Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hotuba hii ambavyo iko live sasa haijulikani ni ya lini hasa lakini ni ya hivi karibuni. Akiongea na Waandishi wa habari wa kitaifa na kimataifa.
For protection of our small Nation i do not need some body's permision, i have said it and i am saying on Day broadlight.
If anybody attemps.....aah!
Generali Kagame anasema who is the incharge of This Worls, does what?
Kwenye mkutano wake na waandishi wa Habari anadai Rwanda haihawahi kamwe kujihusisha na uanzishwaji wa migogoro ndani ya Congo, ingawa kwa muda mrefu watu wamekuwa wakiifanya vita hii kama matatizo ya Rwanda.
Rais huyu Mtabe wa Rwanda anadai kuwa ameshutumiwa kuwa Cruel, Tyrant and Blood Thirsty, anasema hakuna anayeweza kuwa mbaya kiasi hiki na hakuna namna ya kujificha. Na kama ningekuwa mtu wa namna hiyo kama watu wanavyosema badi ningepoteza mvuto kwa watu na hata kwa jamii za kimataifa.
Kama kuna mtu anaweza kuturudisha kwenye nyakati za miaka 30 iliyopita, then we have nothing to loose, we will fight like people have nothing to loose, and some body will pay the price other than ourselves.
" Ntimutinye ibhitumbalaye" akiwapa moyo watu wa Taifa lake. Sijafahamu maana ya msemo huu.
Hut We do not provoke any situation and actually we have been ignoring who provoke us from south, East and West as long as they has not crossed a certain line.
RL unfurl="true" media="youtube:kbiXG_D4SF0"]
View: https://www.youtube.com/live/kbiXG_D4SF0?si=M-YLrPb3eG9K2JW2[/URL]
Hotuba hii ambavyo iko live sasa haijulikani ni ya lini hasa lakini ni ya hivi karibuni. Akiongea na Waandishi wa habari wa kitaifa na kimataifa.
For protection of our small Nation i do not need some body's permision, i have said it and i am saying on Day broadlight.
If anybody attemps.....aah!
Generali Kagame anasema who is the incharge of This Worls, does what?
Kwenye mkutano wake na waandishi wa Habari anadai Rwanda haihawahi kamwe kujihusisha na uanzishwaji wa migogoro ndani ya Congo, ingawa kwa muda mrefu watu wamekuwa wakiifanya vita hii kama matatizo ya Rwanda.
Rais huyu Mtabe wa Rwanda anadai kuwa ameshutumiwa kuwa Cruel, Tyrant and Blood Thirsty, anasema hakuna anayeweza kuwa mbaya kiasi hiki na hakuna namna ya kujificha. Na kama ningekuwa mtu wa namna hiyo kama watu wanavyosema badi ningepoteza mvuto kwa watu na hata kwa jamii za kimataifa.
Kama kuna mtu anaweza kuturudisha kwenye nyakati za miaka 30 iliyopita, then we have nothing to loose, we will fight like people have nothing to loose, and some body will pay the price other than ourselves.
" Ntimutinye ibhitumbalaye" akiwapa moyo watu wa Taifa lake. Sijafahamu maana ya msemo huu.
Hut We do not provoke any situation and actually we have been ignoring who provoke us from south, East and West as long as they has not crossed a certain line.
RL unfurl="true" media="youtube:kbiXG_D4SF0"]
View: https://www.youtube.com/live/kbiXG_D4SF0?si=M-YLrPb3eG9K2JW2[/URL]
30 years bado chochote kikiongelewa anakimbilia genocidegenocide maana ndio imekuwa point yake ya kuhalalisha chochote anachokisemaKwa alichosema ni sahihi kabisa! Naona ni longterm mission ya kumwondoa madarakani!
Hata hivyo tukubali anaipambania Rwanda vya kutosha! Ameitoa Rwanda mbali,kutoka kwenye Genocide mpaka hapo ilipo.
Mnyonge mnyongeni lakini mpeni haki yake!
Anayo.M23 kuna watutsi.So wakishika Congo ni ukweli atapata faida.Maslahi ya nchi yake mkuu kwa ku destabilise nchi nyingine?
Labda nikuulize kitu mkuu, unahisi Kagame ana maslahi na M23 au hana?
huyu ameanza kujisahau,,,,ndo shida ya POWER inakufanya ujione unaakili kuliko🤗🤗🤗Ngoma ikivuma sana mwishowe hupasuka.
huyu jamaa anawashika wajinga wajinga ambao wanafall kwenye hizo PROPAGANDA ZAKE.30 years bado chochote kikiongelewa anakimbilia genocidegenocide maana ndio imekuwa point yake ya kuhalalisha chochote anachokisema
Binadamu huwa wana hulka ya kujisahau sana.huyu ameanza kujisahau,,,,ndo shida ya POWER inakufanya ujione unaakili kuliko🤗🤗🤗
Ngoja mabeberu waseme enough is enough uone atakavyosakamwa kwenye big medias huko duniani ndio atajua hajui alafu wale waasi wa Rwanda waliokimbilia Congo ndo watamtoa hapo chigali😀😀😀😀
Kama sio dikteta mbona hataki kutoka madarakani,anahofia nini???Safi sana mzalendo kagame.kila kukicha wanakusingizia kuwa imesababisha vita congo kitu ambacho ni uongo.Atakayekuchokoza mshughulikie.Sisi kama watanzania wazalendo tunakuunga mkono kuijenga Nchi Yako
Huyu anajitekenya na kucheka mwenyewe na wafuasi wake ambao hawana akili MAZOMBIE ndo wanaelewa utopolo wake.Binadamu huwa wana hulka ya kujisahau sana.
Mtu kama Ghadaffi au Sadam kwa jinsi walivyokuwa hakuna mtu aliwahi kufikiri wangekuwa na mwisho huo.
Binadamu tunatakiwa kuwa humble sana tunapokuwa na mafanikio.
Tusiwaogope wasiojulikana." Ntimutinye ibhitumbalaye"
Sijui kwanini hatokei mtu amshikishe adabu Kagame
Ni vile kakuta watu ni wastaarabu tu ila hawamuogopi na kiuhalisia Kagame hana nguvu kama watu wana
Siyo kwamba hataki kuaachia madaraka Bali wananchi zaidi ya 90%wanataka aendelee kiutawala.Tungepata kiongozi kama kagame,Tanzania yetu ingeng'ara kama nchi za wenzetu vinavyong'ara.Siyo ule upuuzi wa kuuza maliasili HivyoKama sio dikteta mbona hataki kutoka madarakani,anahofia nini???
Kama sio dikteta mbona hataki kutoka madarakani,anahofia nini???
Kutumika kama toilet paper ni kawaida mkuu inategemea unatumika vipi, wapi na nani. If not him someone else atatumika. Hizi kelele zinazopigwa humu kuhusu kagema huwezi kukuta wanapigiwa hao waliopandikiza plants huko DR Kuiba hicho wanachoiba na wala huwezi kumsikia huyo Tishekedi akiwatia mdomoni, hayo madini destinations yake ni wapi? Na kwa vile mzungu anajua kutengeneza shot lazima this time mtu aliwe kichwa. Siku zote ukitokea mtifuano kukiwa na race na mweusi akawepo mweusi atamchagua mweusi mwenzie kuwa mwenye hatia.huyu jamaa anawashika wajinga wajinga ambao wanafall kwenye hizo PROPAGANDA ZAKE.
ANAKWAMBIA KAMA YEYE MBAYA MBONA WEST WANAMPA SUPPORT🤣🤣🤣🤣HUYU AJUI KAMA ANATUMIKA KAMA TOILET PAPER ANAJIONA YEYE SPECIAL😇