Pato la kila Mkoa: Dar es Salaam yazidi kuongoza ikifuatiwa na Mwanza, Njombe na Katavi zashika mkia

Pato la kila Mkoa: Dar es Salaam yazidi kuongoza ikifuatiwa na Mwanza, Njombe na Katavi zashika mkia

Natalie basi hata moja anamiliki mhaya! Wamiliki hapo ni wasukuma na wachaga,
Kumbe unaongelea mabasi [emoji23] na hapo ndo mnajiona matajiriii[emoji23]

Wahaya wanawekeza kwenye vitu vya msingi vyenye kuangalia future mfano shule na hospital.


Haya mabasi ni mhaya mmoja huko bukoba anamiliki shule na hizo ndo school bus
FB_IMG_16326318810467613.jpg
 
Kumbe unaongelea mabasi [emoji23] na hapo ndo mnajiona matajiriii[emoji23]

Wahaya wanawekeza kwenye vitu vya msingi vyenye kuangalia future mfano shule na hospital.


Haya mabasi ni mhaya mmoja huko bukoba anamiliki shule na hizo ndo school busView attachment 1969986
Nani amekwambia wasukuma hawamiliki hospital na shule? Broo nyinyi siku hizi wachumba tu! Na msivyokuwa na akili mnajifanyaga kubagua watu mtabaki kama mlivyo ndo maana hata Chato ilitolewa kagera kwa mambo yenu ya hovyo!
 
Kumbe unaongelea mabasi [emoji23] na hapo ndo mnajiona matajiriii[emoji23]

Wahaya wanawekeza kwenye vitu vya msingi vyenye kuangalia future mfano shule na hospital.


Haya mabasi ni mhaya mmoja huko bukoba anamiliki shule na hizo ndo school busView attachment 1969986
[emoji23][emoji23][emoji23] wasukuma ndo maana wanaitwaga washamba, eti karne hii wanaona mabasi ya King msukuma ndo utajiri wakati Bukoba ni school bus
 
Unafikiri pesa ni kumiliki mabasi, mbona Wahaya wamejenga shule huko kwenu ili wawatoe ujinga, hizo ndo pesa
Wewe nakwambia Mhaya hajawahi kumzidi msukuma kwa pesa na upambnaji! Na kwa taarifa yako hata shule saizi hamtuzidi kwa chochote!
 
Nani amekwambia wasukuma hawamiliki hospital na shule? Broo nyinyi siku hizi wachumba tu! Na msivyokuwa na akili mnajifanyaga kubagua watu mtabaki kama mlivyo ndo maana hata Chato ilitolewa kagera kwa mambo yenu ya hovyo!
Kuonesha kwamba Wahaya ndo giant shule tumezijenga hadi huko kwenu.
Kuitoa chato mkoa wa Kagera ni ishu za kiutawala na kijiografia kwani ulitaka waruke wachukue ngara wakati chato ndo ipo karibu
 
Wewe nakwambia Mhaya hajawahi kumzidi msukuma kwa pesa na upambnaji! Na kwa taarifa yako hata shule saizi hamtuzidi kwa chochote!
Tatizo njia zenu za kupambana zimepitwa na wakati, huwezi kumiliki ng'ombe 2000 huku umepauka eti ndo unapambana
 
Nani amekwambia wasukuma hawamiliki hospital na shule? Broo nyinyi siku hizi wachumba tu! Na msivyokuwa na akili mnajifanyaga kubagua watu mtabaki kama mlivyo ndo maana hata Chato ilitolewa kagera kwa mambo yenu ya hovyo!
Hayo mabasi mnayojisifia nayo sijui zuberi ,king msukuma bukoba ni school bus.


Kuanzia bukoba Hadi dar wahaya ndo wanaomiliki shule kubwa kubwa nchini ili wawatoe ujinga.

Tukianzia bukoba Kama kaizirege, kemebos, kajumulo,karume,amani nk nk
Na hospital kubwa kubwa Kama cosad hospital na kashambya hospital huko vijijini.
Uhayani wilaya ni kawaida kuwa na hospital zaidi ya tatu na zaidi,shule kibao vijiji vina shule zaidi ya tano nk nk



Nenda dar Sasa St Mary's,st Matthews,kairuki university, babro Johnson,St Anne Maria , Tusiime zote za wahaya watupu [emoji23]

Endeleeni kununua mabasi [emoji23] [emoji23][emoji23] wahaya wanawajengea shule wawatoe ujinga.


Hadi hapa jf kuna muhaya mmoja kawekeza uko unamchangia[emoji23][emoji23]
 
Ni kweli, ila ni vema ujue kwamba, Dar es Salaam itabaki kuwa dar es Salaam. Mwanza itasubiri saaaana. Miaka mitano ijayo Dar itakuwa na wakazi milioni 10. Mwanza mpo ?
Kuna mitaa Kama goba, madale, boko na bunju hapo hatujaweka mbweni Wala kijichi. Unaisogezaje mwanza hapo ?
Acha ujinga mzee
Dar si ya wote ndug haina mwenyewe
 
Nani amekwambia wasukuma hawamiliki hospital na shule? Broo nyinyi siku hizi wachumba tu! Na msivyokuwa na akili mnajifanyaga kubagua watu mtabaki kama mlivyo ndo maana hata Chato ilitolewa kagera kwa mambo yenu ya hovyo!
Hebu nitajie hospital au shule moja tu inayomilikiwa na msukuma hapa nchini[emoji23][emoji23]
 
Hayo mabasi mnayojisifia nayo sijui zuberi ,king msukuma bukoba ni school bus.


Kuanzia bukoba Hadi dar wahaya ndo wanaomiliki shule kubwa kubwa nchini ili wawatoe ujinga.

Tukianzia bukoba Kama kaizirege, kemebos, kajumulo,karume,amani nk nk
Na hospital kubwa kubwa Kama cosad hospital na kashambya hospital huko vijijini.
Uhayani wilaya ni kawaida kuwa na hospital zaidi ya tatu na zaidi,shule kibao vijiji vina shule zaidi ya tano nk nk



Nenda dar Sasa St Mary's,st Matthews,kairuki university, babro Johnson,St Anne Maria , Tusiime zote za wahaya watupu [emoji23]

Endeleeni kununua mabasi [emoji23] [emoji23][emoji23] wahaya wanawajengea shule wawatoe ujinga.


Hadi hapa jf kuna muhaya mmoja kawekeza uko unamchangia[emoji23][emoji23]
Nani kakataa! Hao wahaya waomiliki shule hixo chache ndo unawalinganisha na wasukuma waliojaa kila sekta yenye uchumi nchi hii?
 
Ofisi ya taifa ya takwimu imetoa pato la kila mkoa nchini Tanzania, mkoa wa Dar es salaam wazidi kuongoza ukifuatiwa na Mwanza.

Mikoa ya Katavi na Njombe imeshika mkia kwa kua na pato dogo sana ukilinganisha na mikoa mingine.

Kwenye kumi bora kanda ya ziwa imeingiza mikoa 3, Mwanza, Shinyanga na Geita kwa jumla ya Trilioni 25 sawa na mkoa wa Dar es Salaam.

Kanda ya kaskazini, pato la mikoa ya Arusha na Kilimanjaro ndio inafikia pato la mkoa wa Mwanza. Utajiri wa Arusha, Kilimanjaro na Tanga ni sawa na utajiri wa Mwanza na Shinyanga.

Kwa Takwimu za NBS, ukitoa Dar, kanda inayofuatia kwa utajiri ni anda ya ziwa, ikifuatiwa na Kaskazini huku Kusini kwa Lindi, Mtwara na jirani yao Pwani wakishika mkia.

Kanda ya nyanda za Juu kusini Mbeya inawabeba ila imezungukwa na mikoa choka mbaya kama Katavi na Njombe hivyo kuchangia kanda hiyo kuonekana ni choka mbaya mbavu za mbwa.

Watu wa Mara tukomae tuiondoe kilimanjaro ama Ruvuma hapo juu tuingie top 10.

====

Utajiri wa mikoa kwa kuangalia pato la mkoa husika.
1. Dar es Salaam Trilion 25.2
2. Mwanza Trilioni 10.95
3. Mbeya Trilioni 8.3
4. Shinyanga Trilioni 7.5
5. Morogoro Trilioni 7.1
6. Tanga Trilioni 6.96
7. Arusha T6.94
8. Geita T6.66
9. Kilimanjaro T6.62
10. Ruvuma Trilioni 5.6
View attachment 1969823
Instanbul ukuje hukuuuuuuuuuuuu[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ni kweli, ila ni vema ujue kwamba, Dar es Salaam itabaki kuwa dar es Salaam. Mwanza itasubiri saaaana. Miaka mitano ijayo Dar itakuwa na wakazi milioni 10. Mwanza mpo ?
Kuna mitaa Kama goba, madale, boko na bunju hapo hatujaweka mbweni Wala kijichi. Unaisogezaje mwanza hapo ?
Acha ujinga mzee
Hao watu wasio na exposure ,ni matusi kuifananisha Mwanza na Dar. Dar ni ya kuifananisha na miji mikubwa nje ya Tz labda hapo ni sawa. Dar yenye square kilo meter 1700, ambapo 1200 ni slum na unbuilt. 500 ni planned areas. Hako ka Mwanza kenye ukubwa wa 240 mji including planned and unplanned areas.
Niambie ni wapi utasimama Dar ukaiona yote? Ila miji yetu mingine yote bongo, Dodoma, Arusha ,Mwanza etc unaweza ukasimama floor ya pili ya jengo ukaupiga picha mji mzima. Yaani comparison inapaswa kuwa hivi, Mwanza vs Kinondoni au Mbeya mji vs Temeke, au Dodoma mji vs Kawe jimbo nk lakini bado ni haiwezekani. Niambie ni wapi tz hii utapanga apartment ya familia kwa milioni 4,6,5 au10 kwa mwezi? Kwa Dar Masaki ,Osterbay ni kawaida mtu kupanga nyumba ya bei hiyo. Tatizo wengine wakija Dar wanafikia Chanika na Bugurunu ama Manzese na wanajua ndio Dar hiyo kote.
Dar ndio sehemu kwa hapa Bongo nyumba ya aina moja assume 3 rooms unakuta kuna sehemu inapangishwa laki 2 , na kuna sehemu nyumba kama hiyo hiyo hadi milioni 5 kwa mwezi. Dar maisha ni expensive in terms of housing, halafu Dar hiyo hiyo kuna sehemu watu wanaishi maisha cheap huwezi amini. Tujitahidi tuzunguke miji mingi hata East africa tu ndio tuje tuandike hizi comparison.
 
Simiyu haijatokana na Mwanza na inajitegemea. Mwanza wakati wa kuundwa mkoa wa Simiyu ilichangia wilaya moja tu ya Busega huku wilaya zingine Maswa, Bariadi, Meatu na Itilima zilimegwa toka Shinyanga. Kwa hiyo usipotoshe hapa kwamba eti Mwanza iko pamoja na Simiyu. Pole sana.
Na Tena sio wilaya bali Jimbo la busega, kabla ya kuundwa mkoa wa simiyu na busega kupandishwa kuwa wilaya, hapo kabla busega ilikuwa ni sehemu ya wilaya ya Magu na lilikuwa Jimbo la uchaguzi tu.
 
Wewe nakwambia Mhaya hajawahi kumzidi msukuma kwa pesa na upambnaji! Na kwa taarifa yako hata shule saizi hamtuzidi kwa chochote!
Wacha we[emoji23][emoji23][emoji23].




Siku vijijini kwenu huko usukumani kukifikia hapa ndo tutaongea vinginevyo unapiga porojo tu[emoji23]
_%E2%80%9CTaswira_katika_picha_kutoka_Nyumbani_kwa_Mkubwa_Justice_Rugaibula_ikiwa_ni_kumbukizi...jpg
1980136_13201.jpg
 
Back
Top Bottom