Pato la kila Mkoa: Dar es Salaam yazidi kuongoza ikifuatiwa na Mwanza, Njombe na Katavi zashika mkia

Pato la kila Mkoa: Dar es Salaam yazidi kuongoza ikifuatiwa na Mwanza, Njombe na Katavi zashika mkia

Yale mazingombwe ya tapeli la Chato ulikuwa ukiyaamini?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Watu wa kuja kutoka wapi ?

Hao wote ni watanzania, mtanzania anaweza kuishi mkoa wowote kulingana na uwezo wake wa kujikimu

Kemea mentality za kipumbavu za kibaguzi na kikanda kama zako
Umeguswa kunako kalio...
 
We hushangai vijijini Kuna umeme, barabara ya lami na nyumba nzr .


Tanzania gan ushawahi ona vijiji Kama hivyo
Mziki wa giants of east africa unaujua maana ili uende vijijini kwenu kagera lazima upite gold city, ogopa route yenye ma_bus karibia 20 yanatoka jiji kubwa la kibiashara na kuishia Kahama kila siku. Huko kwenu yanapitiliza ma_bus hayafiki matatu uone tofauti
 
Tunataka mapato ya per Capita income,GDP haitakusaidia Sana mkuu ni kujifariji.

GDP yenyewe ya huko Kanda ya Ziwa ni madini ya dhahabu amvayo huishia Kwenye makampuni, serikali na kiduchu ndio huenda kwa watu wachache..

Huko Njombe ambako unadai WA Mwisho ukileta GDP Per Capita income inashindana na Dar tuu.

Mwisho Takwimu za Shinyanga na Mwanza zinahusisha Mkoa was Simiyu kiasi kwamba Kama Mbeya isingegawanywa kuunda Songwe basi ingekuwa no.2 nyuma ya Dar na huko hakuna Migodi huko ndiko Kuna watu waliostawi Sasa.

Tunataka Takwimu independent za Simiyu,tuone aibu ya baadhi ya mikoa hapa.
Umepanick mzee 😀😀🙂😀
 
Kwa kuongezea Kuna yule mwanamke wa Mara alimnyang'anya jambazi smg kabisa ikiwa na risasi zimejaa kwa magazine.
Yaani ulivyoipamba lake zone.
Wangekuwa ndugu zetu ukanda Fulani wangekomaa wajitenge Mana wananyonywa na wakanda wengine.
Na ndo Mana wanataka kuleta Sera ya ukanda.
Jana nacheki itv Siro Mara,mabeyo simiyu wote walikuwa wanaongea sijui Nini.
Lake zone Askari wengi ndio wametokea huku ,tukidai nchi yetu nadhani wengine mtakufa njaa Mana chakula kingi kinatokea huku
Ugoro huu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ofisi ya taifa ya takwimu imetoa pato la kila mkoa nchini Tanzania, mkoa wa Dar es salaam wazidi kuongoza ukifuatiwa na Mwanza.

Mikoa ya Katavi na Njombe imeshika mkia kwa kua na pato dogo sana ukilinganisha na mikoa mingine.

Kwenye kumi bora kanda ya ziwa imeingiza mikoa 3, Mwanza, Shinyanga na Geita kwa jumla ya Trilioni 25 sawa na mkoa wa Dar es Salaam.

Kanda ya kaskazini, pato la mikoa ya Arusha na Kilimanjaro ndio inafikia pato la mkoa wa Mwanza. Utajiri wa Arusha, Kilimanjaro na Tanga ni sawa na utajiri wa Mwanza na Shinyanga.

Kwa Takwimu za NBS, ukitoa Dar, kanda inayofuatia kwa utajiri ni anda ya ziwa, ikifuatiwa na Kaskazini huku Kusini kwa Lindi, Mtwara na jirani yao Pwani wakishika mkia.

Kanda ya nyanda za Juu kusini Mbeya inawabeba ila imezungukwa na mikoa choka mbaya kama Katavi na Njombe hivyo kuchangia kanda hiyo kuonekana ni choka mbaya mbavu za mbwa.

Watu wa Mara tukomae tuiondoe kilimanjaro ama Ruvuma hapo juu tuingie top 10.

====

Utajiri wa
 
Mziki wa giants of east africa unaujua maana ili uende vijijini kwenu kagera lazima upite gold city, ogopa route yenye ma_bus karibia 20 yanatoka jiji kubwa la kibiashara na kuishia Kahama kila siku. Huko kwenu yanapitiliza ma_bus hayafiki matatu uone tofauti
Yanapitiliza yanaenda wap.
Wakati mabasi yote hata hayo ya kahama yanaishia bukoba [emoji23][emoji23]

Bukoba mwanza Kuna mabasi kibao na bado Kuna mv Victoria inayobeba watu 1200 kwenda bukoba kila siku.


Bila kusahau uwanja wa ndege wa bukoba Kuna mashirika matatu so far ya air tz, precision na auric
 
Yanapitiliza yanaenda wap.
Wakati mabasi yote hata hayo ya kahama yanaishia bukoba [emoji23][emoji23]

Bukoba mwanza Kuna mabasi kibao na bado Kuna mv Victoria inayobeba watu 1200 kwenda bukoba kila siku.


Bila kusahau uwanja wa ndege wa bukoba Kuna mashirika matatu so far ya air tz, precision na auric
Natalie basi hata moja anamiliki mhaya! Wamiliki hapo ni wasukuma na wachaga,
 
Ofisi ya taifa ya takwimu imetoa pato la kila mkoa nchini Tanzania, mkoa wa Dar es salaam wazidi kuongoza ukifuatiwa na Mwanza.

Mikoa ya Katavi na Njombe imeshika mkia kwa kua na pato dogo sana ukilinganisha na mikoa mingine.

Kwenye kumi bora kanda ya ziwa imeingiza mikoa 3, Mwanza, Shinyanga na Geita kwa jumla ya Trilioni 25 sawa na mkoa wa Dar es Salaam.

Kanda ya kaskazini, pato la mikoa ya Arusha na Kilimanjaro ndio inafikia pato la mkoa wa Mwanza. Utajiri wa Arusha, Kilimanjaro na Tanga ni sawa na utajiri wa Mwanza na Shinyanga.

Kwa Takwimu za NBS, ukitoa Dar, kanda inayofuatia kwa utajiri ni anda ya ziwa, ikifuatiwa na Kaskazini huku Kusini kwa Lindi, Mtwara na jirani yao Pwani wakishika mkia.

Kanda ya nyanda za Juu kusini Mbeya inawabeba ila imezungukwa na mikoa choka mbaya kama Katavi na Njombe hivyo kuchangia kanda hiyo kuonekana ni choka mbaya mbavu za mbwa.

Watu wa Mara tukomae tuiondoe kilimanjaro ama Ruvuma hapo juu tuingie top 10.

====

Utajiri wa mikoa kwa kuangalia pato la mkoa husika.
1. Dar es Salaam Trilion 25.2
2. Mwanza Trilioni 10.95
3. Mbeya Trilioni 8.3
4. Shinyanga Trilioni 7.5
5. Morogoro Trilioni 7.1
6. Tanga Trilioni 6.96
7. Arusha T6.94
8. Geita T6.66
9. Kilimanjaro T6.62
10. Ruvuma Trilioni 5.6
View attachment 1969823
Kwani Opportunity Cost anasemaje?
 
Mwambie huyo wahaya wengi wako Mwanza na Geita. Wamekimbia njaa kwao. Chezea sukumaland weye.
Mhaya hawezi kutoka Bukoba akaja misungwi, ngudu au sijui geita vijiji huko maana kuna maisha magumu. Wahaya wapo Mwanza mjini maofisini au wanafanya biashara, wasukuma ndo wanatoka huko vijijini wanakimbia njaa na ukame
 
Wadanganye wajinga na mashoga wenzako huko ambao hawaijui kagera. Muleba na misenyi nazijua kila kijiji hunidanganyi kitu. Kote huko ni choka mbaya, ni migomba tu.

Ngara na Biharamulo hakuna wasukuma, ngara ni warudi na wanyarwanda na hata Biharamulo pia, Misenyi.

Kwa kukusaidia ili usije kudhani nina exposure ndogo kama yako ni kwamba, Tanzania nzima nimefika kila wilaya na karibu 80% ya vijiji vyote kwa muda wa zaidi ya miaka 10 ambayo imenifanya nizunguke nchi mzima.
Vipi mkuu Wilaya za Kilimanjaro ukilinganisha na Hizi za Kagera(hasa hizi za Wahaya i.e Bukoba,Misenyi n.k) maana wanapigaga sana porojo humu hawa Wahaya..
 
Umepanick mzee 😀😀🙂😀
Nimepanic kama hivi 👇

Screenshot_20211010-095238.png


Screenshot_20211010-095306.png
 
Mziki wa giants of east africa unaujua maana ili uende vijijini kwenu kagera lazima upite gold city, ogopa route yenye ma_bus karibia 20 yanatoka jiji kubwa la kibiashara na kuishia Kahama kila siku. Huko kwenu yanapitiliza ma_bus hayafiki matatu uone tofauti
We ndo hujui kitu kabisa eti mabasi matatu tu, yaani abilia wanaosafiri na meli tu ni zaidi ya hivo vimagari vya kwenda Kahama
 
**** watu roho inawauma sana tena nataka niwaambie mimi niko dar! Bila bandari Dar kwa mwanza wanapambana tu! Maana ukiangalia nyumba mitaani za makazi mtaa mingi ya mwanza ina nyumba kali kuzidi dar! Maana makazi mengi dar ni ya zamani isipokuwa mitaa ya kinyerezi mbezi,tegeta na kigamboni,
Ni kweli, ila ni vema ujue kwamba, Dar es Salaam itabaki kuwa dar es Salaam. Mwanza itasubiri saaaana. Miaka mitano ijayo Dar itakuwa na wakazi milioni 10. Mwanza mpo ?
Kuna mitaa Kama goba, madale, boko na bunju hapo hatujaweka mbweni Wala kijichi. Unaisogezaje mwanza hapo ?
Acha ujinga mzee
 
Back
Top Bottom