Paul Kagame Amteua Major Gen Alex Kagame Kuwa Chief of Staff wa Reserve Forces na Maj Gen Andrew Kagame kuwa Commander wa Div 1

Paul Kagame Amteua Major Gen Alex Kagame Kuwa Chief of Staff wa Reserve Forces na Maj Gen Andrew Kagame kuwa Commander wa Div 1

View attachment 3125654

Halafu kasema uteuzi unaanza mara moja. Huu sasa ni uchuro na dharau kwa Wanyarwanda wote
Nawapenda sana watu wanaoonesha rangi zao halisi kama mheshimiwa kagame.
ukisikia umeitwa,uende umeandika wosia kabisa,kuliko wanaoambiwa
''utarudi kwa amani,mtu anakuta si amani na nyumbani hakuacha mrithi''
 
Power corrupts..Huyu jamaa ndo kwisha habari yake. Mtu lazima ucheze na nyakati - huyu jamaa angeishajistaafia kitambo sana - angekua kajipumzikia zake..anatengeneza maadui tu..atakuwa na mwisho mbaya sana..
 
Mwenye uweza wa kuwafaham Hao watoto na picha zao...

Napata makangafu nikijua lini Hao watoto wamefikia cheo cha Maj General

kwa kuongezea tu inasemekana kagame alitaka watoto wake wote wa kiume waingie jeshin, sema mmoja (anaitwa Ivan) amezingua hana interest na jeshi pamoja na kupelekwa kwenye moja ya vyuo bora vya kijeshi UK. lakini alidrop baada ya miez miwili tu akamwambia baba yake hana interest na jeshi.. akasema ana interest na mambo ya bussiness sasa hv nasikia ni mmoja wa board member kwenye Rwanda Development Board (RDB)

inasemekana huyo hapo chini "Brian" ilibidi apelekwe kwenye chuo cha jeshi na bodygurd ( kwenye miaka 2021) kuhakikisha anamaliza course nafikiri sasa hv ni anacheo cha captain

BRIAN kagame

1728994304699.png


Ian kagame yeye sasa hv ni mmoja wa bodygurds wa rais

1728994740749.png


Major ALex Kagame

1728994914441.png


major Andrew kagame

1728995247900.png



by the way hao walioteuliwa leomajor Andrena huyo major ALex wana uhusiano gani na president je ni watoto, ndugu wa karibu au ni kaka zake?.. au ni mfanano wa majina tu ?
 
Kipi bora kuwa chini ya udikteta na kupata maendeleo au kuwa chini ya demokrasia na maendeleo zero?
Maendeleo ya kwanza ya mwanadamu ni UHURU wake mengine yafuate
Unatawaliwa na jitu linaziba haki kadhaa za kiraia kisha uje ujisifu mna maendeleo!!
Tanganyika, Rwanda na Burundi zilipata maendeleo makubwa chini ukoloni wa Kijerumani lakini tuliwaondoa ili tujitawale kwa uhuru.
Kama mnataka maendeleo chini ya ukandamizaji warudisheni Wajerumani siyo hawa kenge wengine waliojaa u..sen..g
 
Jamaa ni kama Museven, hawajiamini na nguvu zinaisha, umri unakutupa mkono.
Kikubwa wasirudi kwenye machafuko, wakirudi huko Tanzania ndio mpokea wakimbizi.
Tatizo linakuja pale unapotawala nchi yako kwa mkono wa chuma.
Watawala wa aina hiyo hawaachi madaraka mpaka kifo kiwakute.
Maana nje ya madaraka wanajikuta na kesi nyingi za jiai.
 
Kiwango cha akili cha Watanzania ni kidogo Sana , hapo kwenu yenyewe teuzi nyingi zinaenda kiundugu hamsemi, hapa mnalipuka kama watu manaowashwa mnataka kukunwa , hapo cha ajabu ni kipi?
 
Back
Top Bottom