Patrobas Katambi "adindishiwa" na mwananchi

Patrobas Katambi "adindishiwa" na mwananchi

Watu wamechoka! Katambi alianza kwa kusema "huo ujinga fanyia wengine".

Mwananchi akaonya na kupinga vikali kutukanwa (kuambiwa mjinga) hadharani. Na Katambi alipoamuru polisi wamkamate mwananchi aliamua kukaa chini.

Tazama video hii ya nusu dakika ujionee mwenyewe.

View attachment 1861876
Tunataka clip ya tukio zima toka mwanzo mpaka mwisho. Hizi za kukatwa katwa mara nyingi zina ajenda ya kupakana matope.
 
Madaraka hayana tofauti na bangi. Hulevya.
Nimejiuliza tu asingekuwa na polisi karibu au polisi wangegoma kutekeleza agizo lake la kumshika huyo jamaa nahisi katambia angeanza yeye kukimbia au kukimbilia kwenye gari , maana jeuri yote hiyo inakuja kwa sababu anaona kuna jeshi la pilisi hapo karibu ndio maana anaongea kwa kujiamini na jeuri.
 
Watu wamechoka! Katambi alianza kwa kusema "huo ujinga fanyia wengine".

Mwananchi akaonya na kupinga vikali kutukanwa (kuambiwa mjinga) hadharani. Na Katambi alipoamuru polisi wamkamate mwananchi aliamua kukaa chini.

Tazama video hii ya nusu dakika ujionee mwenyewe.

View attachment 1861876
Kwa hiyo ni sawa kumdindia kiongozi wa serikali?
 
Watu wamechoka! Katambi alianza kwa kusema "huo ujinga fanyia wengine".

Mwananchi akaonya na kupinga vikali kutukanwa (kuambiwa mjinga) hadharani. Na Katambi alipoamuru polisi wamkamate mwananchi aliamua kukaa chini.

Tazama video hii ya nusu dakika ujionee mwenyewe.

View attachment 1861876
Haikuchukua hata mwezi tangu Magufuli alivyomdhalilisha yule mwananchi wa Mbezi - alirekeshwa kwao Chato ndani ya box
Huyu Katambi sijui amebakiwa na siku ngapi.

Mungu yupo na ni wa watu wote. Hataniwi!
 
Watu wamechoka! Katambi alianza kwa kusema "huo ujinga fanyia wengine".

Mwananchi akaonya na kupinga vikali kutukanwa (kuambiwa mjinga) hadharani. Na Katambi alipoamuru polisi wamkamate mwananchi aliamua kukaa chini.

Tazama video hii ya nusu dakika ujionee mwenyewe.

View attachment 1861876
Jamaa angemlamba kichaa. Nyoki
 
Haikuchukua hata mwezi tangu Magufuli alivyomdhalilisha yule mwananchi wa Mbezi - alirekeshwa kwao Chato ndani ya box
Huyu Katambi sijui amebakiwa na siku ngapi.

Mungu yupo na ni wa watu wote. Hataniwi!
Aah huu ni ujinga
 
Ilaumiwe chadema ianze kuwasomesha viongozi wake kozi mbalimbali za kiungozi
Ccm haina tena inategemea chadema iandae watu iajiri

Changamoto hiyo simnakumbuka mwingine yule DAS kisarawe alikua anafanya kazi yakutongoza wakezawatu maofisini

Chadema mnategemewa mjipange kwahilo
 
Ila viongozi tusimlaumu Waziri. Kwa tuliokuwepo eneo la tukio huyo kwanza sio mwananchi ni Afisa wa Serikali ambaye ni mmiliki wa Bar na Hotel maarufu hapa Shinyanga. Kuna mwananchi alilalamika kuwa Afisa huyo amepora eneo Lake na kuwekeza ujenzi wa ukuta kuzunguka hotel yake.

Ndipo Waziri Katambi alimtaka huyo mmiliki(Afisa mifugo, hapa mmemwita mwananchi) kutoa ufafanuzi. Badala ya kujibu madai ya mwananchi anayemlalamikia yeye akawa anajibu vinginevyo. Kukatokea majibishano mabaya baina ya huyo Afisa na Waziri.

Kwa ufupi Afisa alijibu vibaya, japo nalaani hatua alizochukuliwa lakini hakupaswa kumjibu vile Waziri.

Na mnaofikiri huyo mwananchi ni raia wa kawaida, mjue kuwa huyo ni Afisa Mifugo na mfanyabiashara mwenye bar na hotel maarufu hapa Shinyanga. Na malalamiko ya huyu mwananchi aliyeporwa eneo ni ya miaka mingi sana lakini hakuna msaada wowote wa kisheria aliopatiwa considering kwamba alinyang'anywa eneo na mtu ambae ni giant.

Tusihukumu kwa kutumia incomplete infos. Kwa mashuhuda wengine waliokuwepo wanaweza kunisahihisha. Tujifunze kuheshimu viongozi, kulikuwa na majibishano mengine zaidi ya haya yaliyorekodiwa.
 
Wanasiasa dhaifu wakizidiwa hoja uomba msaada wa police.
 
Ila viongozi tusimlaumu Waziri. Kwa tuliokuwepo eneo la tukio huyo kwanza sio mwananchi ni Afisa wa Serikali ambaye ni mmiliki wa Bar na Hotel maarufu hapa Shinyanga. Kuna mwananchi alilalamika kuwa Afisa huyo amepora eneo Lake na kuwekeza ujenzi wa ukuta kuzunguka hotel yake.

Ndipo Waziri Katambi alimtaka huyo mmiliki(Afisa mifugo, hapa mmemwita mwananchi) kutoa ufafanuzi. Badala ya kujibu madai ya mwananchi anayemlalamikia yeye akawa anajibu vinginevyo. Kukatokea majibishano mabaya baina ya huyo Afisa na Waziri.

Kwa ufupi Afisa alijibu vibaya, japo nalaani hatua alizochukuliwa lakini hakupaswa kumjibu vile Waziri.

Na mnaofikiri huyo mwananchi ni raia wa kawaida, mjue kuwa huyo ni Afisa Mifugo na mfanyabiashara mwenye bar na hotel maarufu hapa Shinyanga. Na malalamiko ya huyu mwananchi aliyeporwa eneo ni ya miaka mingi sana lakini hakuna msaada wowote wa kisheria aliopatiwa considering kwamba alinyang'anywa eneo na mtu ambae ni giant.

Tusihukumu kwa kutumia incomplete infos. Kwa mashuhuda wengine waliokuwepo wanaweza kunisahihisha. Tujifunze kuheshimu viongozi, kulikuwa na majibishano mengine zaidi ya haya yaliyorekodiwa.
Afsa yukosahihi anamjibuje katambi ,katambi ni mahakama

Harafu eti amesoma sheria
 
Walizoea Ocd we ndani huyu.Primitive kabisa sasa akishawekwa ndani what's next? Ndani si sawa na guest tu at the end ni mahakamani utatoka.
Shida ni malezi yetu ni ya viboko kuamua matatizo kwa kutumia fimbo au nguvu badala ya akili.
 
Back
Top Bottom