Pato la kila Mkoa: Dar es Salaam yazidi kuongoza ikifuatiwa na Mwanza, Njombe na Katavi zashika mkia

Tayari Geita inapiga indicator ili Bukoba apishe njia
 
Hiyo barabara itajengwa tu soon. We subiri hiyo sukumaland ni nchi ya asali na Maziwa.
Licha ya hizo takwimu hizi mikoa hazinufaiki na ha hayo makusanyo mfano Geita!,
Iko na miundo mbinu mibovu tofauti kabisa na utajiri wake, barabara mbovu za vumbi mfano Geita-Kahama!

Maji ya shida, barabara za mitaa ndio usiseme
 
Ukweli nyie jamaa weupe sana, mnafuta kukubalika lakini ukweli ni wachovu, huwa nashanga mnavyojilinganisha na wachagga ni sawa na Mbingu na ardhi
 
"Njombe na Katavi zashika mkia" [emoji23][emoji23][emoji23] Kuna mtu mmoja humu kavimba hadi anataka kupasuka [emoji3]
 

Acha kudanganya njoo nikupeleke Sengerema, Buchosa na Geita vijijini uone nshomile walivyojaa na ukiwaambia warudi Kagera wanakupiga mawe.
Kwamba nshomile wanakimbia dhiki kule kagera😂😂😂 we ngoja instabul aje.
 
Umesahau Mkuu Jambo moja la mhimu sana nalo ni, Kanda yetu ndiyo inayoongoza Kwa Kuwa na watu wengi kuliko Kanda yoyote.

Pia ni rahisi sana kutokea Kanda yetu na kufika nchi zote za Africa mashariki Kwa urahisi zaidi kuliko kutokea Kanda yoyote Ile.
Pia Kanda yetu ndiyo Kanda pekeee iliyoleta Rais jiwe.
 
Hizo takwimu ni takwimu za utajiri wa mkoa, rasilimali zilizopo na potentiality zake.
Hili ndilo linalotakiwa kudadavuliwa kwa umakini mkubwa ili kujua uhalisia wa mada nzima.

Hata hivyo, bado inasikitisha sana kuona mikoa yote ya Mwanza, Kagera, Mara, Simiyu, Shinyanga, Geita bado haifikii pato la ki-inchi kama Rwanda.
Hapa ndipo tunapostahili kujiuliza maswali zaidi kwa nini iwe namna hiyo!
 
Great minds nchi hii ziko ama zinatoka lake zone.

Maendeleo ya nchi hii yameletwa ama yataletwa na lake zoners tu.

Hawa wakalia maji pwanis hawana lolote.
Simply uncalled for!

It doesn't add any value to the discourse of our nation!
 
Shinyanga namba 4?😬
Ndiyo Shinyanga ina utajiri wa dhahabu na Almasi.
Kama ulikuwa hujui Almasi inapatikana Mwadui Shinyanga, dhahabu IPO
Shinyanga namba 4?😬
Ndiyo Shinyanga ina rasiliamali nyingi snaa lakini bado haijanufaika nazo, kama hujui Shinyanga ina migodi Mingi snaa, mfano Alimasi inapatikana Mwadui Shinyanga pekeee, Dhahabu ipo Bulyankulu - kakola Shinyanga, dhahabu ipo pia Buzwagi Kahama Shinyanga, Dhahabu IPO pia mwa'bomba kahama Shinyanga nk
 
Wasukuma wenzako sasahivi wamejaa huku Mtwara kama makuli kwenye korosho..

Kula yao inategemea Mmakonde aokote korosho.
 
Njombe nimepapenda sana.. Watu wapambanaji sana huko.
 
Wasukuma kusema kweli wanahitaji civilization.. Yaani sasahivi wanashindwa tu kuvuka Mto Ruvuma waingie Msumbiji.

Ni watu wa ovyo ovyo, sasa mtu ana ng'ombe 100 anakaa nyumba ya tope tena msituni huko. Ajabu sana hii.. wasukuma wachache wajanja ndio wanawapiga pesa ndugu zao
 
Dhahabu Haiko Sukumaland Pekee. Mara Ina dhahabu na siyo sehemu ya Sukumaland
Mkuu haya mambo huwezi kuyajua, hiyo ni geological term ambayo kwa Mtu ambaye asiyehusika utaona kama wanapamba wasukuma but that is geological term according to geology of Tanzania wala hakuna upendeleo hapa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…