Pata Vifaranga aina ya light sussex

Pata Vifaranga aina ya light sussex

culboy

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2011
Posts
526
Reaction score
47
Nikuku machotara light sussex wanavumilia magonjwa na hutaga mayai mengi sana jogoo wake ni wakubwa sana hata mitetea yake huanza kutaga wakiwa na miezi minne na nusu tu karibu pia pata bata mzinga na bata bukini pia wanapatikana 0757662401
 
Ubarikiwe kitomary kila wakati huyu bwana alinitolea vifaranga arusha mpk Dar bure
 
Kitomari, hawa ni pure kienyeji au chorara, naomba uniambie Bei ya kifaranga kimoja ... mimi nipo dar ... nifahamishe pia kuhusu usafirishaji
 
Mkuu Kitomari acha upotoshaji kwenye hiri jukwaa linatumika vibaya. Hao kuku hawana sifa unazo tutajia. Ok weka ni wazto kwa kg ngapi na huo muda wa wao kutaga ni uongo wa hari ya juu, mimi nafahamu wamapo fugwa na hawana hizo sifa. Nitarudi na data za hao kuku hadi picha ili watu waone ulivyo muongo.
Jamani jaribuni ku google hao kuku muwaone
 
Kitomari, hawa ni pure kienyeji au chorara, naomba uniambie Bei ya kifaranga kimoja ... mimi nipo dar ... nifahamishe pia kuhusu usafirishaji[/QUOT

Hawa kuku ni kama walivyo Rhodes Island Red na ni kuku wa kisasa na huwa wanatumika kufanya crossing. Jaribu kuwa google, mimi nina detail zao ila niko mbali sana hivyo kesho nitawawekea. Ila huyo Kitomari anajaribu kudanganya. Ainishe sifa zake zote.
Majogoo wa Rhodes Island Red ni wazuri kwenye kucross kuliko hawa. Hao ni Rangi tu nyeupe.
 
Kitomari, hawa ni pure kienyeji au chorara, naomba uniambie Bei ya kifaranga kimoja ... mimi nipo dar ... nifahamishe pia kuhusu usafirishaji[/QUOT

Hawa kuku ni kama walivyo Rhodes Island Red na ni kuku wa kisasa na huwa wanatumika kufanya crossing. Jaribu kuwa google, mimi nina detail zao ila niko mbali sana hivyo kesho nitawawekea. Ila huyo Kitomari anajaribu kudanganya. Ainishe sifa zake zote.
Majogoo wa Rhodes Island Red ni wazuri kwenye kucross kuliko hawa. Hao ni Rangi tu nyeupe.

mh! Ivi wakisasa hutaga akiwa na mda gani? Pili hawa wakwangu sjaanza leo kuuzaz vifaranga hawa
 
Je hao unao wataja ndo hawa hawa tunao wajua? Sikiliza weka sifa zao zote and then ndo nitarudi kuchangia. Kumbuka kuna google mkuu.
 
Ni machotara mkuu ila ni aina ya light sussex
 
Je hao unao wataja ndo hawa hawa tunao wajua? Sikiliza weka sifa zao zote and then ndo nitarudi kuchangia. Kumbuka kuna google mkuu.

sisi watanzania tuna roo za kwanini sana ulishawai fuga kuku kweli au umeanza jana yaani mimi mwenyewe naamini alisemalo mshikaji
 
Mbona huweki detail? Wanataga mayai mengi mangapi? Wananza kutaga baada ya muda gani? Hiyo ya miezi mi nne si kweli, uzito kilo ngapi? Magonjwa yapi inastahimili ambayo wengine hawawezi? Halafu hakuna kuku chotara aina ya light sussex. Hivi mzumgu na mwafriks wakizaa mtoto ataitwa mzumgu au mwafrica
 
sisi watanzania tuna roo za kwanini sana ulishawai fuga kuku kweli au umeanza jana yaani mimi mwenyewe naamini alisemalo mshikaji
Amini wewe si mimi si u google uwaone sifa zao? Napinga ninacho kijua, si kurupuki,that is why nasema mkuu aweke sifa zao zote na kama hana aingie google achukue.
 
sisi watanzania tuna roo za kwanini sana ulishawai fuga kuku kweli au umeanza jana yaani mimi mwenyewe naamini alisemalo mshikaji
Kuhusu kuwafuga nawafuga sana tu. Na naeajua miaka mingi sana na ninacho pinga ni upotoshaji. Nitakuwekeeni kesho detail zao zote na hadi picha.
 
Amini wewe si mimi si u google uwaone sifa zao? Napinga ninacho kijua, si kurupuki,that is why nasema mkuu aweke sifa zao zote na kama hana aingie google achukue.

ila kaka nilishasema kua ni machotara hawa rejea tangazo langu vizuri
 
Hata mimi nakubaliana na mr kitomari kitomari kuku ni miezi minne na nusu tu ukiwalisha vyema achana na gogle
 
Nikuku machotara light sussex wanavumilia magonjwa na hutaga mayai mengi sana jogoo wake ni wakubwa sana hata mitetea yake huanza kutaga wakiwa na miezi minne na nusu tu karibu 0757662401

kiukweli ni kuku wazuri sana wanakua haraka sana
 
Hili sio jukwaa la mabishano, mwenye details aweke sisi wengine tuelimike na hatimaye tujinasue na huu umasikini.
 
Hili sio jukwaa la mabishano, mwenye details aweke sisi wengine tuelimike na hatimaye tujinasue na huu umasikini.

iyo ndio point sio mtu anatuambia anagogle
 
Back
Top Bottom