Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Kitomari hiyo elfu mbili ni kunifikishia mpaka kahama.
Na utaratibu wa malipo inakuaje?
Means, ninalipa kabla ya kutumiwa mzigo au mzigo unakuja ndio nalipa au inakuaje?
Nikuku machotara light sussex wanavumilia magonjwa na hutaga mayai mengi sana jogoo wake ni wakubwa sana hata mitetea yake huanza kutaga wakiwa na miezi minne na nusu tu karibu pia pata bata mzinga na bata bukini pia wanapatikana 0757662401
Baada ya kusoma kwa muda mrefu thread hii. Tulijaribu kufuga na mke wangu kuku aina kenbro kama 50 hivi. Tena tulishinikizwa na rafiki yetu. Sasa tunao 18 baada ya kuuza majogoo kadhaa. Aisee tunapiga mayai!! Kwa siku tunaokota 7-9. Sasa tutaingia rasmi kwenye huu mgodi tunajipanga.
Nikuku machotara light sussex wanavumilia magonjwa na hutaga mayai mengi sana jogoo wake ni wakubwa sana hata mitetea yake huanza kutaga wakiwa na miezi minne na nusu tu karibu pia pata bata mzinga na bata bukini pia wanapatikana 0757662401
Baada ya kusoma kwa muda mrefu thread hii. Tulijaribu kufuga na mke wangu kuku aina kenbro kama 50 hivi. Tena tulishinikizwa na rafiki yetu. Sasa tunao 18 baada ya kuuza majogoo kadhaa. Aisee tunapiga mayai!! Kwa siku tunaokota 7-9. Sasa tutaingia rasmi kwenye huu mgodi tunajipanga.