Pata Vifaranga aina ya light sussex

Pata Vifaranga aina ya light sussex

Tuna semina ya madawa ya kuku arusha tutakutafuta bwana kitomari
 
tawary ... ni dawa gani inayofaa vifaranga wa bata wanapopata ile ugonjwa wa kunyoga nyonga shingo

tafadhali mkuu
kuna antibiotic inaitwa tetracolivit nidawa poa sana tumia utaona majibu baada ya siku 3 mpk 5
 
kuna antibiotic inaitwa tetracolivit nidawa poa sana tumia utaona majibu baada ya siku 3 mpk 5

tawary ... Nashukuru sana .... je naweza itumia kama kinga, vifaranga wangu 22 wa bata wana siku
kumi ...
 
Ndio hakikisha banda halimwagi maji bandani kabisa liwe na randa kavu kila wakati pia unaeza wapa hata kuku wako wakubwa pia
 
Light Sussex
images


Light_sussex_hen.jpg

tunaitaji hawa sussex km 400 nitawapata mara 1
 
Hata sisi pia tumejifunza ki2 kizuri saaana kwenu
 
utapata ndugu

Mkuu Kitomari,
Mimi nipo Kahama,Shinyanga unaweza kunitumia hao aina Light Sussex pamoja na hiyo type ya Israel?
Kama jibu ni ndio tafadhali naomba uni-PM bei ya mpaka kunifikishia Kahama naitaji Hamsini kwa kila type.
Thanks in advance mkuu
 
Ukipenda weupe utawapata ukipenda weusi pia wapo uzuri wa hawa kuku wanataga sana
 
Mkuu Kitomari,
Mimi nipo Kahama,Shinyanga unaweza kunitumia hao aina Light Sussex pamoja na hiyo type ya Israel?
Kama jibu ni ndio tafadhali naomba uni-PM bei ya mpaka kunifikishia Kahama naitaji Hamsini kwa kila type.
Thanks in advance mkuu

nauza elifu mbili tu kila kifaranga ndugu na watafika bila tatzo
 
Back
Top Bottom