monde arabe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 8,781
- 13,444
Noma sana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jua hiyo ni kodi yako, au hulipi kodi nini mkuu?Ukiwa Rais inahitaji uwe mvumilivu sana,angevaa saa zetu za elf 5 mngesema huyu nae kazidi ushamba,amevaa ya bei mnasema kazidisha,sasa mnataka kila anachotaka kununua awe anawaomba mumpangie bei ndio anunue...
Kabisa. Zamani Mwanyamala kabla magari ya viongozi nayo hayajaitwa mashangingi, kulikuwa na mashangingi, kazi yao ni kushindana kujipamba kwa vito vya dhahabu.Kula maisha KIZIMKAZI. Watanganyika wenyewe ni mbumbumbu.
Basi sawaSerpenti Sedutori (Nyoka atongozaye)
Yanakuhusu sana mkuu. Ni fedha yako hiyo. Na kama amepewa na waarabu, lazima ujue hakuna cha bure dunia hii. Kweli tumeingia cha kike. Yale yale mambo ya kiarabu kiarabu ya ufahari ufahari wakati wengine wanakufa kwa njaa.Atajua mwenyewe hata akinunua kitanzi cha dhahabu cha kujinyonga mimi nachotaka umeme wa uhakika,maji matibabu ya uhakika na mengine ya msingi hayo ya saa hayanihusu
Waafrika ni watu wajinga mliojaa ukabila na ubaguzi wa kikabila. Hamuwezi fikra za kidhahania na kumuangalia mtu mmoja mmoja.Hivi unachukua mwanamke wa pwani unamweka katika nafasi ya kuwa mkuu wa nchi unategemea nini? Mwisho wa siku wote tutavalishwa madera na kucheza mdundiko! Ndio haya tunayoyaona!
Anapata wapi kwa mshahara wake ule?Ila watz bhana hapo kwa picha tu mmeshajudge kwamba saa ni ya 100m+ je kama ni copy je tutajuaje mbna kuna watu wengi wanavaa rado, rolex n.k ila ni copy za 25k huko mbna watu tumekua warahisi sana kumhukumu mtu na hata kama ni yenyew ina maana Mh Raisi ashindwe kua na 100m ya kwake mwenyew mbna raia mna nongwa sana
Katika nchi maskini ambayo wananchi wake hawana uhakika wa huduma bora za afya, watoto wanakaa chini madarasani, shule hazina vyoo, umeme hakuna, wanawake wanajifungulia chini, hakuna maji, hakuna sukari, wanafunzi vyuo vikuu hawana mikopo na changamoto kibao. Rais akiwa mtumishi wa umma namba moja anavaa Saa ya 100M huku ana Pete za dhahabu. Hatujajua cheni zinazofunikwa na Hijab ile bila kusahau cheni ya kiumoni ya kukinda ndoa ya Baba Abdul.
Rais anatupia mapambo ya gharama kwa pesa ya umma huku kila siku akisafiri kwa gharama zetu alafu tusimseme. Tutamnanga sana. Hiyo 100M si ingekopesha watoto wetu wanaosoma vyuo vikuu?