Paul Kagame ndiye Rais mwenye Intelejensia Kali kwa ukanda huu wa Afrika Mashariki

Paul Kagame ndiye Rais mwenye Intelejensia Kali kwa ukanda huu wa Afrika Mashariki

Mhaya

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2023
Posts
1,831
Reaction score
5,489
Paul Kagame au unaweza kumuita Paulo Kagame, huyu ni kijana wa Nyerere aliyepikwa kijeshi na kuiva vyema hapa nchini Tanzania, aisee mwamba anajiamini sana unajua kwa nini!! Twende kazi!!

Ni rais pekee kutoka eneo la Afrika mashariki ambaye kijasusi tunamuita HIGH PROFILE MISSION ana uwezo mkubwa sana katika intelejensia na hii imekuwa silaha yake kubwa, na ndio maana hata kwenye vita vya Uganda na Tanzania, Kagame ndiye aliyepewa dhamana ya kuongoza intelejensia vita kwa upande wa Tanzania (rejea kikao cha moshi conference )

Intelejensia ya Kagame ni nguzo muhimu sana kwake nyie mnaweza kuona Rwanda ni ndogo sana kijografia lakini ni kubwa sana kiintelehensia na nguvu kubwa na muhimu ya jeshi lolote imara duniani ni intelejensia, kwenye hili la intelejensia sitaki kutoa mifano mingi sana ila itoshe kusema Intelejensia ya Rwanda ni kubwa sana na nchi karibu zote za Afrika mashariki na kusini mwa Afrika wanalijua hilo

Huyu Kagame amepikwa hapo Monduli Arusha katika chuo cha kijeshi alafu akapelekwa Morogoro katika eneo la kimkakati na kufuliwa vyema hivyo analijua jeshi kweli kweli mpaka kuwa katika level ya high profile mission sio jambo dogo

Kagame pia anapata faida kubwa ya kuwa Rais pekee wa Afrika mashariki aliyeishi na kukulia maeneo mengi ya kanda hiyo kuliko Rais mwingine yeyote, Kagame ameishi Tanzania, Uganda, Burundi, Congo, hii inambeba pia kiintelehensia, Kagame ni mtu hatari sana hilo matejoo tunakiri wazi kabisa!!
 
N
Last Born akiongea Sana sio kwamba Wakubwa zake hawawezi kumkomg'ota. Ni last born hivyo mwache ajitutumue
Ni kweli Rwanda ni kama inahurumiwa wananchi wake wametoka kwenye hekaheka ya karne muda sio mwingi kuwarudisha kule tena tutakuwa hatuwatendei haki hao raia..

ila ukicheka na mbwa anakufuata hadi msikitini
 
Huyu jamaa ni mbabe wa vita katika nchi za Africa mashariki hamna jeshi la kumpiga yaani nchi yake ni kama Israel jamaa anaogopeka sana kawafyeka wanajeshi wa nchi mbalimbali pale Kongo na kashikilia goma umekua mkoa wa rwanda yaani anatisha huwezi kuwa na kiongozi mwanamke na kupasua matofali utarajie kumpiga kagame ni ndoto
 
Wanyarwanda naona mmetumwa kufanya information warfare, ili kujenga taswira ya uimara wenu, udhaifu wa adui, mnashinda, mko sahihi na kila.kitu kizuri kuhusu Kagame, Watutsi, Jeshi la Rwanda na waasisi mnaowafadhili kwa kushirikiana na Uganda.

Hizi siku mbili tatu tutawafahamu wote kwa nyuzi zenu.
 
Naona wengi mnaibeza eti Kwa kusema ardhi Yao ndogo mala population yao watu ni 14m nawaambia siku mkiigusa hiyo nchi Kwa ubora wa jeshi lake mtaaibika vibaya sana msiishi Kwa historia uzuri kagame kashasema anayetaka vita Naye ajaribu zone moto wake huyu ni netanyahu wa Africa maana mataifa yote ya Africa yanamuogopa vibaya sana
 
Naona wengi mnaibeza eti Kwa kusema ardhi Yao ndogo mala population ya watu ni 14m nawaambia siku mkiigusa hiyo nchi Kwa ubora wa jeshi lake mtaaibika vibaya sana msiishi Kwa historia uzuri kagame kashasema anayetaka vita Naye ajaribu zone moto wake huyu ni netanyahu wa Africa
Acha uchoko, huyo kagame boya kama wewe tu
 
Naona wengi mnaibeza eti Kwa kusema ardhi Yao ndogo mala population ya watu ni 14m nawaambia siku mkiigusa hiyo nchi Kwa ubora wa jeshi lake mtaaibika vibaya sana msiishi Kwa historia uzuri kagame kashasema anayetaka vita Naye ajaribu zone moto wake huyu ni netanyahu wa Africa maana mataifa yote ya Africa yanamuogopa vibaya sana
Hata Russia tuliambiwa haya haya lakini huu sijui mwaka wa ngapi anatolewa jasho na Ukrein. Naona week yote hii wanyaruanda mmejipanga kuleta vinyuzi vyenu vya kuwatishia watu wazima nyau,
 
Kwamba Afrika hakuna Nchi inaweza kumpiga Pk? Endeleeni kutiana ujinga
 
Naona wengi mnaibeza eti Kwa kusema ardhi Yao ndogo mala population yao watu ni 14m nawaambia siku mkiigusa hiyo nchi Kwa ubora wa jeshi lake mtaaibika vibaya sana msiishi Kwa historia uzuri kagame kashasema anayetaka vita Naye ajaribu zone moto wake huyu ni netanyahu wa Africa maana mataifa yote ya Africa yanamuogopa vibaya sana
Nchi yenyewe vijana kutwa kukata mauno umbea udaku kufatiliaaa
Ndy wakapambane na rwandaaa m23 watanyolewaaaaaa

Ova
 
Back
Top Bottom