Pato la kila Mkoa: Dar es Salaam yazidi kuongoza ikifuatiwa na Mwanza, Njombe na Katavi zashika mkia

Hebu angalia huu Uzi tangu mwanzo.

Ndo utajua na anajilinganisha na watu kati ya wahaya na hayo makabila yenu ya kishamba.


Mtu unaongelea GDP za mikoa lakin wanalaumiwa wahaya as wahaya Wana serikali yao tofauti[emoji23][emoji23]
Nyinyi mnachoweza ni sifa na umalaya! Tuache na ushamba wetu!
 
Mtoa mada umekaa kikabila ila kwakweli Wachagaa wanazivuna mikoa ya watu wakizepeleka kwao hawashkiki
 
Ulishaona msukuma anashobokea mhaya? Hamtaki kuishi maisha halisi kila siku mnafeki kujisikia ujinga!
Kwa hiyo tuishi maisha ya kuhamahama na ng'ombe na kujenga nyumba za udongo huko vijijini.


Mhaya ashatoka hizo stage za uprimitive kwa Sasa ameelimika na anatarget future iliyo Bora kutumia akili nyingi nguvu kidogo. Sio kutumia nguuvu nyingi na akili kidogo Kama walivyo wasukuma [emoji23][emoji23]




Tazama mandhari ya vijiji huko uhayani
 
Wewe lete ngonjera hapa! Bila hao wasukuma ungekuwa unakula nyama? Unafikiri sekta ya mifugo haina mchango hao wasukuma wanazunguka na mifugo ni wote? Lini umekuja ukakuta wasukuama wote hawapo mwanza simiyu shinyanga na geita? Unarusha vi picha sisi tunaifahamu kagera nyinyi mlishachuja kitambo! Hamna la maana hapo hata mji wenu mi ujingaujinga tu! Hata geitai awazidi mda si mrefu!
 
Shule inayokimbiza sasa hivi Mwanza ni Musabe
 
Hebu angalia huu Uzi tangu mwanzo.

Ndo utajua na anajilinganisha na watu kati ya wahaya na hayo makabila yenu ya kishamba.


Mtu unaongelea GDP za mikoa lakin wanalaumiwa wahaya as wahaya Wana serikali yao tofauti[emoji23][emoji23]
Ndo maana nilimwambia awe anasoma vizuri asikurupuke
 
Simiyu inabidi iwekwe peke yake Nje ya mwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…