogo kwenye product zao.
 
Mfano wako hauendani na huduma hii, kupata uhakika kama inaruhusiwa au hairuhusiwi nitakutafutia ile contract ya hii huduma kisha utaona kama it's possible kufanyika au kufanya hii biashara itaenda against the contract. Wewe unazungumzia mfano ambao unahusiana na product nyingine ambayo ipo kundi tofaut kabisa na mtandao wa sim, mfano sahihi ungetakiwa uwe hivi: labda V0da wamekataza hii huduma wakawa wanamtoza faini anayefanya hivi, basi nikiwa mm nazungumzia hiyo huduma kwa TîG0, unaweza ukasema ni kosa na ukatolea mfano voda cause hao wapo kundi moja la products wanazotoa, ila mtandao wa sim na madishi ni vitu tofaut kabisa hakuna ufanano hata kidogo kwenye product zao.
Mimi nahitaji huduma hii ila ni kwa mtandao wa voda. Nataka nitoe huduma hii kijijini kwangu ambako kuna mtandao wa voda tu. Vipi inawezekana? Kama haiwezekani nisaidie namna ya kuwapata watoa huduma hii kwa upande wa voda.
 
Mkuu nikweli nimetoa wazo

Kwenye kufanya jambo lolote lazima uangalie zaidi faida kwa upande wako itakua ni ipi na sio kubania kutotaka mwingine afaidike na jambo unalodanya, kwenye hii fursa niliyoleta as wazo la biashara, utakaponunua kifaa utanufaika na faida kama nilivyoeleza na mm nitanufaika na kukupata wewe mteja wa router. Utaniuliza kwanini nisichukue hizo router nikaweka wifi mwenyewe nikapata faida? Maswali kama haya anaweza kuyauliza mtu asiye na ufaham kabisa wa business cycle. Biashara karibia zote zinakua na mfumo. Ukiuliza swali kama hilo na mimi nitakuuliza kua mfano biashara ya kuuza chakula(mgahawa nk.) Ikiwa inalipa je wauza mchele na ngano na sukari wote wawe mama ntilie!? Jibu nikua haiwezekani so mm naweza kukuuzia kitu , ili nipate faida ila nawewe una nunua kitu kutoka kwangu ili upate faida. Tunategemeana hivyo. Nakushauri kwa biashara hii fanya simple research. Then anza utakujanishukuru, uzuri huduma zangu nyingi wengi hata humu wanazifahamu, sina mbambamba, wale niliowaungia bando za tig0
Gb 5.5 kwa sh.7000
Gb 6.5 kwa sh. 8000
Gb 8 kwa sh. 11000
Gb 30 kwa sh 25000
Gb 35 kwa sh 30000
Gb 48 kwa sh 40000
Wananijua vizuri na hata saiv naunganisha kama yupo anaehitaji tuanze na hizi ndogo ili kujengeana uaminifu, anicheki 0717700921
Kwa haya maelezo ukisema unlimited unamaanisha nini?
 
Sasa kuna kitu hujakijua vizuri hua mitandao mingi inakua na data behind yani mfano kwenye unlimited wanayokupa behinde wanakupa gb 100 kwa mwezi so hua zile gb 100 utakua na uwezo wa kuzitumia kwa 20mbps zikiisha gb 100 mtandao unashuka hadi 2mbps au 1mbps ambayo mkikonnect hata zaidi ya watatu tuu lazima mtandao uende speed ya kobe. KWA UPANDE WANGU, router ninazoziongelea hua zenyewe behinde unapewa Gbs ambazo zimewekwa kwa mfumo ambao ni daily bases, yani mfano kwa siku unaingiziwa gb 40 hizo zitakua zinaenda na speed ya 20MBps zikiisha ndani ya siku hiyo mtandao utarudi hadi 2 mbps, kesho tena 40gb zinatumika kwa speed ya 20mbps zikiisha mtandao utarudi hadi 2 mbps, advantage ya hii ni kua mpaka gb za kutumika kwa speed kubwa ziishe utakuta siku nayo inakaribia kuisha yan unakuta labda ni saa nne au saa tano usiku so ikifika tuu saa sita siku nyingine imeanza na gb za kutumika kwa speed kubwa zinakua zishakua active, so kama ni watu umewawekea hii wata kua na mda mchache sana wa kua na bando lenye speed ndogo kitu ambacho hata wao wanaweza wasishtukie kabisa. Mkuu sijakurupuka. Najua IN AND OUT kuhusiana na hizi Mambo. Mitanda0 pinzani mnisamehe kwa kutoa hii siri ambayo watumiaj wengi wa router hawaijui. Mwenye swali zaidi karibu niulize hapo chini au nipigie kwa no 0717700921
Hizi sio ndio janja janja zenyewe. Lol. Maelezeo yameeleweka.
 
Ila sikumbuki Kama wasema unaweza kulinganisha watu 65,nakumbuka wamesema unaweza ku connect DEVICE 65
Hapa nakubali, mana kweli mtu mmoja anaweza kutumia device zaidi ya moja, mfano sim na pc
 
Mkuu
Hivi kwanini vijana wa kizazi hiki kinawaza kupata hela kiusafiusafi? (White collar job)? Yaani ukiwa umechomekea mkanda nje uko na kalatop kako unapiga hela? Kama janja ya Forex trading? Jidanganye!! Yaani mtandao wa simu ukupe bundle ambalo nawewe unaweza kuwauzia ukapata faida ukiwa kimjinimjini? Hela hiko kwa kuhustle! Huwezi pata hela kirahisi rahisi vinginevyo utapoteza marinda
Umeongea kwa jazba sana kijana atakua kakuelewa lkn
 
Wadau nimekua na idea ya biashara ila naombeni, niwashirikishe mlitafakari kwangu naona linaweza kulipa sana!!.

Wazo lenyewe bila kupoteza mda ni: HUDUMA YA WI-FI YA UNLIMITED KULIPIA KWA MWEZI
Tufanye hivi kama upo maeneo ya biashara, chuo, maofisini au popote ambapo kuna watu wenye matumizi ya bando la data, fanya hivi uweze kujipatia kipato ambacho risk ya kupoteza hela ni ndogo sana na faida ni kubwa.

Chukua router ambayo ina unapewa na bando unlimited ambayo tunaiuza kwa sh. Laki moja tu. router hii kila mwezi utakua unalipia laki moja, inauwezo wa KUCONNECT watu 65 kwa wakati mmoja.

so wewe ukishainunua waambie watu kua utakua unawakonnect free WiFi kwa mwezi wanakulipa sh. 10k tu.

Mfano kwenye eneo lako ukipata watu wa uhakika 20 tuu unakua umepata faida ya laki moja kwa mwezi na pia wewe umepata faida ya kua online kila wakati. Na hii nimewekea kiwango cha chini sana ila unaweza hata kupata watu 40 na kuendelea kutokana na eneo ulilopo.

Kama uhitaji utakua mkubwa zaidi unaweza ukachukua router kubwa zaidi unayopewa na speed kubwa zaid, mfano ipo ya 150k, na 200k

SOKO:
Soko ni la uhakika mana watumiaji wa bando la data ni wengi, hakuna mtu utakayemuambia atoe 10k kisha awe anatumia data free mwezi mzima akakataa. Kama huamini jaribu kifanya utafiti kidogo tu, waulize watu waliokuzunguka kua; "unaonaje nikikupa bando la data mwezi mzima alafu uwe unanilipa elfu kumi?" Majibu utakayopata yatakupa picha halisi ya faidaunayoenda kupata. Pia speed ya mtandao kwenye router hizo ni kubwa hivyo itawavutia watu wengi.

UTAPATA WAPI HICHO KIFAA CHA WI-FI(ROUTER)?

Router hizo nitakuuzia mimi na NAKULETEA HADI ULIPO POPOTE TANZANIA FREE DELIVERY.
Malipo ya kifaa yanalipiwa moja kwa moja kwenda tig0 kwa utaratibu nitakaokupatia, utaratibu huo wa kufanya malipo ni utaratibu rasmi, unaweza hata kuuliza watoa huduma kujiridhisha, pia kama tukielewana vizuri unaweza hata kulipia baada ya wewe kupata huduma kamili. ukiwa na swali lolote usisite kuuliza nikupe ufafanuzi!

NICHEKI TUANZE BIASHARA: 0717700921
Hiyo wifi inauzwa bei gani
 
Wadau nimekua na idea ya biashara ila naombeni, niwashirikishe mlitafakari kwangu naona linaweza kulipa sana!!.

Wazo lenyewe bila kupoteza mda ni: HUDUMA YA WI-FI YA UNLIMITED KULIPIA KWA MWEZI
Tufanye hivi kama upo maeneo ya biashara, chuo, maofisini au popote ambapo kuna watu wenye matumizi ya bando la data, fanya hivi uweze kujipatia kipato ambacho risk ya kupoteza hela ni ndogo sana na faida ni kubwa.

Chukua router ambayo ina unapewa na bando unlimited ambayo tunaiuza kwa sh. Laki moja tu. router hii kila mwezi utakua unalipia laki moja, inauwezo wa KUCONNECT watu 65 kwa wakati mmoja.

so wewe ukishainunua waambie watu kua utakua unawakonnect free WiFi kwa mwezi wanakulipa sh. 10k tu.

Mfano kwenye eneo lako ukipata watu wa uhakika 20 tuu unakua umepata faida ya laki moja kwa mwezi na pia wewe umepata faida ya kua online kila wakati. Na hii nimewekea kiwango cha chini sana ila unaweza hata kupata watu 40 na kuendelea kutokana na eneo ulilopo.

Kama uhitaji utakua mkubwa zaidi unaweza ukachukua router kubwa zaidi unayopewa na speed kubwa zaid, mfano ipo ya 150k, na 200k

SOKO:
Soko ni la uhakika mana watumiaji wa bando la data ni wengi, hakuna mtu utakayemuambia atoe 10k kisha awe anatumia data free mwezi mzima akakataa. Kama huamini jaribu kifanya utafiti kidogo tu, waulize watu waliokuzunguka kua; "unaonaje nikikupa bando la data mwezi mzima alafu uwe unanilipa elfu kumi?" Majibu utakayopata yatakupa picha halisi ya faidaunayoenda kupata. Pia speed ya mtandao kwenye router hizo ni kubwa hivyo itawavutia watu wengi.

UTAPATA WAPI HICHO KIFAA CHA WI-FI(ROUTER)?

Router hizo nitakuuzia mimi na NAKULETEA HADI ULIPO POPOTE TANZANIA FREE DELIVERY.
Malipo ya kifaa yanalipiwa moja kwa moja kwenda tig0 kwa utaratibu nitakaokupatia, utaratibu huo wa kufanya malipo ni utaratibu rasmi, unaweza hata kuuliza watoa huduma kujiridhisha, pia kama tukielewana vizuri unaweza hata kulipia baada ya wewe kupata huduma kamili. ukiwa na swali lolote usisite kuuliza nikupe ufafanuzi!

NICHEKI TUANZE BIASHARA: 0717700921
Kwanini wewe usifungue iyo biashara?
 
Mkuu,
Usijifunge kifikra wenzetu wapo mbele ya muda..

Kule NAIRALAND (mtandao wa Nigeria) haya mawazo nilianza kuyasoma miaka mi 5 iliyopita..

Tumechelewa Sana in Jpm voice
Kupata access ya intwrnet ni lazima mteja awe karibu na eneo ambapo router imefungwa kuna wateja ku-share password au code umeunganisha watu watano ila mtandao unasoma watu 20 wapo online 😀😀
 
Kupata access ya intwrnet ni lazima mteja awe karibu na eneo ambapo router imefungwa kuna wateja ku-share password au code umeunganisha watu watano ila mtandao unasoma watu 20 wapo online 😀😀
Watu ishirini wanaweza kwenda YouTube na kuangalia video ya 720p at the same time kwa internet ya 30Mbps?
 
Wadau nimekua na idea ya biashara ila naombeni, niwashirikishe mlitafakari kwangu naona linaweza kulipa sana!!.

Wazo lenyewe bila kupoteza mda ni: HUDUMA YA WI-FI YA UNLIMITED KULIPIA KWA MWEZI
Tufanye hivi kama upo maeneo ya biashara, chuo, maofisini au popote ambapo kuna watu wenye matumizi ya bando la data, fanya hivi uweze kujipatia kipato ambacho risk ya kupoteza hela ni ndogo sana na faida ni kubwa.

Chukua router ambayo ina unapewa na bando unlimited ambayo tunaiuza kwa sh. Laki moja tu. router hii kila mwezi utakua unalipia laki moja, inauwezo wa KUCONNECT watu 65 kwa wakati mmoja.

so wewe ukishainunua waambie watu kua utakua unawakonnect free WiFi kwa mwezi wanakulipa sh. 10k tu.

Mfano kwenye eneo lako ukipata watu wa uhakika 20 tuu unakua umepata faida ya laki moja kwa mwezi na pia wewe umepata faida ya kua online kila wakati. Na hii nimewekea kiwango cha chini sana ila unaweza hata kupata watu 40 na kuendelea kutokana na eneo ulilopo.

Kama uhitaji utakua mkubwa zaidi unaweza ukachukua router kubwa zaidi unayopewa na speed kubwa zaid, mfano ipo ya 150k, na 200k

SOKO:
Soko ni la uhakika mana watumiaji wa bando la data ni wengi, hakuna mtu utakayemuambia atoe 10k kisha awe anatumia data free mwezi mzima akakataa. Kama huamini jaribu kifanya utafiti kidogo tu, waulize watu waliokuzunguka kua; "unaonaje nikikupa bando la data mwezi mzima alafu uwe unanilipa elfu kumi?" Majibu utakayopata yatakupa picha halisi ya faidaunayoenda kupata. Pia speed ya mtandao kwenye router hizo ni kubwa hivyo itawavutia watu wengi.

UTAPATA WAPI HICHO KIFAA CHA WI-FI(ROUTER)?

Router hizo nitakuuzia mimi na NAKULETEA HADI ULIPO POPOTE TANZANIA FREE DELIVERY.
Malipo ya kifaa yanalipiwa moja kwa moja kwenda tig0 kwa utaratibu nitakaokupatia, utaratibu huo wa kufanya malipo ni utaratibu rasmi, unaweza hata kuuliza watoa huduma kujiridhisha, pia kama tukielewana vizuri unaweza hata kulipia baada ya wewe kupata huduma kamili. ukiwa na swali lolote usisite kuuliza nikupe ufafanuzi!

NICHEKI TUANZE BIASHARA: 0717700921
iko hiv Acha kuwapotosha watu ww hii internet unayoeleza ww. Haina security yakutosha zaid Tu utakua unawauzia na unaibiwa pia hapa kuna vifaa unapaswa utumie Yan WiFi management system sjui kama unanielew Fanya WiFi management system hapa zipo nyingi kuna omada na n.k lkn ukiuza kiholela utaibiwa had ulie
 
Back
Top Bottom