Paul Kagame: Dikteta katili anayefugwa na Wamarekani

Paul Kagame: Dikteta katili anayefugwa na Wamarekani

Tukijifanya kukadharau "kamungu" haka itakula kwetu.

Jamaa anayo mikakati anaitekeleza kwa umakini mkubwa, huku sisi tukikenua mimeno kama kichwani hatuna akili!

aka kamungu mtu nilikua nakadharau pia ila nilipokuja kusoma kitabu chake kinaitwa behind the presidential curtain, ndipo nilipoanza kukaangalia kwa jicho lingine ni atali kuliko tunavyofikilia, na tatizo ndg zetu ccm wao wanazani adui wa taifa hili ni mbowe na tundu lissu, siku akili itakapo wakaa sawa watakuwa wameshachelewa, na haka kamungu mtu kalipata nafasi zaidi baada ya jpm kuomba ma IT kutoka kwake iyo nafasi kalivyoitumia vizuri italigharimu taifa hili kwa miaka mingi sana,
 
aka kamungu mtu nilikua nakadharau pia ila nilipokuja kusoma kitabu chake kinaitwa behind the presidential curtain, ndipo nilipoanza kukaangalia kwa jicho lingine ni atali kuliko tunavyofikilia, na tatizo ndg zetu ccm wao wanazani adui wa taifa hili ni mbowe na tundu lissu, siku akili itakapo wakaa sawa watakuwa wameshachelewa, na haka kamungu mtu kalipata nafasi zaidi baada ya jpm kuomba ma IT kutoka kwake iyo nafasi kalivyoitumia vizuri italigharimu taifa hili kwa miaka mingi sana,
How???
Huyo dogo haiwezi tz na anajua,
Uganda tuu haiwezi ataiweza tz???? Watu mnamasikhara humu ndani
 
How???
Huyo dogo haiwezi tz na anajua,
Uganda tuu haiwezi ataiweza tz???? Watu mnamasikhara humu ndani

mkuu haka ka mungu mtu usikachukulie poa hata kidogo jalibu kukafatilia ni noma na nusu, hakafai hata kwa bule
 
How???
Huyo dogo haiwezi tz na anajua,
Uganda tuu haiwezi ataiweza tz???? Watu mnamasikhara humu ndani

na kuhusu uganda ndo kama ipo uchi kwake kalishawahi kuwa camanda wa interejensia wa jeshi la uganda kanaijua nnje ndani, kuna kipindi kalimpiga mkwala bwana mseveni eti kanajua anachokula kila siku na mahali anapolala, tusiongee kuhusu nkulunzinza nazani sote tunajua kilicho mkuta, bila kusahau mchng mtikila huku kwetu
 
Haya lete ushahidi wa vyombo binafsi vya habari vinashirikiana na serikali ya Marekani kumpa sifa Kagame. Kama ukiongelea vyombo vya habari kama Voice of America (VOA) ambavyo ni Marekani inatumia kusambaza propaganda duniani ningekuelewa. Lakini ukianza kusema vyombo vya binafsi kwa mfano CNN ambazo zina ajenda zao tena mara nyingi huwa zinatofautiana na ajenda za serikali ya Marekani, unaongelea mambo ya conspiracy theories tuu.
Mkuu, inaelekea unahitaji somo kamili juu ya maswala haya, nami sina muda wa kufundisha wakati huu.

Ukitaka kujielimisha kuhusu hili, zipo njia mbalimbali za kufanya hivyo, ni kiasi tu cha kuwa tayari kujifunza, kwa kufungua akili yako na kuachana na kushikilia dhana potofu inayokufanya uamini kwamba serikali ya Marekani haishirikiani na vyombo vya habari (binafsi) katika kufanya maamuzi yake mbalimbali.
 
How???
Huyo dogo haiwezi tz na anajua,
Uganda tuu haiwezi ataiweza tz???? Watu mnamasikhara humu ndani
Haya majigambo ndiyo yasiyokuwa na kichwa wala mkia.

Kwa vile tulikuwa hivyo zamani, wewe unadhani tutaendelea tu kuwa hivyo hivyo bila ya kuendelea kujenga huo uimara? Tumebaki tu sasa kujisifia mdomoni huku hatufanyi lolote.
Tueleze, ni eneo gani tunalofahamika kulifanya vizuri sana enzi hizi? Hiyo IT yenyewe tunaomba tukafundishwe na hako 'kamungu'!
 
Mkuu, inaelekea unahitaji somo kamili juu ya maswala haya, nami sina muda wa kufundisha wakati huu.

Ukitaka kujielimisha kuhusu hili, zipo njia mbalimbali za kufanya hivyo, ni kiasi tu cha kuwa tayari kujifunza, kwa kufungua akili yako na kuachana na kushikilia dhana potofu inayokufanya uamini kwamba serikali ya Marekani haishirikiani na vyombo vya habari (binafsi) katika kufanya maamuzi yake mbalimbali.
Bosi, sasa hoja yako mwenyewe kama huna muda wa kuleta ushahidi na kuitetea unafikiri mimi nitakuwa na muda huo? Naona hujanitendea haki hapo. Mimi nina hoja zangu ambazo niko tayari kuzitetea na kutoa ushahidi. Siongelei conspiracy theories ambazo nikiombwa ushahidi au ufafanuzi wake nashindwa kutoa.
 
Bosi, sasa hoja yako mwenyewe kama huna muda wa kuleta ushahidi na kuitetea unafikiri mimi nitakuwa na muda huo? Naona hujanitendea haki hapo. Mimi nina hoja zangu ambazo niko tayari kuzitetea na kutoa ushahidi. Siongelei conspiracy theories ambazo nikiombwa ushahidi au ufafanuzi wake nashindwa kutoa.
Aiseee, hivi kweli unataka kulikomalia hili jambo?

Unao ushahidi wa kuonyesha kwamba serikali ya Marekani haishirikiani na vyombo vya habari vya nchi hiyo katika baadhi ya maamuzi yake?

Hivi wewe unaelewa "opinion formers" au 'influencers' ni watu wa aina gani?

Huna habari kabisa kuhusu makampuni binafsi (lobbysts) yanayofanya kazi kuunda 'policies' za serikali hiyo, hujui kabisa?
Kwani unadhani haya makampuni ya biashara yanategemea habari zao toka wapi?

Huna taarifa kabisa, kwamba vinchi vyetu hivi, kama Uganda na Kenya, wameaajiri kabisa makampuni haya kuwafanyia kzai juu ya mambo ya nchi zao na serikali ya Marekani? Hata sisi enzi za Kikwete tuliwahi kuajiri 'lobbyst' atulainishie njia juu ya jambo tulilotaka kulifanya.

Wewe yote haya huyajui, na unataka ushahidi?

Angalia vita vyote anavyopeleka wanajeshi katika nchi mbalimbali, kama Iraq, na kwingineko. Tazama kampeni zinazofanyika kupitia katika vyombo vya habari vya nchi hiyo kabla na wakati wa vita, vikitumiwa na serikali, wewe hujui?

Vyombo vya habari vinavyomirikiwa na wayahudi, hujui 'influence' yake juu ya serikali ya Marekani na maamuzi yake inapowahusu taifa la Israel?
Sasa wewe unataka uambiwe nini kama siyo uvivu wa kufikiri na tabia mbaya yetu waTanzania kutotaka kujibidisha kujielimisha tusiyoyajua!
 
Kuna wale watutsi wa jf haipiti wiki lazima wamfungulie uzi wa kumsifia mungu wao,, njooni mumsafishe mungu wenu huku
 
Aiseee, hivi kweli unataka kulikomalia hili jambo?

Unao ushahidi wa kuonyesha kwamba serikali ya Marekani haishirikiani na vyombo vya habari vya nchi hiyo katika baadhi ya maamuzi yake?

Hivi wewe unaelewa "opinion formers" au 'influencers' ni watu wa aina gani?

Huna habari kabisa kuhusu makampuni binafsi (lobbysts) yanayofanya kazi kuunda 'policies' za serikali hiyo, hujui kabisa?
Kwani unadhani haya makampuni ya biashara yanategemea habari zao toka wapi?

Huna taarifa kabisa, kwamba vinchi vyetu hivi, kama Uganda na Kenya, wameaajiri kabisa makampuni haya kuwafanyia kzai juu ya mambo ya nchi zao na serikali ya Marekani? Hata sisi enzi za Kikwete tuliwahi kuajiri 'lobbyst' atulainishie njia juu ya jambo tulilotaka kulifanya.

Wewe yote haya huyajui, na unataka ushahidi?

Angalia vita vyote anavyopeleka wanajeshi katika nchi mbalimbali, kama Iraq, na kwingineko. Tazama kampeni zinazofanyika kupitia katika vyombo vya habari vya nchi hiyo kabla na wakati wa vita, vikitumiwa na serikali, wewe hujui?

Vyombo vya habari vinavyomirikiwa na wayahudi, hujui 'influence' yake juu ya serikali ya Marekani na maamuzi yake inapowahusu taifa la Israel?
Sasa wewe unataka uambiwe nini kama siyo uvivu wa kufikiri na tabia mbaya yetu waTanzania kutotaka kujibidisha kujielimisha tusiyoyajua!

Kama kitu hakipo ushahidi nitautoa wapi? Yaani wewe kama umeshindwa kuleta ushahidi wa kuwepo unachokisema unataka mimi nilete ushahidi kwamba hakipo i.e. proving a negative. Hapana, mzigo wa kuleta ushahidi, burden of proof upo kwako kwa sababu ndiyo umeipendekeza hiyo hoja. Kama ni kweli vyombo vya binafsi vya habari vinashirikiana na serikali ya Marekani kumpa sifa Kagame toa ushahidi kama huna ni conspiracy theories unaongea. Tena inaelekea wewe unapenda kuongea conspiracy theories maana tayari unaleta nyingine tena za kibaguzi za kusema wayahudi kumiliki vyombo vya habari ku influence serikali ya Marekani. Nikikuuliza ni vyombo vya habari gani hivyo unavyoviongelea sijui hata kama unaweza kuvitaja.
 
Mimi nina hoja zangu ambazo niko tayari kuzitetea na kutoa ushahidi. Siongelei conspiracy theories ambazo nikiombwa ushahidi au ufafanuzi wake nashindwa kutoa.
Kama kitu hakipo ushahidi nitautoa wapi? Yaani wewe kama umeshindwa kuleta ushahidi wa kuwepo unachokisema unataka mimi nilete ushahidi kwamba hakipo i.e. proving a negative.
Inawezekana najibishana na mtu mjinga ambaye ni mbishi asiyejua anachoandika.
Lakini hata kusoma na kuelewa kilichoandikwa huna uwezo huo?
 
Inawezekana najibishana na mtu mjinga ambaye ni mbishi asiyejua anachoandika.
Lakini hata kusoma na kuelewa kilichoandikwa huna uwezo huo?
Hoja zangu niko tayari kuzitetea na ushahidi kuleta.

Hoja zako zitetee mwenyewe na ushahidi wako, usianze kuniuliza mimi nitoe ushahidi kuzipinga hoja zako au kuniambia nikafanye utafiti mwenyewe. Ukifanya hivyo utaonekana tuu unaongelea conspiracy theories ambazo huna ushahidi nazo.
 
Kagame anapata sifa nyingi sana hasa kwenye vyombo vya habari vya magharibi lakini ukweli ni kwamba sababu kubwa ya kupendwa ni kwamba yeye pamoja na Museveni ndio walinzi wakuu wa western interests katika great lakes region ( hasa Marekani).

Katika historia ya Afrika mashariki na kati hakuna mtu aliyehusika kuua watu wengi zaidi either directly au indirectly kama Paul Kagame.

Report ya ICTR ( International criminal tribunal for Rwanda) ilipata Ushahidi wa kutosha kumshitaki Kagame kwa Genocide kwamba yeye na majeshi yake ndio chanzo kikuu kilichosababisha mauaji ya Kimbari ya mwaka 1994 .

Wamarekani walikataa kufuatilia matokeo ya uchunguzi wa ICTR kwa sababu zao wenyewe. ICTR ilitoa maujumisho yafuatayo kuhusu ni nani aliyetungua ndege iliyomuua Habyarimana.

1) Frank Nziza wa RPA( RPF sasa) ndiye aliyekuwa mkuu wa timu ya RPF iliyotungua ndege. Huyu alikiri kuwa ndiye aliyefyatua mizinga iliyotungua ndege
2) Matayenga Nyakarundi (wa RPF) ndiye aliyempa Frank hayo makombora mawili yaliyosafirishwa kwenda Masaka ( Rwanda, karibu na airport) ambapo yalitumika kutungua ndege.Makombora yalifichwa kwenye shamba la Didier Mazimpaka, karibu na uwanja wa ndege.
3) Kayumba Nyamaswa( sasa yuko South Afrika) alihudhuria mikutano mitatu ndani ya RPF iliyopanga kutungua ndege. Mikutano hiyo ilikuwa ‘chaired’ na Paul Kagame.Kayumba alisha kiri kuwa RPF ilitungua hiyo ndege.

4) Serial numbers za Kombora lililotumika kutungua ndege zilikuwa traced mpaka kwenye maghala ya silaha ya jeshi la Uganda. Makombora ya namna hiyo hayajawahi kutumika katika jeshi la Burundi. Kumbuka RPF ilikuwa sehemu ya jeshi la Uganda( waasi) na walitumia silaha zilizotoka Uganda.

Kuna report ya wafaransa pamoja na nyingine ya serikari ya Spain ambazo zilitoa majumuisho hayohayo kwamba RPF ndio waliotungua ndege ya Habyarimana. Kagame aliua watu wengi sana Rwanda (maelfu kwa maelfy ya wahutu) pamoja na wacongo( kutoka ripoti za mashirika ya haki za kibinadamu) lakini kwa sababu ni mtoto mteule haguswi na mtu yoyote.

Kagame hakupenda mapatano yaliyokuwa yanazumgumzwa Arusha, ambapo walikubaliana kugawana madaraka na Habyarimana .Wakaamua kutungua ndege ili wachukue madaraka peke yao kwa kuwa jeshi lao kwa wakati huo lilikuwa na nguvu kuliko la Burundi.

Ila mwishoni, kama ilivyotokea kwa Mobutu, wamarekani watamchoka na siku hiyo ikija, hatakuwa na pa kukimbilia, na madhambi aliyoyafanya yatalipizwa kisasi na wanyarwanda na waathirika wengine wengi wa RPF maziwa makuu.






Sent from my SM-A505FN using JamiiForums mobile app
Usitulazimishe tuwe wanyarwanda siasa zenu nendeni mkamalizane naye.

Jf haitakusaidia kubeba chuki zao dhidi yake
 
Sidhani kama Kagane ni dictator, msimpake matope, jamaa ameijenga nchi yake kwa nia safi, mara nyingi ukiskia mtu anamponda Rais Kagame ujue anawivu na maendeleo ya nchi za watu, tuelekeze nguvu nyingi kudai katiba mpya kwanza jamani sawa,[emoji848]
 
Na sisi ndo tulipokuwa tunaelekea na tulikuwa tumeshafika 85% kila mmoja alikuwa amesha kuwa CCM kwa kupenda au kutokupenda
Sema Jiwe alikuwa dikteta jeuri kama Mugabe wananchi tungeanguka Sana kiuchumi na hapo angetunyoosha vizuri,ila mimi Hali ingekuwa mbali nilipanga kwenda Zambia au Angola au Uganda.
 
mabeberu ukishatimiza agenda zao hata uwe dikteta hawakugusi, we ukitaka kujua mabeberu ni konyo kataa kutumika nao uone wanavokushughulikia kisawa sawa.
Hiki ndicho Magu kilimshinda .Samia akiamua kuwaweka ndani akina Mbowe hadi 2030 watasugua wee ilimradi tuu wazungu waje kujipatia tumalighafi wala hutowasikia wakipiga kelele.
 
Sera nzuri ya kiuchumi ya Rwanda ndio imefanya nchi nyingi za magharibi zimpende PK.

Kwamba ameruhusu uchumi uwe huria kwa sheria za Rwanda na kuondoa vikwazo kadha wa kadha kwa wafanyabiashara lakini wanalipa kodi inavotakiwa.

Pili, amegeuza kilimo cha kizamani kuwa kilimo chenye kutumia ujuzi na elimu yaani knowledge based ecomony ambapo wakulima wanaboresha masoko ya bidhaa za kilimo.

Tatu, Rwanda ya PK inatumia uzuri madini ya Congo ambapo kwa kutumia madini hayohayo Rwanda imeweza kuwekeza kwenye viwanda vikubwa kama kwanda cha magari ya VW.

Ila bado Rwanda inashikilia njia kuu za uchumi kwa kuhakikisha kwamba wafanyabiashara na makampuni yote yana "connection" na chama na serikalini.

Imaaminika kuwa sehemu ya Kivu ni ya Rwanda na imejimilikisha eneo hilo na pana kambi kubwa ya jeshi.

Utegemezi wa nchi za magharibi kwa Rwanda upo katika utulivu wakati wao wakichukua maliasili kule Congo na Rwanda ikihakikisha "security stability" katika eneo lote la maziwa makuu.

Ukimuongelea M7 ndo wahitimisha kwani hawa ni ndege wawili wafananao wenye mbawa sawa.
Nchi gani hakuna sera huria za Uchumi? Acha ujinga mkuu
 
Safi Sana mkuu,na hyo ya USA kuwa nyuma yake kagame sio bahati mbaya Mana walimuandaa wao kwa malengo yao. Naomba mkasome kitabu Cha bwana Howard French titled a continent for taking Kuna mengi kuwahusu Hawa madhalimu was kiafrika wanavoandaliwa na mabeberu wenyewe akiwamo kagame specifically kuandaliwa na USA na hats mafunzo ya kijeshi kayapata huko.
Na huu ndio ukweli ndio waliameisha kuuwawa kwa wale Marais wakamsimika.
 
Aiseee, hivi kweli unataka kulikomalia hili jambo?

Unao ushahidi wa kuonyesha kwamba serikali ya Marekani haishirikiani na vyombo vya habari vya nchi hiyo katika baadhi ya maamuzi yake?

Hivi wewe unaelewa "opinion formers" au 'influencers' ni watu wa aina gani?

Huna habari kabisa kuhusu makampuni binafsi (lobbysts) yanayofanya kazi kuunda 'policies' za serikali hiyo, hujui kabisa?
Kwani unadhani haya makampuni ya biashara yanategemea habari zao toka wapi?

Huna taarifa kabisa, kwamba vinchi vyetu hivi, kama Uganda na Kenya, wameaajiri kabisa makampuni haya kuwafanyia kzai juu ya mambo ya nchi zao na serikali ya Marekani? Hata sisi enzi za Kikwete tuliwahi kuajiri 'lobbyst' atulainishie njia juu ya jambo tulilotaka kulifanya.

Wewe yote haya huyajui, na unataka ushahidi?

Angalia vita vyote anavyopeleka wanajeshi katika nchi mbalimbali, kama Iraq, na kwingineko. Tazama kampeni zinazofanyika kupitia katika vyombo vya habari vya nchi hiyo kabla na wakati wa vita, vikitumiwa na serikali, wewe hujui?

Vyombo vya habari vinavyomirikiwa na wayahudi, hujui 'influence' yake juu ya serikali ya Marekani na maamuzi yake inapowahusu taifa la Israel?
Sasa wewe unataka uambiwe nini kama siyo uvivu wa kufikiri na tabia mbaya yetu waTanzania kutotaka kujibidisha kujielimisha tusiyoyajua!
Kikwete alikuwa rafiki mzuri Sana wa mabeberu ndio maana kipindi kile mambo yalikuwa matamu.
 
Haka kajamaa kwa kushirikiana na mabeberu wanaitesa sana Congo DRC yaani ni kako kuihujumu nchi jirani ili kiwesesha wizi wa rasilimali za Congo.
 
Back
Top Bottom