Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Ukivua samaki huwezi kuwa mtaalamu wa jit kan do au wushu?Wote walikuwa kuwa wana masumbwi ua waliwahi kupigana ulingoni? Au waliwahi kufundisha ngumi? Ni Bongo tu ndiyo unakuta muuza samaki mstaafu amegeuka kuwa mtaalam na mchambuzi wa ngumi au kandanda kwenye TV
Kama hukupitia huko huwezi kuwa mchambuzi na mtaalam mzuri. Utakuwa unaunga- unga tu. Hivi TV kama kina Sky Sports au TNT Sports unadhani ni wajinga kuingia gharama ya kulipa wachezaji au makocha kuchambua mechi?Ukivua samaki huwezi kuwa mtaalamu wa jit kan do au wushu?
Molimoli tutafika.Ila siyo ghafla tu.Kama hukupitia huko huwezi kuwa mchambuzi na mtaalam mzuri. Utakuwa unaunga- unga tu. Hivi TV kama kina Sky Sports au TNT Sports unadhani ni wajinga kuingia gharama ya kulipa wachezaji au makocha kuchambua mechi?
Bongo kuna makocha na wachezaji au wana masumbwi wengi za zamani lakini TV haziwatumii badala yake unakuta ni vishoka wamejipa huo ujiko.Molimoli tutafika.Ila siyo ghafla tu.
Hawana upako wa kuongea na graspness.Wamepigwa ngumi za vichwa hadi wamekuwa mazezeta tu.Parkinson!Bongo kuna makocha na wachezaji au wana masumbwi wengi za zamani lakini TV haziwatumii badala yake unakuta ni vishoka wamejipa huo ujiko.