Patrick Ngowi yupo quite different na vijana wengine wa umri wake

Mkuu uliona mbali sana maana ulihoji
full sanaa.
 
Penda kusoma vema kijana. Usiandike kuonekana nawe umechangia. Hii thread ya kitambo na unayemjibu alikua anamuelezea mmiliki wa Facebook.
 
Sawa Ngowi..nisamehe bwana..heshima zako mkuuu sikuelewa alichoandika nikapanic bro
Penda kusoma vema kijana. Usiandike kuonekana nawe umechangia. Hii thread ya kitambo na unayemjibu alikua anamuelezea mmiliki wa Facebook.
 
Sawa Ngowi..nisamehe bwana..heshima zako mkuuu sikuelewa alichoandika nikapanic bro
You are a gentleman. Mwingine angetukana mitusi. Ingekua waafrika wote tunakua na tamaduni ya kukubali kukosolewa au kusahihishwa tunapokosea tungekua mbali.
 
Na bora pesa yenyewe nisiwe nayo!!! Watu huwa wanasahau kwamba duniani tunapita... sasa unazibania bania utadhani una miaka 500 ya kuishi hapa duniani au ukifa utaenda nazo!!!!
Pesa ni pesa cha msinhi kuipata kama umeitafuta either kwa jasho au kwa njia za mkato kunjua roho kama Floyd Mayweather sababu we only live once yani niwe na mapesa kibao nijibane jibane hata kununua rolex,weekend nirefresh my mind na teachers wakati kuna hennessy.WHY DON'T YOU?
 
We only live once and short na mtu anaweza kukatika dakika yoyote even at a time s/he felt safer and healthier!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…