Nyinyi mnachoweza ni sifa na umalaya! Tuache na ushamba wetu!Hebu angalia huu Uzi tangu mwanzo.
Ndo utajua na anajilinganisha na watu kati ya wahaya na hayo makabila yenu ya kishamba.
Mtu unaongelea GDP za mikoa lakin wanalaumiwa wahaya as wahaya Wana serikali yao tofauti[emoji23][emoji23]
Mtoa mada umekaa kikabila ila kwakweli Wachagaa wanazivuna mikoa ya watu wakizepeleka kwao hawashkikiOfisi ya taifa ya takwimu imetoa pato la kila mkoa nchini Tanzania, mkoa wa Dar es salaam wazidi kuongoza ukifuatiwa na Mwanza.
Mikoa ya Katavi na Njombe imeshika mkia kwa kua na pato dogo sana ukilinganisha na mikoa mingine.
Kwenye kumi bora kanda ya ziwa imeingiza mikoa 3, Mwanza, Shinyanga na Geita kwa jumla ya Trilioni 25 sawa na mkoa wa Dar es Salaam.
Kanda ya kaskazini, pato la mikoa ya Arusha na Kilimanjaro ndio inafikia pato la mkoa wa Mwanza. Utajiri wa Arusha, Kilimanjaro na Tanga ni sawa na utajiri wa Mwanza na Shinyanga.
Kwa Takwimu za NBS, ukitoa Dar, kanda inayofuatia kwa utajiri ni anda ya ziwa, ikifuatiwa na Kaskazini huku Kusini kwa Lindi, Mtwara na jirani yao Pwani wakishika mkia.
Kanda ya nyanda za Juu kusini Mbeya inawabeba ila imezungukwa na mikoa choka mbaya kama Katavi na Njombe hivyo kuchangia kanda hiyo kuonekana ni choka mbaya mbavu za mbwa.
Watu wa Mara tukomae tuiondoe kilimanjaro ama Ruvuma hapo juu tuingie top 10.
====
Utajiri wa mikoa kwa kuangalia pato la mkoa husika.
1. Dar es Salaam Trilion 25.2
2. Mwanza Trilioni 10.95
3. Mbeya Trilioni 8.3
4. Shinyanga Trilioni 7.5
5. Morogoro Trilioni 7.1
6. Tanga Trilioni 6.96
7. Arusha T6.94
8. Geita T6.66
9. Kilimanjaro T6.62
10. Ruvuma Trilioni 5.6
View attachment 1969823
As long as hawakupunguzii chochote kwenye maisha yako jitahidi kuondoa shobo kwa wahaya.Nyinyi mnachoweza ni sifa na umalaya! Tuache na ushamba wetu!
Ulishaona msukuma anashobokea mhaya? Hamtaki kuishi maisha halisi kila siku mnafeki kujisikia ujinga!As long as hawakupunguzii chochote kwenye maisha yako jitahidi kuondoa shobo kwa wahaya.
Tengeneza afu u postHiyo ni blog hata mim naweza tengeza ni kapost chochote tuletee taarifa kutoka kweny vyanzo vya kuaminnika
Kwa hiyo tuishi maisha ya kuhamahama na ng'ombe na kujenga nyumba za udongo huko vijijini.Ulishaona msukuma anashobokea mhaya? Hamtaki kuishi maisha halisi kila siku mnafeki kujisikia ujinga!
Kwa sisi watu wa mawe tunaita Gold endure ama sukumaland Gold endure.
Hizo blog watu wa njombe ndio source yenu ya taarifa?Tengeneza afu u post
Wewe lete ngonjera hapa! Bila hao wasukuma ungekuwa unakula nyama? Unafikiri sekta ya mifugo haina mchango hao wasukuma wanazunguka na mifugo ni wote? Lini umekuja ukakuta wasukuama wote hawapo mwanza simiyu shinyanga na geita? Unarusha vi picha sisi tunaifahamu kagera nyinyi mlishachuja kitambo! Hamna la maana hapo hata mji wenu mi ujingaujinga tu! Hata geitai awazidi mda si mrefu!Kwa hiyo tuishi maisha ya kuhamahama na ng'ombe na kujenga nyumba za udongo huko vijijini.
Mhaya ashatoka hizo stage za uprimitive kwa Sasa ameelimika na anatarget future iliyo Bora kutumia akili nyingi nguvu kidogo. Sio kutumia nguuvu nyingi na akili kidogo Kama walivyo wasukuma [emoji23][emoji23]
Tazama mandhari ya vijiji huko uhayani
Hayo mahindi NBS walisahau kuyahesabu kwenye data?
Shule inayokimbiza sasa hivi Mwanza ni MusabeVitu gan unataja hapa[emoji23][emoji23]
Shule Kama hizo zipo vijijini huko muleba. Ni vitu vya kawaida.
Mimi ninaongelea institution zilizoshiba zenye matawi mengi nchini...
Vitu Kama Tusiime, vitu Kama kaizirege, vitu Kama kairuki sio hizi medium school ambazo hata huko kyerwa zipo kibao
Wameona ndio maana wameleta hii taarifa hapa πHayo mahindi NBS walisahau kuyahesabu kwenye data?
NBS wameleta hapo?Wameona ndio maana wameleta hii taarifa hapa π
View attachment 1970063
View attachment 1970064
View attachment 1970065
Umesoma au umekurupuka?NBS wameleta hapo?
Ndo maana nilimwambia awe anasoma vizuri asikurupukeHebu angalia huu Uzi tangu mwanzo.
Ndo utajua na anajilinganisha na watu kati ya wahaya na hayo makabila yenu ya kishamba.
Mtu unaongelea GDP za mikoa lakin wanalaumiwa wahaya as wahaya Wana serikali yao tofauti[emoji23][emoji23]
Simiyu inabidi iwekwe peke yake Nje ya mwanzaHata wawe wa kutoka Ulaya , mwisho wa siku wanafaidisha Mbeya.
Narudia kukwambia huko Usukumani madini hayajawahi wasaidia zaidi ya kugaidisha serikali na makampuni ya wazungu.
Mwisho toa takwimu za Simiyu uone aibu ya Mwanza Hapo.Bila kumega Songwe,GDP ya Mbeya ilikuwa unasoma 11,Juu ya Mwanza na hakuna Migodi hapo..
Hushangai makusanyo ya Jiji tuliwapiga? Utaishia kujilisha upepo wa sijui kijiji sijui nini sisi tunasonga Mbele.
Mtu kuandika ni data za nbs ndio iwe zao?Umesoma au umekurupuka?
Ulishaona msukuma anashobokea mhaya? Hamtaki kuishi maisha halisi kila siku mnafeki kujisikia ujinga!