Paul Christian Makonda, Mwamba wa Afrika ajaye.

Paul Christian Makonda, Mwamba wa Afrika ajaye.

Mushkov

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2024
Posts
357
Reaction score
686
Hongera sana mh. RC wa Arusha, Paul Christian Makonda.
Binafsi nakukubali sana hasa kwa mambo makuu 5 ambayo ni:-
I. Ubunifu
II. Usimamizi
III. Ufuatiliaji
IV. Ujasiri
V. Kutokukubali kushindwa.
Hongera sana kwa kufuata nyayo za Mwamba wa Afrika, JPM. Tulimpenda sana yule Mwamba. Mungu akujalie kila la heri ili siku moja Tanzania ije kumpata Mwamba mwingine kama JPM.

NB:- Kipekee naomba umkanye RC mwenzio yule ambaye anashindwa kuwa mbunifu ili aonekane kwa ubunifu wake badala yake anatumia DINI ili aonekane na Mamlaka za uteuzi kwamba na yeye ana DINI sawa na DINI aliyonayo Mamlaka ya uteuzi.
Hatujawahi kuwa na mtu mbovu kiasi hicho. Mwambie aache kutumia DINI ili kulinda uteuzi bali apige kazi kama wewe(Makonda) ili kulinda uteuzi.
 
Hongera sana mh. RC wa Arusha, Paul Christian Makonda.
Binafsi nakukubali sana hasa kwa mambo makuu 5 ambayo ni:-
I. Ubunifu
II. Usimamizi
III. Ufuatiliaji
IV. Ujasiri
V. Kutokukubali kushindwa.
Hongera sana kwa kufuata nyayo za Mwamba wa Afrika, JPM. Tulimpenda sana yule Mwamba. Mungu akujalie kila la heri ili siku moja Tanzania ije kumpata Mwamba mwingine kama JPM.

NB:- Kipekee naomba umkanye RC mwenzio yule ambaye anashindwa kuwa mbunifu ili aonekane kwa ubunifu wake badala yake anatumia DINI ili aonekane na Mamlaka za uteuzi kwamba na yeye ana DINI sawa na DINI aliyonayo Mamlaka ya uteuzi.
Hatujawahi kuwa na mtu mbovu kiasi hicho. Mwambie aache kutumia DINI ili kulinda uteuzi bali apige kazi kama wewe(Makonda) ili kulinda uteuzi.
the gentleman is modern and visionary young political leader of new era 💪👊
 
Hongera sana mh. RC wa Arusha, Paul Christian Makonda.
Binafsi nakukubali sana hasa kwa mambo makuu 5 ambayo ni:-
I. Ubunifu
II. Usimamizi
III. Ufuatiliaji
IV. Ujasiri
V. Kutokukubali kushindwa.
Hongera sana kwa kufuata nyayo za Mwamba wa Afrika, JPM. Tulimpenda sana yule Mwamba. Mungu akujalie kila la heri ili siku moja Tanzania ije kumpata Mwamba mwingine kama JPM.

NB:- Kipekee naomba umkanye RC mwenzio yule ambaye anashindwa kuwa mbunifu ili aonekane kwa ubunifu wake badala yake anatumia DINI ili aonekane na Mamlaka za uteuzi kwamba na yeye ana DINI sawa na DINI aliyonayo Mamlaka ya uteuzi.
Hatujawahi kuwa na mtu mbovu kiasi hicho. Mwambie aache kutumia DINI ili kulinda uteuzi bali apige kazi kama wewe(Makonda) ili kulinda uteuzi.
Hizi shule za kata zimezalisha watanganyika wajinga sana.
 
Hongera sana mh. RC wa Arusha, Paul Christian Makonda.
Binafsi nakukubali sana hasa kwa mambo makuu 5 ambayo ni:-
I. Ubunifu
II. Usimamizi
III. Ufuatiliaji
IV. Ujasiri
V. Kutokukubali kushindwa.
Hongera sana kwa kufuata nyayo za Mwamba wa Afrika, JPM. Tulimpenda sana yule Mwamba. Mungu akujalie kila la heri ili siku moja Tanzania ije kumpata Mwamba mwingine kama JPM.

NB:- Kipekee naomba umkanye RC mwenzio yule ambaye anashindwa kuwa mbunifu ili aonekane kwa ubunifu wake badala yake anatumia DINI ili aonekane na Mamlaka za uteuzi kwamba na yeye ana DINI sawa na DINI aliyonayo Mamlaka ya uteuzi.
Hatujawahi kuwa na mtu mbovu kiasi hicho. Mwambie aache kutumia DINI ili kulinda uteuzi bali apige kazi kama wewe(Makonda) ili kulinda uteuzi.
Kwenye geti la chuo kikuu cha Cape Town nchini Afrika kusini kuna maandishi yasemayo; "Ukitaka kuangamiza taifa lolote duniani huhitaji kutumia silaha za nyuklia wala mabomu ya atomic. Njia nzuri ya kuangamiza taifa ni kuharibu mfumo wa elimu. Ruhusu "mbumbumbu" waonekane wamefaulu na wasonge mbele. Matokeo yake yatajionesha baada ya muda, "mbumbumbu" hao wakishahitimu. Wagonjwa watafia mikononi mwa madaktari, majengo yataanguka mikononi mwa wahandisi, pesa zitapotelea mikononi mwa wachumi, utu utapotea mikononi mwa viongozi wa dini, na haki itapoteleau mikononi mwa mahakimu. Kuchezea elimu ni kuangamiza taifa
 
Hongera sana mh. RC wa Arusha, Paul Christian Makonda.
Binafsi nakukubali sana hasa kwa mambo makuu 5 ambayo ni:-
I. Ubunifu
II. Usimamizi
III. Ufuatiliaji
IV. Ujasiri
V. Kutokukubali kushindwa.
Hongera sana kwa kufuata nyayo za Mwamba wa Afrika, JPM. Tulimpenda sana yule Mwamba. Mungu akujalie kila la heri ili siku moja Tanzania ije kumpata Mwamba mwingine kama JPM.

NB:- Kipekee naomba umkanye RC mwenzio yule ambaye anashindwa kuwa mbunifu ili aonekane kwa ubunifu wake badala yake anatumia DINI ili aonekane na Mamlaka za uteuzi kwamba na yeye ana DINI sawa na DINI aliyonayo Mamlaka ya uteuzi.
Hatujawahi kuwa na mtu mbovu kiasi hicho. Mwambie aache kutumia DINI ili kulinda uteuzi bali apige kazi kama wewe(Makonda) ili kulinda uteuzi.
Wewe na huyo bashite wote ziro brain
 
Hongera sana mh. RC wa Arusha, Paul Christian Makonda.
Binafsi nakukubali sana hasa kwa mambo makuu 5 ambayo ni:-
I. Ubunifu
II. Usimamizi
III. Ufuatiliaji
IV. Ujasiri
V. Kutokukubali kushindwa.
Hongera sana kwa kufuata nyayo za Mwamba wa Afrika, JPM. Tulimpenda sana yule Mwamba. Mungu akujalie kila la heri ili siku moja Tanzania ije kumpata Mwamba mwingine kama JPM.

NB:- Kipekee naomba umkanye RC mwenzio yule ambaye anashindwa kuwa mbunifu ili aonekane kwa ubunifu wake badala yake anatumia DINI ili aonekane na Mamlaka za uteuzi kwamba na yeye ana DINI sawa na DINI aliyonayo Mamlaka ya uteuzi.
Hatujawahi kuwa na mtu mbovu kiasi hicho. Mwambie aache kutumia DINI ili kulinda uteuzi bali apige kazi kama wewe(Makonda) ili kulinda uteuzi.
Heshimu afrika, tatizo la watanzania including you manadhani mnavyowasifia viongozi wenu humu ndio afrikaa nzima itawasifia, huko afrika nako wana viongozi wao nao wanawaona bora, so stop hii hype ya uchawa
 
Ila Chadema!!
 

Attachments

  • IMG-20241117-WA0032.jpg
    IMG-20241117-WA0032.jpg
    118.5 KB · Views: 5
RC Makonda amesema ili mambo yako yaende serikalini na usiambiwe njoo kesho kila siku unahitaji mambo 3

1. Atoe agizo mtu mkubwa wake
2. ⁠Uwe na urafiki nae
3. ⁠Uwe na rushwa

Usipokuwa na hivyo vitu utasubiri sana
 
Back
Top Bottom