Pato la taifa Israel kwa mwaka ni $ bilioni 500 (shiling trilioni 1,200), Marekani kuwasaidia $bilioni 3 ni msaada mdogo tu, sio kama unavyokuzwa

Pato la taifa Israel kwa mwaka ni $ bilioni 500 (shiling trilioni 1,200), Marekani kuwasaidia $bilioni 3 ni msaada mdogo tu, sio kama unavyokuzwa

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Imagine taifa halina hata rasilimali, sehemu kubwa ni jangwa, mashambulizi mara kwa mara lakini bado uchumi wao ni mkubwa kuliko nchi zote za Afrika mashariki.

Pato la taifa ni Dola bilioni 500+ sawa na shilingi zetu trilioni 1,250, Naomba nieleweke kwamba kiasi hiki hakihusisiani na chochote kuhusu misaada.

Pesa kwa kiasi kikubwa wanapata kwenye ubunifu wa Teknolojia za Kilimo, Computer, Silaha, mabenki, n.k. Israel ni taifa linalotegemewa na makampuni mengi ya simu na software kwenye kubuni teknojia mpya, karibu kila kampuni kubwa ina ofisi ya ubunifu Israel, hata hizi software za kudukua mawasiliano huwa zinabuniwa huko zinauzwa kwa mamia ya mabilioni.

Nashangaa kuona hizi kelele zinazopigwa kisa Marekani anaipa Israel dola bilioni 3 za msaada, Pengine kwa umasikini wa mataifa yetu ni pesa nyingi sana lakini kwa hali iliyopo Israel hii bado ni pesa ndogo lakini inakuzwa sana kuonekana kwamba bila huu msaada Israel inaanguka.
 
Imagine taifa halina hata rasilimali, sehemu kubwa ni jangwa, mashambulizi mara kwa mara lakini bado uchumi wao ni mkubwa kuliko nchi zote za Afrika mashariki...
Halafu mbona unaleta maneno matupu hauleti vyanzo kutoka kwenye taasisi husika?

Halafu kingine hizo $ billion tatu zinazo semwa ni kwa ajili ya kijeshi tu na sio kiuchumi, hivyo kuna misaada mingine ya kiuchumi nje ya hiyo $bilion 3,pia sio Marekani tu Israel inapokea misaada za mabilioni ya $ kutoka nchi zote za umoja wa Ulaya, Uingereza, Canada, Australia na Newzirand.

Halafu nikujulishe kitu kingene kama ulikuwa hujui ni kuwa Nyambizi zote za kijeshi alizo nazo Israel amepewa msaada na Ujerumani.

Pia kingine bidhaa zinazo tengenezwa Israel zimepewa upendeleo maalum wa kutolipa kodi kwa baadhi ya bidhaa na zile zinazo lipiwa kodi zina lipa kodi ndogo, kwenye nchi za Ulaya na Marekani na Canada.
Sasa nchi ya namna hiyo itashindwaje kuwa na maendeleo?
 
Hizo nchi zote ulizozitaja zinaisaidia Israel ni nchi za kibepari! Bepari hawezi kukupa hela bure kama hapati faida kutoka kwako! Wabobezi wa Technolojia ya tehama na nyuklia duniani ni hao waisraeli! Tajiri hawezi fanya urafiki na masikini!
 
Imagine taifa halina hata rasilimali, sehemu kubwa ni jangwa, mashambulizi mara kwa mara lakini bado uchumi wao ni mkubwa kuliko nchi zote za Afrika mashariki.

GDP ya Israel ni Dola bilioni 500+ hizi ni sawa na shilingi zetu trilioni 1,250.

Nashangaa kuona hizi kelele zinazopigwa kisa Marekani anaipa Israel dola bilioni 3 za msaada, Pengine kwa umasikini wa mataifa yetu ni pesa nyingi sana lakini kwa hali iliyopo Israel hii bado ni pesa ndogo lakini inakuzwa sana kuonekana kwamba bila huu msaada Israel inaanguka.
Hiyo ni kwa ajili ya silaha tu,halafu misaada yote hiyo siyo Kwa mwaka tu,ni tangu wameanzisha ukhabithi wao Palestine 1949
 
Hizo nchi zote ulizozitaja zinaisaidia Israel ni nchi za kibepari! Bepari hawezi kukupa hela bure kama hapati faida kutoka kwako! Wabobezi wa Technolojia ya tehama na nyuklia duniani ni hao waisraeli! Tajiri hawezi fanya urafiki na masikini!
Israel ni project ya west kuwavuruga waarabu,waarabu ni jamii isiyotakiwa kukaa na kutulia,ni kitisho kwa ubepari baada ya ujamaa
 
Raia wamarekani wenyewe wanalalamika why Israel wapewe hela yote hiyo wakati ingewasaidia wao,nyengine israel wao hospital bure wakati marekan hela nyingi,,,biden kazi anayo uchaguz ujao,,,nimefurah alot of Americans woke up cnn,fox etc walikua wanawalisha pumba na wao wanaamini!
 
Raia wamarekani wenyewe wanalalamika why Israel wapewe hela yote hiyo wakati ingewasaidia wao,nyengine israel wao hospital bure wakati marekan hela nyingi,,,biden kazi anayo uchaguz ujao,,,nimefurah alot of Americans woke up cnn,fox etc walikua wanawalisha pumba na wao wanaamini!
Hata akiingia Trump mwendo ni huo huo,
 
Hizo nchi zote ulizozitaja zinaisaidia Israel ni nchi za kibepari! Bepari hawezi kukupa hela bure kama hapati faida kutoka kwako! Wabobezi wa Technolojia ya tehama na nyuklia duniani ni hao waisraeli! Tajiri hawezi fanya urafiki na masikini!
Ukienda Ulaya na Marekani kwenye makampuni ya tekinolojia wapo wayahudi , Waajemi na waasia kibao ,hivyo suala la kusema sijui Wayahudi wanaibeba Ulaya kiteknolojia sio kweli.

Israel ili anzishwa na wamagharibi ili kulinda masilahi ya Marekani na washirika wake hapo mashariki ya kati, hivyo ni lazima ilindwe kwa sababu ikianguka masilahi ya Marekani yanakuwa yameanguka.
 
Alafu mbona unaleta maneno matupu hauleti vyanzo kutoka kwenye taasisi husika?

Alafu kingine hizo $ billion tatu zinazo semwa ni kwa ajili ya kijeshi tu na sio kiuchumi, hivyo kuna misaada mingine ya kiuchumi nje ya hiyo $bilion 3,pia sio Marekani tu Israel inapokea misaada za mabilioni ya $ kutoka nchi zote za umoja wa Ulaya, Uingereza, Canada, Australia na Newzirand.

Alafu nikujulishe kitu kingene kama ulikuwa hujui ni kuwa Nyambizi zote za kijeshi alizo nazo Israel amepewa msaada na Ujerumani.

Pia kingine bidhaa zinazo tengenezwa Israel zimepewa upendeleo maalum wa kutolipa kodi kwa baadhi ya bidhaa na zile zinazo lipiwa kodi zina lipa kodi ndogo, kwenye nchi za Ulaya na Marekani na Canada.
Sasa nchi ya namna hiyo itashindwaje kuwa na maendeleo?
endeleeni kujilipua kwenye mataifa ya watu halaf wkt huo huo mnataka upendeleo kama wa Israel , Akili mtu angu
 
hio bilioni 3 haifikii hata asilimia moja ya uchumi wa Israel
Acha kukaza fuvu umesha ambiwa kuwa hizo bilion 3 ni kwa ajili ya silaha tu , kuna mabilion ya $ anapokea kutoka Marekani nje ya hiyo $ bilion 3, bado ana pokea mabilioni ya $ mengine kutoka Ulaya ,Canada, Australia, Newzirand, na Israel bila misaada ni Tz iliyo changamka tu.
 
Ni Allah pekee ndo anawasaidia Wapalestina.
[emoji23][emoji23] mnajilipua kwenye mataifa ya watu halaf mnategemea bonus kama hizo ? Gaza wanapewa kila kitu na Israel ila bado ela wanazopewa msaada na mataifa ya magharibi wanunua silaha Iran na kuja kuua raia wa israel , halaf utegemee kuna mtu wa mbali atakujali?
 
Israel ni project ya west kuwavuruga waarabu,waarabu ni jamii isiyotakiwa kukaa na kutulia,ni kitisho kwa ubepari baada ya ujamaa
na kwann waliingia kwenye huo mtego ? kuna muda mnawatukana waarab bila kujua
 
Back
Top Bottom