Paul Kagame Amteua Major Gen Alex Kagame Kuwa Chief of Staff wa Reserve Forces na Maj Gen Andrew Kagame kuwa Commander wa Div 1

Paul Kagame Amteua Major Gen Alex Kagame Kuwa Chief of Staff wa Reserve Forces na Maj Gen Andrew Kagame kuwa Commander wa Div 1

Tunapenda kulaumu bila kufanya tafiti..hakuna mwanafamilia ya Paul Kagame hapo.
 
Kiwango cha akili cha Watanzania ni kidogo Sana , hapo kwenu yenyewe teuzi nyingi zinaenda kiundugu hamsemi, hapa mnalipuka kama watu manaowashwa mnataka kukunwa , hapo cha ajabu ni kipi?
Hata Trump alimteuwa mkwe wake kwenye serikal yake akamteuwa mtoto wake hatukulaumu akifanya kagame inakuwa nongwa
 
Hata Trump alimteuwa mkwe wake kwenye serikal yake akamteuwa mtoto wake hatukulaumu akifanya kagame inakuwa nongwa
Wapuuzi ndio hulaumu kagame watoto wa kuzaa wa kiume ni Ian na Ivan , hao wengine wanatumia jina tu maana jina kagame ni common Rwanda tena kwa hao hawana uhusiano wowote na kagame , hasa siku Ian akiwa CDF watu watawehuka kabisa, na wala hakuna la ajabu hapo mbona Leo Riz ni waziri hatusemi, mkwe wa namba moja ni waziri watu wako kimya, wakurugenzi huko kwenye halmashauri ni watoto au ndugu wa viongozi hatusemi, haya makongoro ni mkuu wa mkoa watu wako kimya , wakisikia habari za Rwanda na Uganda ndio makalio huwawasha na kujifanya wachambuzi wa siasa za kimataifa,
 
Juz kiduku kampandisha cheo jeshini dada ake, media zote za mabeberu zimepiga kelele dunia nzima kulaani uteuzi, wakisema KIDUKU Ni dikteta.

Leo Kagame kateua ndugu zake wawili, media zote za mabeberu Kimya, kana kwamba Ni habari ya kawaida sana.

Africa nzima Huwezi kusikia NGO za mabeberu zillkilaani hili suala Kwasababu aliefanya Ni mtu wao, anaelinda sana maslahi Yao ukanda huu wote.

HII TAFSIRI YAKE NI NINI,
Democracy ya wazungu Ni utapeli, democracy Ni kichaka Cha mabeberu kufanikishia ajenda zao za kinyonyaji.

Na wakiona unazingua, wanatumia hiyo hiyo democracy kukuchafua (media) na kukusulubisha (military)
 
Juz kiduku kampandisha cheo jeshini dada ake, media za mabeberu zimepiga kelele dunia nzima kwamba KIDUKU Ni dikteta.

Leo Kagame kateua ndugu zake wawili, media zote Kimya, kana kwamba Ni jambo la kawaida.

Africa nzima Huwezi kusikia NGO za mabeberu zillkilaani hili suala.

HII TAFSIRI YAKE NI NINI,
Democracy ya wazungu Ni utapeli, democracy Ni kichaka Cha mabeberu kufanikishia ajenda zao za kinyonyaji.

Na wakiona unazingua, wanatumia hiyo hiyo democracy kukuchafua (media) na kukusulubisha (military)
Demokrasia ni utapeli wa wazi kama unavosema , na duniani hakuna demokrasia , trump aliteua hadi mwanae kelele hatukuzisikia, Leo hii Israel kaua watu bila huruma , angefanya wasiomtaka angeshakamatwa muda mrefu
 
Demokrasia ni utapeli wa wazi kama unavosema , na duniani hakuna demokrasia , trump aliteua hadi mwanae kelele hatukuzisikia, Leo hii Israel kaua watu bila huruma , angefanya wasiomtaka angeshakamatwa muda mrefu
Sahii kbs mkuu, democracy Ni illusion
 
Back
Top Bottom