Patrick Ngowi yupo quite different na vijana wengine wa umri wake

Patrick Ngowi yupo quite different na vijana wengine wa umri wake

Hivi Kashamiliza Deni analodaiwa na STANBIC? Alianza Kuuza Vifaa Vya Simu kutoka China miaka ya Nyuma...#Bwimbi_Supllier
 
Huyo nae aache ubahili wa kichaga amuige mengi, kaamua kung'oa dogodogo sasa hivi kila weekend wanabadili islands kula bata, k lyne amefunguliwa boonge la duka Dubai, maisha yenyewe mafupi haya!

Mengi ana asset base kubwa kuliko Patrick ngowi, na pia ngowi hawez afford expenditure za mengi so ni bora akae kwenye his lane mpaka pale atapofikia levels anazotaka kayaman
 
Kwahiyo hii website ndo imejibu hoja ya diranqhe??!!

Anyway, diranghe... maelezo yako yana mantiki sana ukizingatia open establishment ya kibiashara ya Ngowi... ni doubtful. Hata hivyo, kinachomsaidia inawezekana jamaa ana connection... unajua tena Wachaga! Yaani ni sawa sawa na wewe leo hii uwe na mtaji wa Sh. 100M uanze biashara ya catering lakini unategemea walaji wa kawaida... stiffly competing with other catering service provider! Kwa upande mwingine anatokea mtoto wa Ndalichako na mtaji wake wa 10 Million na yeye kutokana na kuwa na connection anapata tenda ya kulisha mashule yooooooote ya serikali!!!!!

Sidhani kama kuna sababu ya kupig mahesabu na hiyo 100M yako atakuacha baada ya wiki ngapi!!

Sasa ni very possibly huyu jamaa alikuwa na tenda za staili hiyo to the point, connection zikikatika (God Forbid) huenda akayumba sana kwa sababu sidhani kama ana ubavu wa kushindana na watu kama Rex Solar kwenye competitive market!

Anaweza kuwa na pesa kuliko Rex lakini watu kama Rex wanaifahamu sana hii biashara kuliko Ngowi!!
Rex?

Rex na helvetic wapi na wapi?

Nyie mnaoulizia ofisi si zinapatikana Njiro complex? Na mimi mwenyewe nimesha waelekeza Wazungu wenye ma hotel porini na wamefanya kazi na Helvetic solar contractor.
So jambo usilolijua ?,,,,,,,,,,
 
Mbona ana kazi nyingi tu Pangeni, Zanzibar,Kigamboni.
Na soon Simiyu
 
Mwenye Rex solar ni jamaa moja mpare anaitwa somebody Meleku
Na ofisi zao nao zipo Mianzini kama unaingia kwa Dr Wanjara.

Helvetic
Njiro complex

So wote hawa wanafahamika ila Meleku si Kama Patrick .
 
Rex?

Rex na helvetic wapi na wapi?

Nyie mnaoulizia ofisi si zinapatikana Njiro complex? Na mimi mwenyewe nimesha waelekeza Wazungu wenye ma hotel porini na wamefanya kazi na Helvetic solar contractor.
So jambo usilolijua ?,,,,,,,,,,
Wapi nimeulizia ofisi?! Ina maana connection = kuulizia office?! Look, na wewe mwenyewe ukawaelekeza wazungu.... sasa unadhani connection maana yake nini?!
 
Personally sioni mantiki ya kuwa na ela halafu uishi kimasikini maisha ya kawaida sawa na mwenye ela kiasi.
Sasa hapo kuwa na pesa na hustles zina maana gani.
I hustle hard to live large....
Siwezi kuwa na bils benki nkaendesha ist never...
Na bora pesa yenyewe nisiwe nayo!!! Watu huwa wanasahau kwamba duniani tunapita... sasa unazibania bania utadhani una miaka 500 ya kuishi hapa duniani au ukifa utaenda nazo!!!!
 
Haishi maisha simple sema unamuona simple kwakuwa hajui kuvaa ndiyo maana ana tshirt na jeans na viatu vinafanana.
Ulinzi wake tu mwaka jana umemcost 4.3 mil usd.
Anamiliki private jet na saa nyingine haitumii anakodi ndege ya peke yake.
Anamilikk yatch ya maana.
He is not living a simple life ila sema tu mwili wake na kuwa shaby kunamfanya watu wamuone anaishi simple.
Hii post niliaza kuisoma kwa chini... sa' si ndo nikadhani unamwelezea Ngowi.....
 
Mkuu chige nakushukuru kwa kuiona hoja yangu. Hapo kwamba jamaa ana connection huenda ndo siri ya mafanikio yake. Ila hii kusema jamaa kahangaika sana hadi kufika alipofika kimiujizaujiza ni kukatisha tamaa vijana.
Kwahiyo hii website ndo imejibu hoja ya diranqhe??!!

Anyway, diranghe... maelezo yako yana mantiki sana ukizingatia open establishment ya kibiashara ya Ngowi... ni doubtful. Hata hivyo, kinachomsaidia inawezekana jamaa ana connection... unajua tena Wachaga! Yaani ni sawa sawa na wewe leo hii uwe na mtaji wa Sh. 100M uanze biashara ya catering lakini unategemea walaji wa kawaida... stiffly competing with other catering service provider! Kwa upande mwingine anatokea mtoto wa Ndalichako na mtaji wake wa 10 Million na yeye kutokana na kuwa na connection anapata tenda ya kulisha mashule yooooooote ya serikali!!!!!

Sidhani kama kuna sababu ya kupig mahesabu na hiyo 100M yako atakuacha baada ya wiki ngapi!!

Sasa ni very possibly huyu jamaa alikuwa na tenda za staili hiyo to the point, connection zikikatika (God Forbid) huenda akayumba sana kwa sababu sidhani kama ana ubavu wa kushindana na watu kama Rex Solar kwenye competitive market!

Anaweza kuwa na pesa kuliko Rex lakini watu kama Rex wanaifahamu sana hii biashara kuliko Ngowi!!
Kwahiyo hii website ndo imejibu hoja ya diranqhe??!!

Anyway, diranghe... maelezo yako yana mantiki sana ukizingatia open establishment ya kibiashara ya Ngowi... ni doubtful. Hata hivyo, kinachomsaidia inawezekana jamaa ana connection... unajua tena Wachaga! Yaani ni sawa sawa na wewe leo hii uwe na mtaji wa Sh. 100M uanze biashara ya catering lakini unategemea walaji wa kawaida... stiffly competing with other catering service provider! Kwa upande mwingine anatokea mtoto wa Ndalichako na mtaji wake wa 10 Million na yeye kutokana na kuwa na connection anapata tenda ya kulisha mashule yooooooote ya serikali!!!!!

Sidhani kama kuna sababu ya kupig mahesabu na hiyo 100M yako atakuacha baada ya wiki ngapi!!

Sasa ni very possibly huyu jamaa alikuwa na tenda za staili hiyo to the point, connection zikikatika (God Forbid) huenda akayumba sana kwa sababu sidhani kama ana ubavu wa kushindana na watu kama Rex Solar kwenye competitive market!

Anaweza kuwa na pesa kuliko Rex lakini watu kama Rex wanaifahamu sana hii biashara kuliko Ngowi!!
 
Hivi ukitumia lugha mbili ndo tutajua una elimu au ? Acheni ushamba basi nyie watupori ushaona wapi lugha moja haijitoshelezi hadi kutumia kiingereza na kiswahili ????
 
Hongera Sana Patrick Ngowi kwa kuwaonyesha fursa vijana kupitia "Kamata Fursa Twenzetu" ya Clouds hakika umewahamasisha vijana kukamata fursa.
 
Haishi maisha simple sema unamuona simple kwakuwa hajui kuvaa ndiyo maana ana tshirt na jeans na viatu vinafanana.
Ulinzi wake tu mwaka jana umemcost 4.3 mil usd.
Anamiliki private jet na saa nyingine haitumii anakodi ndege ya peke yake.
Anamilikk yatch ya maana.
He is not living a simple life ila sema tu mwili wake na kuwa shaby kunamfanya watu wamuone anaishi simple.


We msifiie jamaa ni mtafutaje...hizi chumvi ziache
 
Acha fixi mangiii. watu wanaown private Jet Tanzania ni watu watatu tu...sema suu niweke ownership licenses zao za TCAA hapa. na iweje ulinzi wake uwe 4.5 Million USD mwaka jana wakati networrth yake ni 1 Million Dollar according to Forbes (Billion 2 na usheee)
We msifiie jamaa ni mtafutaje...hizi chumvi ziache


Alikua anamzungumzia [HASHTAG]#MarkZ[/HASHTAG] wa Facebook .....his appearance (mavazi)
 
Inaumiza ukisoama sifa alizopewa humu,halafu hao jamaa Wafiniland wanasema Ngowi amewatapeli €84(Milioni)
 
Back
Top Bottom