Paul Kagame: Mwanajeshi Aliyelelewa na Tanzania, Shujaa wa Ukombozi wa Afrika

Paul Kagame: Mwanajeshi Aliyelelewa na Tanzania, Shujaa wa Ukombozi wa Afrika

al-baajun

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2015
Posts
283
Reaction score
209
Siku hizi kila mtu anazungumzia Kagame kwa mabaya, mara ooh ni dikteta, mara anatufanyia figisu, mara atoke madarakani. Lakini wachache sana wanajua ukweli wa historia yake na jinsi Tanzania ilivyoshiriki kwenye safari yake ya kuwa kiongozi mkubwa barani Afrika.


Kwanza kabisa, Kagame si mtu wa kuokoteza. Jamaa alipikwa vizuri sana na Tanzania, tena na jeshi letu wenyewe. Miaka ya 70 na 80, Tanzania ilikuwa base kubwa kwa wapigania uhuru wa Afrika. Hapo ndipo akina Kagame na Museveni walikuja kupata mafunzo ya kijeshi na ujasusi. Tena si mafunzo ya kawaida, ilikuwa ni full intelligence training,mbinu za vita, ujasusi, na jinsi ya kuendesha mapambano ya msituni. Hivi vitu vilimwandaa Kagame hadi akawa yule jamaa aliyesimama kidete wakati wa vita vya Rwanda.


Leo watu wanamsahau haraka na kumchora kama adui. Lakini ukweli ni kwamba Kagame ana heshima kubwa kwa Tanzania. Hata ukiangalia historia yake, mara nyingi amekuwa akisema wazi jinsi Tanzania ilivyomsaidia. Sasa hivi watu wanataka kumtupa kwenye shimo la propaganda bila hata kujua alikotoka.


Tanzania siku zote tumekuwa na mkono wa kusaidia wapigania uhuru. Hatukuwasaidia Kagame na Museveni tu, hata akina Samora Machel, Mugabe, na Mandela walihifadhiwa na kupikwa hapa. Hii ni legacy yetu kama taifa, hatuwezi kuipuuza eti kwa sababu ya siasa za leo.

Hata hizi idara zetu za usalama zilishafanya kazi kubwa sana. Leo hii Kagame ni mmoja wa viongozi wenye akili kubwa Afrika, na hilo halitokei kwa bahati tu. Kuna kazi ilifanyika nyuma ya pazia, na Tanzania ilikuwa sehemu kubwa ya hiyo kazi.


Kwa hiyo badala ya kuchukuliwa na propaganda za mitandaoni, tujue kwamba Kagame si mtu wa kubebwa kirahisi. Jamaa alikuwa na vision, akapitia magumu, na Tanzania ilikuwa sehemu ya safari yake. Tunabaki na tofauti zetu kisiasa, lakini tusimsahau kama sehemu ya historia yetu ya ukombozi wa Afrika.
 
Siku hizi kila mtu anazungumzia Kagame kwa mabaya, mara ooh ni dikteta, mara anatufanyia figisu, mara atoke madarakani. Lakini wachache sana wanajua ukweli wa historia yake na jinsi Tanzania ilivyoshiriki kwenye safari yake ya kuwa kiongozi mkubwa barani Afrika.


Kwanza kabisa, Kagame si mtu wa kuokoteza. Jamaa alipikwa vizuri sana na Tanzania, tena na jeshi letu wenyewe. Miaka ya 70 na 80, Tanzania ilikuwa base kubwa kwa wapigania uhuru wa Afrika. Hapo ndipo akina Kagame na Museveni walikuja kupata mafunzo ya kijeshi na ujasusi. Tena si mafunzo ya kawaida, ilikuwa ni full intelligence training,mbinu za vita, ujasusi, na jinsi ya kuendesha mapambano ya msituni. Hivi vitu vilimwandaa Kagame hadi akawa yule jamaa aliyesimama kidete wakati wa vita vya Rwanda.


Leo watu wanamsahau haraka na kumchora kama adui. Lakini ukweli ni kwamba Kagame ana heshima kubwa kwa Tanzania. Hata ukiangalia historia yake, mara nyingi amekuwa akisema wazi jinsi Tanzania ilivyomsaidia. Sasa hivi watu wanataka kumtupa kwenye shimo la propaganda bila hata kujua alikotoka.


Tanzania siku zote tumekuwa na mkono wa kusaidia wapigania uhuru. Hatukuwasaidia Kagame na Museveni tu, hata akina Samora Machel, Mugabe, na Mandela walihifadhiwa na kupikwa hapa. Hii ni legacy yetu kama taifa, hatuwezi kuipuuza eti kwa sababu ya siasa za leo.

Hata hizi idara zetu za usalama zilishafanya kazi kubwa sana. Leo hii Kagame ni mmoja wa viongozi wenye akili kubwa Afrika, na hilo halitokei kwa bahati tu. Kuna kazi ilifanyika nyuma ya pazia, na Tanzania ilikuwa sehemu kubwa ya hiyo kazi.


Kwa hiyo badala ya kuchukuliwa na propaganda za mitandaoni, tujue kwamba Kagame si mtu wa kubebwa kirahisi. Jamaa alikuwa na vision, akapitia magumu, na Tanzania ilikuwa sehemu ya safari yake. Tunabaki na tofauti zetu kisiasa, lakini tusimsahau kama sehemu ya historia yetu ya ukombozi wa Afrika.
Mtu anayesimulia sana alivyokuwa zamani na ubora aliokuwa nao jua kwamba anaongea akiwa apeche hana lolote
Ni sawa tu wewe na hiyo Tanzania yako
Na uhakika ruanda kama anavyoiita kagame iko miaka 20 mbele yetu kijeshi kwa sasa
 
Mtu anayesimulia sana alivyokuwa zamani na ubora aliokuwa nao jua kwamba anaongea akiwa apeche hana lolote
Ni sawa tu wewe na hiyo Tanzania yako
Na uhakika ruanda kama anavyoiita kagame iko miaka 20 mbele yetu kijeshi kwa sasa
Mtoa mada Yuko sahihi lakini au?
 
Wewe ni kati ya wageni/wakimbizi katika nchi yetu.. tutakufuatilia,kuna jambo unafahamu,utasaidia.. kwa sasa hata ukikohoa tu,..
 
Siku hizi kila mtu anazungumzia Kagame kwa mabaya, mara ooh ni dikteta, mara anatufanyia figisu, mara atoke madarakani. Lakini wachache sana wanajua ukweli wa historia yake na jinsi Tanzania ilivyoshiriki kwenye safari yake ya kuwa kiongozi mkubwa barani Afrika.


Kwanza kabisa, Kagame si mtu wa kuokoteza. Jamaa alipikwa vizuri sana na Tanzania, tena na jeshi letu wenyewe. Miaka ya 70 na 80, Tanzania ilikuwa base kubwa kwa wapigania uhuru wa Afrika. Hapo ndipo akina Kagame na Museveni walikuja kupata mafunzo ya kijeshi na ujasusi. Tena si mafunzo ya kawaida, ilikuwa ni full intelligence training,mbinu za vita, ujasusi, na jinsi ya kuendesha mapambano ya msituni. Hivi vitu vilimwandaa Kagame hadi akawa yule jamaa aliyesimama kidete wakati wa vita vya Rwanda.


Leo watu wanamsahau haraka na kumchora kama adui. Lakini ukweli ni kwamba Kagame ana heshima kubwa kwa Tanzania. Hata ukiangalia historia yake, mara nyingi amekuwa akisema wazi jinsi Tanzania ilivyomsaidia. Sasa hivi watu wanataka kumtupa kwenye shimo la propaganda bila hata kujua alikotoka.


Tanzania siku zote tumekuwa na mkono wa kusaidia wapigania uhuru. Hatukuwasaidia Kagame na Museveni tu, hata akina Samora Machel, Mugabe, na Mandela walihifadhiwa na kupikwa hapa. Hii ni legacy yetu kama taifa, hatuwezi kuipuuza eti kwa sababu ya siasa za leo.

Hata hizi idara zetu za usalama zilishafanya kazi kubwa sana. Leo hii Kagame ni mmoja wa viongozi wenye akili kubwa Afrika, na hilo halitokei kwa bahati tu. Kuna kazi ilifanyika nyuma ya pazia, na Tanzania ilikuwa sehemu kubwa ya hiyo kazi.


Kwa hiyo badala ya kuchukuliwa na propaganda za mitandaoni, tujue kwamba Kagame si mtu wa kubebwa kirahisi. Jamaa alikuwa na vision, akapitia magumu, na Tanzania ilikuwa sehemu ya safari yake. Tunabaki na tofauti zetu kisiasa, lakini tusimsahau kama sehemu ya historia yetu ya ukombozi wa Afrika.
💩
 
Kagame ataitaja WESTPOINT kama sehemu yake ya mafunzo na siyo MOROGORO. Hili la kusoma Tanzania na kusaidiwa na Tanzania hadi kushika nchi ni moja kati ya mambo ambayo Kagame anatamani kuyafuta kabisa kwenye Resume yake lakini ndiyo ishatokea.

Kagame hana heshima yoyote kwa Tanzania, ndiyo maana miaka ya 90 alifanya jaribio la kuua wanajeshi wa Tanzania nchini Zaire lakini ikashindikana. Akaenda mbali zaidi kushauriana na Mtutsi mwenzake wa Burundi, Pierre Buyoya kuingiza vikosi nchini Tanzania na kushambulia wakisingizia kwamba kambi za Wahutu zinatoa mafunzo kwa wauaji, nalo likashindikana pia.

Akakaa na kinyongo cha muda mrefu cha kutishiwa na kina Mkapa, akaja kumtolea uvivu Jakaya Kikwete na kutishia kwamba angeidhuru Tanzania. Kiufupi, hatua ambayo wanyarwanda hasahasa watutsi wameifikia kipindi hiki, sidhani kama wanaweza kurudi na kuwa wa REASONABLE BEINGS mpaka madharu fulani yawakute na kuwakumbusha kwa wao ni binadamu kama wengine.

WASWAHILI tunasema hivi, NGOMA IKIVUMA SANA kinachofuata ni kupasuka. Kabla ya Paul Kagame alikuwepo Mobutu na Jonas Savimbi, lakini leo hii kiko wapi ???
 
Siku hizi kila mtu anazungumzia Kagame kwa mabaya, mara ooh ni dikteta, mara anatufanyia figisu, mara atoke madarakani. Lakini wachache sana wanajua ukweli wa historia yake na jinsi Tanzania ilivyoshiriki kwenye safari yake ya kuwa kiongozi mkubwa barani Afrika.


Kwanza kabisa, Kagame si mtu wa kuokoteza. Jamaa alipikwa vizuri sana na Tanzania, tena na jeshi letu wenyewe. Miaka ya 70 na 80, Tanzania ilikuwa base kubwa kwa wapigania uhuru wa Afrika. Hapo ndipo akina Kagame na Museveni walikuja kupata mafunzo ya kijeshi na ujasusi. Tena si mafunzo ya kawaida, ilikuwa ni full intelligence training,mbinu za vita, ujasusi, na jinsi ya kuendesha mapambano ya msituni. Hivi vitu vilimwandaa Kagame hadi akawa yule jamaa aliyesimama kidete wakati wa vita vya Rwanda.


Leo watu wanamsahau haraka na kumchora kama adui. Lakini ukweli ni kwamba Kagame ana heshima kubwa kwa Tanzania. Hata ukiangalia historia yake, mara nyingi amekuwa akisema wazi jinsi Tanzania ilivyomsaidia. Sasa hivi watu wanataka kumtupa kwenye shimo la propaganda bila hata kujua alikotoka.


Tanzania siku zote tumekuwa na mkono wa kusaidia wapigania uhuru. Hatukuwasaidia Kagame na Museveni tu, hata akina Samora Machel, Mugabe, na Mandela walihifadhiwa na kupikwa hapa. Hii ni legacy yetu kama taifa, hatuwezi kuipuuza eti kwa sababu ya siasa za leo.

Hata hizi idara zetu za usalama zilishafanya kazi kubwa sana. Leo hii Kagame ni mmoja wa viongozi wenye akili kubwa Afrika, na hilo halitokei kwa bahati tu. Kuna kazi ilifanyika nyuma ya pazia, na Tanzania ilikuwa sehemu kubwa ya hiyo kazi.


Kwa hiyo badala ya kuchukuliwa na propaganda za mitandaoni, tujue kwamba Kagame si mtu wa kubebwa kirahisi. Jamaa alikuwa na vision, akapitia magumu, na Tanzania ilikuwa sehemu ya safari yake. Tunabaki na tofauti zetu kisiasa, lakini tusimsahau kama sehemu ya historia yetu ya ukombozi wa Afrika.
Hata Rafiki Yake M7 tuliambiwa na Tundu Lissu kwenye conversation with Lawyers alikulia Tanzania.
 
Kagame ataitaja WESTPOINT kama sehemu yake ya mafunzo na siyo MOROGORO. Hili la kusoma Tanzania na kusaidiwa na Tanzania hadi kushika nchi ni moja kati ya mambo ambayo Kagame anatamani kuyafuta kabisa kwenye Resume yake lakini ndiyo ishatokea.

Kagame hana heshima yoyote kwa Tanzania, ndiyo maana miaka ya 90 alifanya jaribio la kuua wanajeshi wa Tanzania nchini Zaire lakini ikashindikana. Akaenda mbali zaidi kushauriana na Mtutsi mwenzake wa Burundi, Pierre Buyoya kuingiza vikosi nchini Tanzania na kushambulia wakisingizia kwamba kambi za Wahutu zinatoa mafunzo kwa wauaji, nalo likashindikana pia.

Akakaa na kinyongo cha muda mrefu cha kutishiwa na kina Mkapa, akaja kumtolea uvivu Jakaya Kikwete na kutishia kwamba angeidhuru Tanzania. Kiufupi, hatua ambayo wanyarwanda hasahasa watutsi wameifikia kipindi hiki, sidhani kama wanaweza kurudi na kuwa wa REASONABLE BEINGS mpaka madharu fulani yawakute na kuwakumbusha kwa wao ni binadamu kama wengine.

WASWAHILI tunasema hivi, NGOMA IKIVUMA SANA kinachofuata ni kupasuka. Kabla ya Paul Kagame alikuwepo Mobutu na Jonas Savimbi, lakini leo hii kiko wapi ???
Mkuu huu sio Mkwala Bubu?
 
Mrundi utamjua tu.Kwani kwenu hakuna JF ya kirundi
Kagame ataitaja WESTPOINT kama sehemu yake ya mafunzo na siyo MOROGORO. Hili la kusoma Tanzania na kusaidiwa na Tanzania hadi kushika nchi ni moja kati ya mambo ambayo Kagame anatamani kuyafuta kabisa kwenye Resume yake lakini ndiyo ishatokea.

Kagame hana heshima yoyote kwa Tanzania, ndiyo maana miaka ya 90 alifanya jaribio la kuua wanajeshi wa Tanzania nchini Zaire lakini ikashindikana. Akaenda mbali zaidi kushauriana na Mtutsi mwenzake wa Burundi, Pierre Buyoya kuingiza vikosi nchini Tanzania na kushambulia wakisingizia kwamba kambi za Wahutu zinatoa mafunzo kwa wauaji, nalo likashindikana pia.

Akakaa na kinyongo cha muda mrefu cha kutishiwa na kina Mkapa, akaja kumtolea uvivu Jakaya Kikwete na kutishia kwamba angeidhuru Tanzania. Kiufupi, hatua ambayo wanyarwanda hasahasa watutsi wameifikia kipindi hiki, sidhani kama wanaweza kurudi na kuwa wa REASONABLE BEINGS mpaka madharu fulani yawakute na kuwakumbusha kwa wao ni binadamu kama wengine.

WASWAHILI tunasema hivi, NGOMA IKIVUMA SANA kinachofuata ni kupasuka. Kabla ya Paul Kagame alikuwepo Mobutu na Jonas Savimbi, lakini leo hii kiko wapi ???
Interesting observation.
 
Siku hizi kila mtu anazungumzia Kagame kwa mabaya, mara ooh ni dikteta, mara anatufanyia figisu, mara atoke madarakani. Lakini wachache sana wanajua ukweli wa historia yake na jinsi Tanzania ilivyoshiriki kwenye safari yake ya kuwa kiongozi mkubwa barani Afrika.


Kwanza kabisa, Kagame si mtu wa kuokoteza. Jamaa alipikwa vizuri sana na Tanzania, tena na jeshi letu wenyewe. Miaka ya 70 na 80, Tanzania ilikuwa base kubwa kwa wapigania uhuru wa Afrika. Hapo ndipo akina Kagame na Museveni walikuja kupata mafunzo ya kijeshi na ujasusi. Tena si mafunzo ya kawaida, ilikuwa ni full intelligence training,mbinu za vita, ujasusi, na jinsi ya kuendesha mapambano ya msituni. Hivi vitu vilimwandaa Kagame hadi akawa yule jamaa aliyesimama kidete wakati wa vita vya Rwanda.


Leo watu wanamsahau haraka na kumchora kama adui. Lakini ukweli ni kwamba Kagame ana heshima kubwa kwa Tanzania. Hata ukiangalia historia yake, mara nyingi amekuwa akisema wazi jinsi Tanzania ilivyomsaidia. Sasa hivi watu wanataka kumtupa kwenye shimo la propaganda bila hata kujua alikotoka.


Tanzania siku zote tumekuwa na mkono wa kusaidia wapigania uhuru. Hatukuwasaidia Kagame na Museveni tu, hata akina Samora Machel, Mugabe, na Mandela walihifadhiwa na kupikwa hapa. Hii ni legacy yetu kama taifa, hatuwezi kuipuuza eti kwa sababu ya siasa za leo.

Hata hizi idara zetu za usalama zilishafanya kazi kubwa sana. Leo hii Kagame ni mmoja wa viongozi wenye akili kubwa Afrika, na hilo halitokei kwa bahati tu. Kuna kazi ilifanyika nyuma ya pazia, na Tanzania ilikuwa sehemu kubwa ya hiyo kazi.


Kwa hiyo badala ya kuchukuliwa na propaganda za mitandaoni, tujue kwamba Kagame si mtu wa kubebwa kirahisi. Jamaa alikuwa na vision, akapitia magumu, na Tanzania ilikuwa sehemu ya safari yake. Tunabaki na tofauti zetu kisiasa, lakini tusimsahau kama sehemu ya historia yetu ya ukombozi wa Afrika.
Hamna lolote huyo ni Jangili kama majangili mengine
 
Hamna lolote huyo ni Jangili kama majangili mengine
Kagame kawa trained Tanzania na ametokea mbali kufika hapo alipofika. Anastahili kuwepo hapo na alipoitoa Rwanda. Uzi huu ni kusifu na ku appreciate Tanzania kutrain viongozi mbalimbali wa nchi za Africa.
 
Mnamtetea na kumpa credit sana
Enzi hizo akiitwa Anko mbele ya banda lake la kuuza mbao lililo itwa KASUKU TIMBER SUPPLY palikuwa na mchizi akicheza mziki kila siku toka asubuhi hadi jioni

Siku nilipo soma gazette eti anko Hamis ni kiongo,I wa wapogana msituni sikuamini macho yangu.
 
Siku hizi kila mtu anazungumzia Kagame kwa mabaya, mara ooh ni dikteta, mara anatufanyia figisu, mara atoke madarakani. Lakini wachache sana wanajua ukweli wa historia yake na jinsi Tanzania ilivyoshiriki kwenye safari yake ya kuwa kiongozi mkubwa barani Afrika.


Kwanza kabisa, Kagame si mtu wa kuokoteza. Jamaa alipikwa vizuri sana na Tanzania, tena na jeshi letu wenyewe. Miaka ya 70 na 80, Tanzania ilikuwa base kubwa kwa wapigania uhuru wa Afrika. Hapo ndipo akina Kagame na Museveni walikuja kupata mafunzo ya kijeshi na ujasusi. Tena si mafunzo ya kawaida, ilikuwa ni full intelligence training,mbinu za vita, ujasusi, na jinsi ya kuendesha mapambano ya msituni. Hivi vitu vilimwandaa Kagame hadi akawa yule jamaa aliyesimama kidete wakati wa vita vya Rwanda.


Leo watu wanamsahau haraka na kumchora kama adui. Lakini ukweli ni kwamba Kagame ana heshima kubwa kwa Tanzania. Hata ukiangalia historia yake, mara nyingi amekuwa akisema wazi jinsi Tanzania ilivyomsaidia. Sasa hivi watu wanataka kumtupa kwenye shimo la propaganda bila hata kujua alikotoka.


Tanzania siku zote tumekuwa na mkono wa kusaidia wapigania uhuru. Hatukuwasaidia Kagame na Museveni tu, hata akina Samora Machel, Mugabe, na Mandela walihifadhiwa na kupikwa hapa. Hii ni legacy yetu kama taifa, hatuwezi kuipuuza eti kwa sababu ya siasa za leo.

Hata hizi idara zetu za usalama zilishafanya kazi kubwa sana. Leo hii Kagame ni mmoja wa viongozi wenye akili kubwa Afrika, na hilo halitokei kwa bahati tu. Kuna kazi ilifanyika nyuma ya pazia, na Tanzania ilikuwa sehemu kubwa ya hiyo kazi.


Kwa hiyo badala ya kuchukuliwa na propaganda za mitandaoni, tujue kwamba Kagame si mtu wa kubebwa kirahisi. Jamaa alikuwa na vision, akapitia magumu, na Tanzania ilikuwa sehemu ya safari yake. Tunabaki na tofauti zetu kisiasa, lakini tusimsahau kama sehemu ya historia yetu ya ukombozi wa Afrika.
Tz imelea madikteta wapuuzi sana!
 
Back
Top Bottom