King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Hivi Kashamiliza Deni analodaiwa na STANBIC? Alianza Kuuza Vifaa Vya Simu kutoka China miaka ya Nyuma...#Bwimbi_Supllier
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ye ni msanii?Patrick Ngowi yuko simple sana Yani hana mbwembwe kama hawa wasanii uchwara Mchaga anayejitambua
Hivi Kashamiliza Deni analodaiwa na STANBIC? Alianza Kuuza Vifaa Vya Simu kutoka China miaka ya Nyuma...#Bwimbi_Supllier
Huyo nae aache ubahili wa kichaga amuige mengi, kaamua kung'oa dogodogo sasa hivi kila weekend wanabadili islands kula bata, k lyne amefunguliwa boonge la duka Dubai, maisha yenyewe mafupi haya!
Jamaa ni Defaulter - MDAIWA SUGU.Kumbe anadaiwa na stanbic, lol ila ni kawaida kwa mfanyabiashara mkubwa kukopa benki King Kong III
Rex?Kwahiyo hii website ndo imejibu hoja ya diranqhe??!!
Anyway, diranghe... maelezo yako yana mantiki sana ukizingatia open establishment ya kibiashara ya Ngowi... ni doubtful. Hata hivyo, kinachomsaidia inawezekana jamaa ana connection... unajua tena Wachaga! Yaani ni sawa sawa na wewe leo hii uwe na mtaji wa Sh. 100M uanze biashara ya catering lakini unategemea walaji wa kawaida... stiffly competing with other catering service provider! Kwa upande mwingine anatokea mtoto wa Ndalichako na mtaji wake wa 10 Million na yeye kutokana na kuwa na connection anapata tenda ya kulisha mashule yooooooote ya serikali!!!!!
Sidhani kama kuna sababu ya kupig mahesabu na hiyo 100M yako atakuacha baada ya wiki ngapi!!
Sasa ni very possibly huyu jamaa alikuwa na tenda za staili hiyo to the point, connection zikikatika (God Forbid) huenda akayumba sana kwa sababu sidhani kama ana ubavu wa kushindana na watu kama Rex Solar kwenye competitive market!
Anaweza kuwa na pesa kuliko Rex lakini watu kama Rex wanaifahamu sana hii biashara kuliko Ngowi!!
Wapi nimeulizia ofisi?! Ina maana connection = kuulizia office?! Look, na wewe mwenyewe ukawaelekeza wazungu.... sasa unadhani connection maana yake nini?!Rex?
Rex na helvetic wapi na wapi?
Nyie mnaoulizia ofisi si zinapatikana Njiro complex? Na mimi mwenyewe nimesha waelekeza Wazungu wenye ma hotel porini na wamefanya kazi na Helvetic solar contractor.
So jambo usilolijua ?,,,,,,,,,,
Na bora pesa yenyewe nisiwe nayo!!! Watu huwa wanasahau kwamba duniani tunapita... sasa unazibania bania utadhani una miaka 500 ya kuishi hapa duniani au ukifa utaenda nazo!!!!Personally sioni mantiki ya kuwa na ela halafu uishi kimasikini maisha ya kawaida sawa na mwenye ela kiasi.
Sasa hapo kuwa na pesa na hustles zina maana gani.
I hustle hard to live large....
Siwezi kuwa na bils benki nkaendesha ist never...
Hii post niliaza kuisoma kwa chini... sa' si ndo nikadhani unamwelezea Ngowi.....Haishi maisha simple sema unamuona simple kwakuwa hajui kuvaa ndiyo maana ana tshirt na jeans na viatu vinafanana.
Ulinzi wake tu mwaka jana umemcost 4.3 mil usd.
Anamiliki private jet na saa nyingine haitumii anakodi ndege ya peke yake.
Anamilikk yatch ya maana.
He is not living a simple life ila sema tu mwili wake na kuwa shaby kunamfanya watu wamuone anaishi simple.
Kwahiyo hii website ndo imejibu hoja ya diranqhe??!!
Anyway, diranghe... maelezo yako yana mantiki sana ukizingatia open establishment ya kibiashara ya Ngowi... ni doubtful. Hata hivyo, kinachomsaidia inawezekana jamaa ana connection... unajua tena Wachaga! Yaani ni sawa sawa na wewe leo hii uwe na mtaji wa Sh. 100M uanze biashara ya catering lakini unategemea walaji wa kawaida... stiffly competing with other catering service provider! Kwa upande mwingine anatokea mtoto wa Ndalichako na mtaji wake wa 10 Million na yeye kutokana na kuwa na connection anapata tenda ya kulisha mashule yooooooote ya serikali!!!!!
Sidhani kama kuna sababu ya kupig mahesabu na hiyo 100M yako atakuacha baada ya wiki ngapi!!
Sasa ni very possibly huyu jamaa alikuwa na tenda za staili hiyo to the point, connection zikikatika (God Forbid) huenda akayumba sana kwa sababu sidhani kama ana ubavu wa kushindana na watu kama Rex Solar kwenye competitive market!
Anaweza kuwa na pesa kuliko Rex lakini watu kama Rex wanaifahamu sana hii biashara kuliko Ngowi!!
Kwahiyo hii website ndo imejibu hoja ya diranqhe??!!
Anyway, diranghe... maelezo yako yana mantiki sana ukizingatia open establishment ya kibiashara ya Ngowi... ni doubtful. Hata hivyo, kinachomsaidia inawezekana jamaa ana connection... unajua tena Wachaga! Yaani ni sawa sawa na wewe leo hii uwe na mtaji wa Sh. 100M uanze biashara ya catering lakini unategemea walaji wa kawaida... stiffly competing with other catering service provider! Kwa upande mwingine anatokea mtoto wa Ndalichako na mtaji wake wa 10 Million na yeye kutokana na kuwa na connection anapata tenda ya kulisha mashule yooooooote ya serikali!!!!!
Sidhani kama kuna sababu ya kupig mahesabu na hiyo 100M yako atakuacha baada ya wiki ngapi!!
Sasa ni very possibly huyu jamaa alikuwa na tenda za staili hiyo to the point, connection zikikatika (God Forbid) huenda akayumba sana kwa sababu sidhani kama ana ubavu wa kushindana na watu kama Rex Solar kwenye competitive market!
Anaweza kuwa na pesa kuliko Rex lakini watu kama Rex wanaifahamu sana hii biashara kuliko Ngowi!!
Ni mjasiria maliNa ye ni msanii?
Haishi maisha simple sema unamuona simple kwakuwa hajui kuvaa ndiyo maana ana tshirt na jeans na viatu vinafanana.
Ulinzi wake tu mwaka jana umemcost 4.3 mil usd.
Anamiliki private jet na saa nyingine haitumii anakodi ndege ya peke yake.
Anamilikk yatch ya maana.
He is not living a simple life ila sema tu mwili wake na kuwa shaby kunamfanya watu wamuone anaishi simple.
He doesn't seem 27 as stated
Acha fixi mangiii. watu wanaown private Jet Tanzania ni watu watatu tu...sema suu niweke ownership licenses zao za TCAA hapa. na iweje ulinzi wake uwe 4.5 Million USD mwaka jana wakati networrth yake ni 1 Million Dollar according to Forbes (Billion 2 na usheee)
We msifiie jamaa ni mtafutaje...hizi chumvi ziache