Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Ukivua samaki huwezi kuwa mtaalamu wa jit kan do au wushu?Wote walikuwa kuwa wana masumbwi ua waliwahi kupigana ulingoni? Au waliwahi kufundisha ngumi? Ni Bongo tu ndiyo unakuta muuza samaki mstaafu amegeuka kuwa mtaalam na mchambuzi wa ngumi au kandanda kwenye TV