Kajinga haka. Kapuuzi kabisa.
Hivi Madam President hawezi kutuma a squad of 6 to 12 commandos wakamtokea usiku ndani ya choo chake anachojisaidia wakamwambia afunge mdomo au wammalize. Na wamkate kipande cha sikio kama kumbukumbu.
Kila saa kanajifanya kukumbuka juzi 1994. Hakajui historia au kanaona historia ya Wilaya ya Rwanda ambayo hata hivyo imepindishwa maana na wahutu walikufa wengi mno ndio ya muhimu.
Anajua mkaburu alivyotesa na kuua south Africa?. Vipi hapo Zimbabwe, Namibia????? Hapo Congo DRC King Leopold of Belgium alikuwa anaua at will....... Kuna the massacre of Nama and Herero..... Vipi MauMau hapo Kenya.
Ndio wameteseka lakini asijifanye ni wao tu wamepitia madhila makubwa.