Paul Kagame: Hakuna wa kunipa maelekezo, wanaodhani wana nguvu juu yangu hiyo haiwezekani. Sipendi uchokozi

Paul Kagame: Hakuna wa kunipa maelekezo, wanaodhani wana nguvu juu yangu hiyo haiwezekani. Sipendi uchokozi

Huu mgogoro ilitakiwa umkute mzee baba Magu.

Sijui ingekuaje hiiiiiiiiiiiii bhagooosha
magu alishafyata mkia, na yeye ndiye wa kwanza kusubmit kwa kagame hadi akazushiwa hadi walinzi wake walikuwa wanyarwanda. jiwe ndio alipoteza kabisa heshimana hadhi ya Tanzania mbele ya Rwanda, heshima ambayo kikwete aliijenga kwa nguvu sana.
 
magu alishafyata mkia, na yeye ndiye wa kwanza kusubmit kwa kagame hadi akazushiwa hadi walinzi wake walikuwa wanyarwanda. jiwe ndio alipoteza kabisa heshimana hadhi ya Tanzania mbele ya Rwanda, heshima ambayo kikwete aliijenga kwa nguvu sana.
Uzushi!!!
Hakuna credibility kwenye uzushi.
 
Nchi za SADC zinafeli wapi?

Huyu ni wakumtegenezea makundi ya waasi huko kwake ili awe busy na yanayomhusu!

Lt.Gen Nyamwasa na Wanyarwanda walioko uhamishoni wawezeshwe silaha na mafunzo kama enzi za FRELIMO waingie mzigoni.
 
Nchi za SADC zinafeli wapi?

Huyu ni wakumtegenezea makundi ya waasi huko kwake ili awe busy na yanayomhusu!

Lt.Gen Nyamwasa na Wanyarwanda walioko uhamishoni wawezeshwe silaha na mafunzo kama enzi za FRELIMO waingie mzigoni.
Nenda katengeneze kama unao uwezo
 
huyu jamaa anawashika wajinga wajinga ambao wanafall kwenye hizo PROPAGANDA ZAKE.

ANAKWAMBIA KAMA YEYE MBAYA MBONA WEST WANAMPA SUPPORT🤣🤣🤣🤣HUYU AJUI KAMA ANATUMIKA KAMA TOILET PAPER ANAJIONA YEYE SPECIAL😇
Kinachonitisha sio kuanguka kwa Kagame Ila Rwanda itaendeleaje ikiwa tension baina ya watusi na wahutu haijaisha. Na Kagame ni kama uzi mwembamba sana ulioshikilia Rwanda.. Sijui huo uzi ukikatika patakalika kama hakuna strong system
 
Hotuba hii ambavyo iko live sasa haijulikani ni ya lini hasa lakini ni ya hivi karibuni. Akiongea na Waandishi wa habari wa kitaifa na kimataifa.

For protection of our small Nation I do not need some body's permision, I have said it and i am saying on Day broadlight.

If anybody attemps.....aah!

Generali Kagame anasema who is the incharge of This World? does what?

Kwenye mkutano wake na waandishi wa Habari anadai Rwanda haihawahi kamwe kujihusisha na uanzishwaji wa migogoro ndani ya Congo, ingawa kwa muda mrefu watu wamekuwa wakiifanya vita hii kama matatizo ya Rwanda.

Rais huyu Mtabe wa Rwanda anadai kuwa ameshutumiwa kuwa Cruel, Tyrant and Blood Thirsty, anasema hakuna anayeweza kuwa mbaya kiasi hiki na hakuna namna ya kujificha. Na kama ningekuwa mtu wa namna hiyo kama watu wanavyosema badi ningepoteza mvuto kwa watu na hata kwa jamii za kimataifa.

Kama kuna mtu anaweza kuturudisha kwenye nyakati za miaka 30 iliyopita, then we have nothing to loose, we will fight like people have nothing to loose, and some body will pay the price other than ourselves.

" Ntimutinye ibhitumbalaye" akiwapa moyo watu wa Taifa lake. Sijafahamu maana ya msemo huu.

Hut We do not provoke any situation and actually we have been ignoring who provoke us from south, East and West as long as they has not crossed a certain line.

RL unfurl="true" media="youtube:kbiXG_D4SF0"]
View: https://www.youtube.com/live/kbiXG_D4SF0?si=M-YLrPb3eG9K2JW2[/URL]

Mimi naona wanamchelewesha tu huyu, ngoja nimfuate.
 
Raisi wa Rwanda Paul Kagame amesema akipigiwa simu na Felix Tshisekedi ataipokea.
 
Siyo kwamba hataki kuaachia madaraka Bali wananchi zaidi ya 90%wanataka aendelee kiutawala.Tungepata kiongozi kama kagame,Tanzania yetu ingeng'ara kama nchi za wenzetu vinavyong'ara.Siyo ule upuuzi wa kuuza maliasili Hivyo
Dogo kakojoe ulale pumbavu.Unakaa chini kabisa unaandika utoko kama huu.You stupid useless headless chicken😀.Yaani umekuwa mshabiki kiasi kwamba your BRAIN HAS GONE INTO COMA,POOR YOU!!!

Alafu ukute wewe ni mTz ujingaujinga tu ukute hujawahi hata kusafiri kutoka nje ya mkoa uliopo.

📌📌📌Dogo huna akili!!!!
 
Back
Top Bottom