Paul Gascoigne (Gazza) anasikitisha kwa kweli

Huyu mtu alikuwa anaujua mpira na vituko vingi kuna siku timu ya taifa wanafanya mazoezi sasa kulikuwa na kijiukuta kapanda Paul Ince(kaka mkuu)gazza alikuwa nyuma yake akamvua bukta Ince alikuwa mbabe kweli basi kwa ghadhabu akageuka ili ashambulie tahamaki anamkuta gazza ikabidi achake.
Kituko kingine refa alidondosha kadi ya njano basi gazza akaiokota na kunyoosha juu kuwa kampa kadi refa kwa uzembe wa kuidondosha.Atabaki kuwa ni mtu mwenye kipaji kati ya waingereza.
 
....nikimsomaga huyu fundi namkumbuka Gagarino(R.I.P)
..yani na kuendelea kote Waingereza wameshindwa kumsaidia huyu jamaa?..dah
 
So sad, addiction ya alcohol na drugs zingine ni vitu vya kuepuka to the maximum. Marriage inahitaji vilevile a right choice, unless unaweza ukadata bila hata hizo DRUGS
 
...95!..basi ishu za kina Rio zilie kabunyau tu kiutu uzima!...
 
....nikimsomaga huyu fundi namkumbuka Gagarino(R.I.P)
..yani na kuendelea kote Waingereza wameshindwa kumsaidia huyu jamaa?..dah
Mkuu sikio la kufa hilo. Alichangiwa na friends zake mara nyingi tu esp. Gary Lineker kwenda rehab, FA na Government pia walimchangia
 
Mkuu sikio la kufa hilo. Alichangiwa na friends zake mara nyingi tu esp. Gary Lineker kwenda rehab, FA na Government pia walimchangia
...Gary Lineker!..dah,fundi mwingine!
...si wanajifanyaga wataalamu wa kubadilisha damu sijui...Gazza nembo ya soka la England,wambebe tu hata kwa mbeleko la chuma!
 
Duh nilimpendaga enzi hizo, bodi lake lilikuwa motoooooo hadi ilibidi nimshike mkono siku moja kusalimiana nae nilipokutana nae... Alikuja Tandale... Ooh jamani ndio hivyo tena...anasikitisha duh!!!
 
Nawasiwasi NA mstariwapi tokachimi(mtoto nae wakiume)..sinahakika kama n wake
 
Huyu hapa akishangilia goli lake dhidi ya Scotland Euro 96.
 
Kwenye ubora wake alikuwa bonge la player, maneno ti hayatoshi kumuelezea pasina vitendo... Ila kwenye ubora wake wa sasa ni mlevi mbwa.. Picha tu inatosha kuelezea yaliyo nyuma ya mgongo...

Namuonea huruma, moja kati ya vipaji adimu uingereza walibarikiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…