Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Naona unataka kuanza kula bata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Naona unataka kuanza kula bata
Analisha wenzake kivipi?mkuu fuga bata bukini mkuu wanalipa sana mkuu
mimi nimewafuga for 11 years now bata mmoja analisha wenzake 20 kwa mwaka mzima
Mjasiriamali huwa ni "risk taker" hivyo pambana tu na hivyo changamato za kuku. Kama una soko la uhakika nakuomba usiache kufuga kuku.
yote kwa yote shikamoo Tutor B
Ahsante kwa mawazo yako.MORIA... upo wapi .... I have the same idea ya kufuga in large scale kwa matunzo ya kisasa zaidi .... nimejaribu kuwatunza watoto 11 wa bata walioanguliwa mwezi wa 7 kwa kuwapa broiler starter in first three weeks na baade kuwapa growers mash ikichanganywa na portion ya pumba za mahindi na matokeo ni mazuri sana ... watoto hawa sasa ni wakubwa sana with a high yield in growth
ninachotaka kufanya sasa hivi ni kununua mayai ya bata kwa wafugaji mbalimbali na kuyapeleka kuanguliwa kwa incubator machine .... naanza na mayai 50 ... then from there I can propel the project well
kumbuka bata wanakuwa vizuri kwa malisho ya majani (grazing) na maji kwa ajili ya spreening
kaka hao bata bukin bado wapo?ni wale weupe au?soko lipo kubwa tu mkuu ni juhudi zako kufanya research kujua nani anahitaji na ni wakati gani na je wateja wako ni wapi na je wanamudu bei.
ndio ni wale weupe mkuu na wengine wa kijivukaka hao bata bukin bado wapo?ni wale weupe au?
bata mmoja anauzwa laki na hamsini(150,000) hata wakiwa 30 kwa mwezi hawawezi kula zaidi ya gunia so fanya hivi uza bata mmoja nunua kila mwezi gunia moja 15,000* 10 ni 150,000 bei ya bata mmoja na wakitaga vizuri ukivuna vifaranga 20 kwa astani kwa bata 5 utakuwa na faida kiasi ganiAnalisha wenzake kivipi?
Nashukuru sana mkuu,, ukinielezea kidgo kuhusu hawa bata bukini , ufugaji wake ulivo, nitashukuru sana…!!Fuga bata bukin
Fuga bata bukin
hawa ni bata wa maonesho na mapambo huwa wanauzwa gharama sana na uzalianaji wake ni mdogo unakuta wanataga mara moja au kwa bahati ni mara mbili kwa mwaka na mayai unakuta hayazidi sitaNashukuru sana mkuu,, ukinielezea kidgo kuhusu hawa bata bukini , ufugaji wake ulivo, nitashukuru sana…!!
Kuna tatizo lolote kufga bata wa ukoo mmojamkuu kwa hawa bata wa kienyeji huwa hawana shida wao wanazaliana sana cha muhimu matunzo tu tafuta dume zuri na tetea hapo hakikisha unanunua mbegu kutoka sehemu tofauti ili usifuge wa ukoo mmoja,andaa sehemu nzuri ya kuwaweka na chakula tafuta pumba ya mahindi unawawekea kwenye chombo na pembeni unawawekea maji mengi ya kunywa wao ni maji tu halafu ili wapate vitamini kila siku iwe unawatupia mboga za majani na mabaki ya vyakula mbona utafurahi sana kuhusu dawa mimi huwa siwapi dawa yoyote wao hawana shida
ndio mkuu inatakiwa mbegu utafute kwenye vyanzo tofauti na wakishazaliana madume ya mwanzo pamoja na yale yaliyozaliwa unayasambalatisha unaleta madume mapya hiyo iko kwa ndege wote<br />Hapo kwenye kusambalatisha nina maana unaweza wauza madume yote ukanunua dume wengine au ukawafanya kitoweoKuna tatizo lolote kufga bata wa ukoo mmoja
Hilo tatizo ni lipi la ukoo mmoja??ndio mkuu inatakiwa mbegu utafute kwenye vyanzo tofauti na wakishazaliana madume ya mwanzo pamoja na yale yaliyozaliwa unayasambalatisha unaleta madume mapya hiyo iko kwa ndege wote<br />Hapo kwenye kusambalatisha nina maana unaweza wauza madume yote ukanunua dume wengine au ukawafanya kitoweo
kwanza majike yatataga mayai machache na vile vile vifaranga vitasumbuliwa na magonjwa,utaona vifaranga vinageuza shingo vinapukutika vyote hiyo ni katika uzoefu wangu wa ufugaji.Hilo tatizo ni lipi la ukoo mmoja??
Labda magonjwa?
Kudumaa?
Au ni nini tatizo hasa