king of the North
Senior Member
- Jul 26, 2016
- 102
- 55
Bata Soko Lake Daa.awauziki kirahisi kutokana na bei over
Sent from my SM-J320F using JamiiForums mobile app
Sent from my SM-J320F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
vp kuhusu hoja ya bata waliozaliwa pamoja kupandana wao kwa wao hilo linaweza kuwa tatizo la kufa kwa vifaranga?Mimi bata wangu nawatibu kwa kuwaweka katika banda safi muda wote, chakula na maji safi.
Je ikiwa wamepandana bata wa mzao mmoja na nimewapa chanjo dhidi ya bacteria na hao fungus naweza kuwaokoa na vifo?Jibu zuri @Ramea,pia hakikisha dume moja likipanda Mara mbili uza au chinja maana yake wanatakiwa wasije kupandana damu moja,maana ikiwa wamepandana koo moja lazima kaugonjwa kakiwapitia either kutokana na bacteria au viruses lazima watakufa karibu wote
Huyo mdudu usimsifu hadharan hyvo demand yake inaweza ku rise akaadimika[emoji241]Mfugo wowote wenye asili ya uchafu nyama yake tamu sana. Uliwahi kula nyama ya bata ya kuchomwa au nguruwe wa kuchomwa?
duuuuu wamefika being hiyo? aiseeniko dar nauza laki na hamsini kwa mmoja na naanza kuuza mwezi wa nane this year.
Ummemjibu vizuri sanaKomaa na unachokijua na ambacho una uzoefu nacho.Ufugaji wa bata nao utakutoa resi kama hutakuwa na ujasiri wa kupambana na changamoto.
Kumbuka hakuna biashara isiyo na changamoto !!
Kama bdo hicho basi huko kwenye bata jiandae tena kutoka belengeNinachokijua ndo hicho kimenitoa berenge ..
Ahsante kwa maneno mazuri ila inakuwa vyema kutiana moyo, sio kutishiana.Ujasiriamali sio swala la kitoto hata siku moja na sio sehemu ya Show au sehemu ya kutafutia pesa ya kupambana na wabaya wako.
Kuna watu huingia kwa nia ya kutafuta pesa ya kuwaonyesha wabaya wao.
Watu huambiwa kitu fulani kinalipa na hii neno kinalipa ndo huwa inacost watu.
Hakuna kiti inaitwa inalipa. Kama unacho kifanya hakijatatua changamoto za jamii basi hiyo inalipa utaisikia na ndo pale ndani ya mwaka mtu anafanya biashara 10.
Leo tikikitika anaona sio baadae vitunguuu napo anakinbia anaingia kwebye Tango abapiga anaona sio anaingia kwebye kuku wa mayai anapiga anaona ngumu anaacha anaanza kuiza asali nako anapiga anakimbia.
UJASIRIANALI SIO SWALA LA KITOTO INAHITAJI COMMTMENT ISIYO YA KAWAIDA
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Daima sichoki kujifunza ... Ya Mungu mengi - Ya Shetani machache!Kama bdo hicho basi huko kwenye bata jiandae tena kutoka belenge
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Uwezekano upo ...Km inawezekana naomba tutajie changamoto kubwa ulizokutana nazo utakua umetusaidia sisi wenye ndoto za kufuga baadae
Mjasiriamali huwa ni "risk taker" hivyo pambana tu na hivyo changamato za kuku. Kama una soko la uhakika nakuomba usiache kufuga kuku.
yote kwa yote shikamoo Tutor B
Ngoja nikufate PM maana wewe hueleweki,hahahahaahahahaMalhaba my Sweetie! hujambo?
Hapa hapa sebuleni ndo patamu, twende kazi mtoto wa mwanaume!Ngoja nikufate PM maana wewe hueleweki,hahahahaahahaha
Nishakusemesha huko room tayariHapa hapa sebuleni ndo patamu, twende kazi mtoto wa mwanaume!
Nishakusemesha huko room tayari