Pata unlimited bundle kwa bei nafuu

Pata unlimited bundle kwa bei nafuu

Utaishia kugombana na watu bure tu, hii mitandao yetu Ina janja janga sana, watakuambia unlimited bundle ila wakishatumia gbs kadhaa ndani ya hata wiki speed ya bundle itakua slow kuzidi hata Kobe, hapo ndo watu wataruka na wewe kama mwewe
Upo sahihi kabisa kaka.

Halotel walikuwa na kifurushi Cha unlimited ila sasa kimepoteza sifa ya kuitwa unlimited..
Watu wengi tunalia sasa 😭
 
Kupata access ya intwrnet ni lazima mteja awe karibu na eneo ambapo router imefungwa kuna wateja ku-share password au code umeunganisha watu watano ila mtandao unasoma watu 20 wapo online 😀😀
Aaaa ww mm nauza WiFi huo upuuz nauju lkn natumia WiFi management system ambayo inamlimit mteja atumie internet Kwa MDA gani pia hata kama ikitokea kascan Kwa mwenzie Sawa itaconnect lkn hatopata internet access mbk aje kwangu nmpe code akijaza ndo anapata internet access umeona then hapo hizo code unakuta nmezitengeneza hiv itumike Kwa MDA flan the ijizime atumie mb kazaa pia ikishajazwa haitawez kutumia tena hata kama akiigawa Kwa mwingine ikishatumika imetumika unaonaj niujanja Tu ukikurupuka utaibiwa kila day aisee
Upo sahihi kabisa kaka.

Halotel walikuwa na kifurushi Cha unlimited ila sasa kimepoteza sifa ya kuitwa unlimited..
Watu wengi tunalia sasa 😭
Isp nzr ni Vodacom
 
Sasa kuna kitu hujakijua vizuri hua mitandao mingi inakua na data behind yani mfano kwenye unlimited wanayokupa behinde wanakupa gb 100 kwa mwezi so hua zile gb 100 utakua na uwezo wa kuzitumia kwa 20mbps zikiisha gb 100 mtandao unashuka hadi 2mbps au 1mbps ambayo mkikonnect hata zaidi ya watatu tuu lazima mtandao uende speed ya kobe. KWA UPANDE WANGU, router ninazoziongelea hua zenyewe behinde unapewa Gbs ambazo zimewekwa kwa mfumo ambao ni daily bases, yani mfano kwa siku unaingiziwa gb 40 hizo zitakua zinaenda na speed ya 20MBps zikiisha ndani ya siku hiyo mtandao utarudi hadi 2 mbps, kesho tena 40gb zinatumika kwa speed ya 20mbps zikiisha mtandao utarudi hadi 2 mbps, advantage ya hii ni kua mpaka gb za kutumika kwa speed kubwa ziishe utakuta siku nayo inakaribia kuisha yan unakuta labda ni saa nne au saa tano usiku so ikifika tuu saa sita siku nyingine imeanza na gb za kutumika kwa speed kubwa zinakua zishakua active, so kama ni watu umewawekea hii wata kua na mda mchache sana wa kua na bando lenye speed ndogo kitu ambacho hata wao wanaweza wasishtukie kabisa. Mkuu sijakurupuka. Najua IN AND OUT kuhusiana na hizi Mambo. Mitanda0 pinzani mnisamehe kwa kutoa hii siri ambayo watumiaj wengi wa router hawaijui. Mwenye swali zaidi karibu niulize hapo chini au nipigie kwa no 0717700921
amna hapo ni kwa airtel tu ndo wanahuo upuuz ila vodacom mm naanza na mbps na 30 namaliza na 30 haijawai kupungua
 
Kuna mtu pale mabibo hostel.
Yeye anasamabaza WI-FI pia lakini
ili upate huduma yake unatakiwa UNUNUE VOCHA.
ana vocha zake anauza shilingi elfu 1.
kwa saa 24 utatumia WI-FI hiyo
so huko mbn watu wengi huo mfumo tunafanya ni simple tu
 
Back
Top Bottom