Paul Kagame: Dikteta katili anayefugwa na Wamarekani

Paul Kagame: Dikteta katili anayefugwa na Wamarekani

Hoja zangu niko tayari kuzitetea na ushahidi kuleta.

Hoja zako zitetee mwenyewe na ushahidi wako, usianze kuniuliza mimi nitoe ushahidi kuzipinga hoja zako au kuniambia nikafanye utafiti mwenyewe. Ukifanya hivyo utaonekana tuu unaongelea conspiracy theories ambazo huna ushahidi nazo.
Hoja zako ni zipi na ushahidi uko wapi?
Inabidi nikushike mkono na masikio kiasi hiki, maanake naona wewe ni mgumu sana wa kuelewa!
 
"Mambo yalikuwa matamu", huku jamaa wakizoa kila walichoweza kubeba kwa bei cheee!
Kwa mfano walibena nini kwa bei Chee? Ndio mambo yalikuwa matamu kitaa kulikuwa kumechangamka pesa ipo na maendeleo ya mtu yalikuwa kasi sana
 
Hoja zako ni zipi na ushahidi uko wapi?
Inabidi nikushike mkono na masikio kiasi hiki, maanake naona wewe ni mgumu sana wa kuelewa!
Lete ushahidi kwanza unaoonyesha vyombo vya habari binafsi vinashirikiana na serikali ya Marekani kumpa sifa Kagame.
 
Lete ushahidi kwanza unaoonyesha vyombo vya habari binafsi vinashirikiana na serikali ya Marekani kumpa sifa Kagame.
Unakuwa kilaza sasa. Rudi nyuma nilipoku'quote' kama hoja ilikuwa ni 'specific' kwa Kagame ambako naona sasa unakimbilia huko ukidhani utapata nafuu.
 
Unakuwa kilaza sasa. Rudi nyuma nilipoku'quote' kama hoja ilikuwa ni 'specific' kwa Kagame ambako naona sasa unakimbilia huko ukidhani utapata nafuu.
Haya lete ushahidi unaoonyesha vyombo vya habari binafsi vinashirikiana na serikali ya Marekani. Kumbuka pia huu uzi unamuhusu Kagame kwa hiyo ushahidi wowote utakaoleta lazima tuujadili kufuatana na huu uzi wa Kagame.
 
Haya lete ushahidi unaoonyesha vyombo vya habari binafsi vinashirikiana na serikali ya Marekani. Kumbuka pia huu uzi unamuhusu Kagame kwa hiyo ushahidi wowote utakaoleta lazima tuujadili kufuatana na huu uzi wa Kagame.
Hivi unazo akili timamu wewe? Mifano niliyokupa hapo juu kuhusu 'thinktanks, lobbyists, analysts, opinion formers' juu ya uhusika wao bado huielewi ninachoeleza. Unataka mifano ya namna gani?

Wewe unadhani Rwanda na ufinyo wa kainchi kadogo vile, anakaribisha wakimbizi kwa kuwa kainchi hako kana huruma sana na binaadam wanaopata matatizo nchini mwao? Wakimbizi wa Afghanistan wanakwenda kutafuta nini Rwanda? Rwanda ina kitu gani cha kuifanya iwe na ukarimu huo kama siyo mipango ya wakubwa wa dunia hii kukatumia kainchi hako kwa maslahi yao.

Sasa inaonyesha unaboa, kwa sababu huna lolote unalojua kuhusu mambo haya. 'In fact'nimetumia muda mwingi na wewe kuliko nilivyotegemea!
 
Hivi unazo akili timamu wewe? Mifano niliyokupa hapo juu kuhusu 'thinktanks, lobbyists, analysts, opinion formers' juu ya uhusika wao bado huielewi ninachoeleza. Unataka mifano ya namna gani?

Wewe unadhani Rwanda na ufinyo wa kainchi kadogo vile, anakaribisha wakimbizi kwa kuwa kainchi hako kana huruma sana na binaadam wanaopata matatizo nchini mwao? Wakimbizi wa Afghanistan wanakwenda kutafuta nini Rwanda? Rwanda ina kitu gani cha kuifanya iwe na ukarimu huo kama siyo mipango ya wakubwa wa dunia hii kukatumia kainchi hako kwa maslahi yao.

Sasa inaonyesha unaboa, kwa sababu huna lolote unalojua kuhusu mambo haya. 'In fact'nimetumia muda mwingi na wewe kuliko nilivyotegemea!
Rubbish!

Lobbyists wanaoenda ku lobby wanasiasa, wanahusika vipi na vitu vinavyotangazwa na vyombo vya habari binafsi? Sifa anazopewa Kagame na vyombo vya habari binafsi zinahusika vipi na hao 'thinktanks, lobbyists, analysts, opinion formers' uliowasema. Hebu fafanua.

Rwanda imewachukua 250 Afghan schoolgirls in transit kwenda Ulaya au Marekani wewe tayari unaona kuna conspiracy fulani. Na hao Iran waliochukua zaidi ya milioni ya wakimbizi wa Afghanistan inamaanisha Ayatollah Khamenei naye anafugwa na Marekani? Wee jamaa ni mtu wa kuamini sana conspiracy theories ambazo zinaonyesha uwezo wa kufikiri na kuchambua mambo ulivyo mdogo.
 
Rubbish!

Lobbyists wanaoenda ku lobby wanasiasa, wanahusika vipi na vitu vinavyotangazwa na vyombo vya habari binafsi? Sifa anazopewa Kagame na vyombo vya habari binafsi zinahusika vipi na hao 'thinktanks, lobbyists, analysts, opinion formers' uliowasema. Hebu fafanua.

Rwanda imewachukua 250 Afghan schoolgirls in transit kwenda Ulaya au Marekani wewe tayari unaona kuna conspiracy fulani. Na hao Iran waliochukua zaidi ya milioni ya wakimbizi wa Afghanistan inamaanisha Ayatollah Khamenei naye anafugwa na Marekani? Wee jamaa ni mtu wa kuamini sana conspiracy theories ambazo zinaonyesha uwezo wa kufikiri na kuchambua mambo ulivyo mdogo.
Unazidi kuonyesha ukilaza mkubwa niliojua unakusumbua toka mwanzo.
Lakini nashukuru nimehitimisha takwa langu la kukuonyesha ulivyo mtupu kichwani.
 
Sijui watabili wako wapi watuambie kanakufa lini ka paka hako
 
Haka kajamaa kaliua wenzake wote waliokuwa makamanda wa RPF walistuka wakakimbilia nje na aliwafuata hukohuko kuwaua!
 
Vipimo vya rais kupendwa na Marekani ni vipi? Kama ni sifa tuu kwenye vyombo vya habari labda ufafanue ni vyombo vipi maana vingi ni vya binafsi siyo vya serikali. Kama ni vyombo vya habari binafsi vinampa sifa hiyo siyo Marekani rasmi. Hivyo vyombo vya habari binafsi vina ajenda zao ambazo zinaweza kuwa tofauti na sera za Marekani. Kama vipimo ni ushirikiano baina ya nchi, hata sisi tunao ushirikiano mzuri tuu na Marekani. Haina maana Marekani inailinda serikali ya CCM kwa sababu Tanzania na Marekani wana ushirikiano.

Mkuu hujui namna marekani inavoendeshwa tulia!!...
Marekani inaendeshwa kupitia taasisi binafsi serikali inakua na mkono kwene hizo taasis
Wanaotengeneza siraha n makampuni binafs na wanaingia makubaliano na serikali
Media n binafsi lakin znaendesha malengo ya serikali

Kuna mgawanyiko kat ya media zilizoshikwa na republican n democratic
 
Mkuu hujui namna marekani inavoendeshwa tulia!!...
Marekani inaendeshwa kupitia taasisi binafsi serikali inakua na mkono kwene hizo taasis
Wanaotengeneza siraha n makampuni binafs na wanaingia makubaliano na serikali
Media n binafsi lakin znaendesha malengo ya serikali

Kuna mgawanyiko kat ya media zilizoshikwa na republican n democratic
Wewe unayejua hebu lete ushahidi wa hayo uliyoandika
 
Back
Top Bottom