Unaeneza UONGO ALAFU unataka ubembelezwe!!!Mkuu mbona hii mada umeichukulia into personal level mpaka unatoa lugha chafu, kisa ni nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaeneza UONGO ALAFU unataka ubembelezwe!!!Mkuu mbona hii mada umeichukulia into personal level mpaka unatoa lugha chafu, kisa ni nini?
Kweli hataishi milele hata wewe na mimi ila ajuaye ni muumba wetu.unahisi ataishi milele,jamaa mwisho wake upo karibu sana.
🙄🙄 duuh aiseeUnaeneza UONGO ALAFU unataka ubembelezwe!!!
Hakuna strong system inayotengenezwa kwa kushikilia nyufa zilizowaangusha waliopita.. Nadhani Nyerere alijitahidi kutengeneza utaifa maana kama angeziacha classes zilizokuwepo kipindi cha uhuru.Swali muhimu ni je Rwanda kuna strong system au hakuna? Anayo succession plan labda watu wa kwenye inner circle yake wanaifahamu au akifa ataacha vacuum na mtifuano utaanzia hapo?
Ni historia tuWalikosea kuvipa hivi vimikoa ya Tanganyika( BURUNDI na RWANDA)mamlaka ya kuwa nchi.
Umesahau Unguja na Pemba inavyosumbua Tanganyika. Siasa haina formula mkuu.Ni historia tu
Ukifuatilia mgawanyo wa mipaka historia, usishangae Zanzibar ikachukua miles kumi za pwani yote ya Africa Mashariki.Umesahau Unguja na Pemba inavyosumbua Tanganyika. Siasa haina formula mkuu.
Umenena vyema.Ukifuatilia mgawanyo wa mipaka historia, usishangae Zanzibar ikachukua miles kumi za pwani yote ya Africa Mashariki.
Kwa hiyo ni history tu mkuu japo politics zinachangia pia
Heshima gani?magu alishafyata mkia, na yeye ndiye wa kwanza kusubmit kwa kagame hadi akazushiwa hadi walinzi wake walikuwa wanyarwanda. jiwe ndio alipoteza kabisa heshimana hadhi ya Tanzania mbele ya Rwanda, heshima ambayo kikwete aliijenga kwa nguvu sana.
Kagame ana miaka 67, anaweza kuitawala Rwanda kwa miaka 10 zaidi akiwa na nguvu, ana muda wa kujipanga na kurekebisha makosa pia kama hiyo tension ni uhalisia.Kinachonitisha sio kuanguka kwa Kagame Ila Rwanda itaendeleaje ikiwa tension baina ya watusi na wahutu haijaisha. Na Kagame ni kama uzi mwembamba sana ulioshikilia Rwanda.. Sijui huo uzi ukikatika patakalika kama hakuna strong system
wazungu ndo wanachezesha kete zote hapa hata kagame hamna kitu anapata nikuchonganishwa tunachonganishwa tuMaslahi ya nchi yake mkuu kwa ku destabilise nchi nyingine?
Labda nikuulize kitu mkuu, unahisi Kagame ana maslahi na M23 au hana?
Hata hivyo he is bold man.Kagame anatapatapa,kawaida mtu anaekaribia kufa.
Uko sahihi, he still look youngerKagame ana miaka 67, anaweza kuitawala Rwanda kwa miaka 10 zaidi akiwa na nguvu, ana muda wa kujipanga na kurekebisha makosa pia kama ni hiyo tension ni uhalisia.
Kwa maelezo yake hana. Na utakuja kugundua watu wanamuogopa.Maslahi ya nchi yake mkuu kwa ku destabilise nchi nyingine?
Labda nikuulize kitu mkuu, unahisi Kagame ana maslahi na M23 au hana?
Safari yake ya kwanza kwenda Nje ya Nchi akiwa Rais alienda Rwanda, Rais Rafiki wake wa kwanza kumtembelea Ikulu alikuqa Joseph Kabila jr.Alikuwa rafiki yake PK, kuna mengi sana aliiga kutoka huko.
Tanzania tunang'ara mkuu, kila nchi ina changamoto zake. Hata Ulaya na America wanazo. Ila kama unaona Prezdaa PK is everything to u hamia huko. Kwanin usitaman Wanyarwanda wangepata prezdaa kama Samia??Siyo kwamba hataki kuaachia madaraka Bali wananchi zaidi ya 90%wanataka aendelee kiutawala.Tungepata kiongozi kama kagame,Tanzania yetu ingeng'ara kama nchi za wenzetu vinavyong'ara.Siyo ule upuuzi wa kuuza maliasili Hivyo
HahahaT
Tanzania tunang'ara mkuu, kila nchi ina changamoto zake. Hata Ulaya na America wanazo. Ila kama unaona Prezdaa PK is everything to u hamia huko. Kwanin usitaman Wanyarwanda wangepata prezdaa kama Samia??
Mimi ilibid nifunge nakuomba kuusambaratisha urafki wao. Coz niljua rais wetu hana utulivu wa kuchanganua mbivu na mbichi incase, maana pale ilkuwa wakat wa kuprocess plan B ya I WILL HIT WHERE IT PAIN.Nasikia aliingizwa king akaacha kiherehere chake cha kujipendekeza kwa watu asiowajua,yeye alifikiri anamkomoa Kikwete kwa kufanya urafiki na adui yake.