Patriot zitapigwa sana ifuatiwe na kimya kama cha Himars

Patriot zitapigwa sana ifuatiwe na kimya kama cha Himars

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Wachambuzi wa kivita wa Marekani wamekiri kuwa mfumo wa Patriot pamoja na sifa zake kadhaa lakini si mfumo salama mbele ya jeshi la Urusi.
Mtambo huo wa Patriot kimsingi umeundika na vitu sita katika ufanyaji kazi wake ambavyo ni generators, radar set, control station, antennas, launcher station na interceptor missiles.
Vitu hivyo sita vinaweza kutandazwa kila kmoja pake kuanzia mita chache mpaka kilomita kadhaa na kila mtambo mmoja unahitaji kikosi cha watu zaidi ya 100 kuuendesha hata kama wako mbali mbali.
Adui akiweza kuharibu kifaa chochote kimoja kati ya hivyo basi hata kama hasara ya kifaa si kubwa lakini atakuwa ameuharibu mtambo mzima usiweze kufanya kazi .
Sehemu ya mtambo huo ambayo ndiyo dhaifu zaidi kuweza kupigwa ni launcher station na ambayo ndiyo inayoipa sura yake halisi mbele ya macho ya watazamaji.Kasoro ya kifaa hicho ni kuwa kwanza ili iweze kufanya kazi yake vizuri basi haiwezi kufichwa vichakani.Daima inapokuwa ipo mawindoni kuyangoja makombora ya adui basi huwa inatoa sauti kama king'ora na mionzi ambayo ni rahisi sana kugunduliwa na droni na vifaa vyengine vya kipelelezi vya adui.
Ni kweli kuwa kombora hatari la hypersonic la Urusi ambalo Marekani hajafanikiwa kulitengeneza laweza kudunguliwa na Patriot lakini ni pale tu linapokuwa liko karibu na kutua kwenye shabaha yake na wala si linapokuwa likisafiri angani kuelekea hapo.
1685545127112.png
 
Vivyo hivyo kwa mifumo za kinga ya anga kama S-300 na S-400 za Russia kwa sababu zote zinatumia principles zilezile.

Hakuna mfumo wowote wa anga ambao unaweza kufanya kazi vizuri kwa asilimia mia moja, hakuna.

No air defence system in the world that is 100% perfect and this is a fact that some people out of sheer ignorance and senseless fanaticism are not ready to comprehend. It's very pitiable.
 
Vivyo hivyo kwa mifumo za kinga ya anga kama S-300 na S-400 za Russia kwa sababu zote zinatumia principles zilezile.

Hakuna mfumo wowote wa anga ambao unaweza kufanya kazi vizuri kwa asilimia mia moja, hakuna.

No air defence system in the world that is 100% perfect and this is a fact that some people out of sheer ignorance and senseless fanaticism are not ready to comprehend. Very pitiable.
Muhimu hizi S400 hazijapelekwa nchi yoyote kwa mbwebmwe kama za Patriot.
 
Vivyo hivyo kwa mifumo za kinga ya anga kama S-300 na S-400 za Russia kwa sababu zote zinatumia principles zilezile.

Hakuna mfumo wowote wa anga ambao unaweza kufanya kazi vizuri kwa asilimia mia moja, hakuna.

No air defence system in the world that is 100% perfect and this is a fact that some people out of sheer ignorance and senseless fanaticism are not ready to comprehend. Very pitiable.
Huwezi linganisha patriot na s400, ni kweli haziko 100% efficient ila efficiency ya patriot ni duni sana.
 
Wachambuzi wa kivita wa Marekani wamekiri kuwa mfumo wa Patriot pamoja na sifa zake kadhaa lakini si mfumo salama mbele ya jeshi la Urusi.
Mtambo huo wa Patriot kimsingi umeundika na vitu sita katika ufanyaji kazi wake ambavyo ni generators, radar set, control station, antennas, launcher station na interceptor missiles.
Vitu hivyo sita vinaweza kutandazwa kila kmoja pake kuanzia mita chache mpaka kilomita kadhaa na kila mtambo mmoja unahitaji kikosi cha watu zaidi ya 100 kuuendesha hata kama wako mbali mbali.
Adui akiweza kuharibu kifaa chochote kimoja kati ya hivyo basi hata kama hasara ya kifaa si kubwa lakini atakuwa ameuharibu mtambo mzima usiweze kufanya kazi .
Sehemu ya mtambo huo ambayo ndiyo dhaifu zaidi kuweza kupigwa ni launcher station na ambayo ndiyo inayoipa sura yake halisi mbele ya macho ya watazamaji.Kasoro ya kifaa hicho ni kuwa kwanza ili iweze kufanya kazi yake vizuri basi haiwezi kufichwa vichakani.Daima inapokuwa ipo mawindoni kuyangoja makombora ya adui basi huwa inatoa sauti kama king'ora na mionzi ambayo ni rahisi sana kugunduliwa na droni na vifaa vyengine vya kipelelezi vya adui.
Ni kweli kuwa kombora hatari la hypersonic la Urusi ambalo Marekani hajafanikiwa kulitengeneza laweza kudunguliwa na Patriot lakini ni pale tu linapokuwa liko karibu na kutua kwenye shabaha yake na wala si linapokuwa likisafiri angani kuelekea hapo.
View attachment 2641576
Hii Patriot imeshachunguliwa mbele na nyuma,ni mdebwedo.Zelensky aliuomba Iron dome Toka Israel wamemnyima,ila waliosomea CUBA tuliielewa Israel [emoji1787]
 
Hii Patriot imeshachunguliwa mbele na nyuma,ni mdebwedo.Zelensky aliuomba Iron dome Toka Israel wamemnyima,ila waliosomea CUBA tuliielewa Israel [emoji1787]
Zele nae muda mwingine awe sirias


Iron dome si ndio iliyokua inalinda anga la taifa teule wakat kombora za wanamgambo zilizotengenezwa kienyej zinapenya
 
Huwezi linganisha patriot na s400, ni kweli haziko 100% efficient ila efficiency ya patriot ni duni sana.
These are just commercial gimmicks, the so called S-400 you're exalting has never been tested anywhere and its efficacy proven.
 
Vivyo hivyo kwa mifumo za kinga ya anga kama S-300 na S-400 za Russia kwa sababu zote zinatumia principles zilezile.

Hakuna mfumo wowote wa anga ambao unaweza kufanya kazi vizuri kwa asilimia mia moja, hakuna.

No air defence system in the world that is 100% perfect and this is a fact that some people out of sheer ignorance and senseless fanaticism are not ready to comprehend. Very pitiable.
Lakini zitakuwa zinazidiana percentage of excellence. Au sio
 
Vivyo hivyo kwa mifumo za kinga ya anga kama S-300 na S-400 za Russia kwa sababu zote zinatumia principles zilezile.

Hakuna mfumo wowote wa anga ambao unaweza kufanya kazi vizuri kwa asilimia mia moja, hakuna.

No air defence system in the world that is 100% perfect and this is a fact that some people out of sheer ignorance and senseless fanaticism are not ready to comprehend. Very pitiable.
Source?
 
Patriot ni mfumo wa miaka ya 90 ila umedungua Kinzhal ya 2018
Imesababisha Warusi hawazitumi tena
Acheni uongo jamani, hakuna hata Kinzhal hata moja iliyo wahi kutunguliwa na Patriot ADS hata moja - hizi propaganda za media za Kimerikani ndio tabia kusema uongo - hapo wameona Kinzhal hypersonic missiles zinazidi kete Patriot ADS ndio maana US propaganda machinenary wanakuja na adithi. za kuchonga eti Patriot imefamikiwa kutungua Kinzhal lengo ni kutaka kulinda soko la Patriot Duniani -katika vita hii silaha za Urusi zime abiasha sana silaha za Kemirikani.
 
Back
Top Bottom