Paul Kagame ndiye Rais mwenye Intelejensia Kali kwa ukanda huu wa Afrika Mashariki

Paul Kagame ndiye Rais mwenye Intelejensia Kali kwa ukanda huu wa Afrika Mashariki

Paul Kagame au unaweza kumuita Paulo Kagame, huyu ni kijana wa Nyerere aliyepikwa kijeshi na kuiva vyema hapa nchini Tanzania, aisee mwamba anajiamini sana unajua kwa nini!! Twende kazi!!

Ni rais pekee kutoka eneo la Afrika mashariki ambaye kijasusi tunamuita HIGH PROFILE MISSION ana uwezo mkubwa sana katika intelejensia na hii imekuwa silaha yake kubwa, na ndio maana hata kwenye vita vya Uganda na Tanzania, Kagame ndiye aliyepewa dhamana ya kuongoza intelejensia vita kwa upande wa Tanzania (rejea kikao cha moshi conference )

Intelejensia ya Kagame ni nguzo muhimu sana kwake nyie mnaweza kuona Rwanda ni ndogo sana kijografia lakini ni kubwa sana kiintelehensia na nguvu kubwa na muhimu ya jeshi lolote imara duniani ni intelejensia, kwenye hili la intelejensia sitaki kutoa mifano mingi sana ila itoshe kusema Intelejensia ya Rwanda ni kubwa sana na nchi karibu zote za Afrika mashariki na kusini mwa Afrika wanalijua hilo

Huyu Kagame amepikwa hapo Monduli Arusha katika chuo cha kijeshi alafu akapelekwa Morogoro katika eneo la kimkakati na kufuliwa vyema hivyo analijua jeshi kweli kweli mpaka kuwa katika level ya high profile mission sio jambo dogo

Kagame pia anapata faida kubwa ya kuwa Rais pekee wa Afrika mashariki aliyeishi na kukulia maeneo mengi ya kanda hiyo kuliko Rais mwingine yeyote, Kagame ameishi Tanzania, Uganda, Burundi, Congo, hii inambeba pia kiintelehensia, Kagame ni mtu hatari sana hilo matejoo tunakiri wazi kabisa!!
Hana lolote msimpe sifa ambazo hastahili yeye atawamudu wananchi wake huko Rwanda
 
Naona wengi mnaibeza eti Kwa kusema ardhi Yao ndogo mala population yao watu ni 14m nawaambia siku mkiigusa hiyo nchi Kwa ubora wa jeshi lake mtaaibika vibaya sana msiishi Kwa historia uzuri kagame kashasema anayetaka vita Naye ajaribu zone moto wake huyu ni netanyahu wa Africa maana mataifa yote ya Africa yanamuogopa vibaya sana
Ukiachana na maswala ya congo Kuna vita gani ya maana aliyopigana ndani ya Africa mashariki akashinda?
 
Wewe Mwarabu huwezi kuhoji uraia wangu mimi Mwafrika rudi kwenu Yemen ukafe njaa.
Wewe ruka ruka ila wewe si mtanzania.

Na CDF alishalizungumzia hili kuwa raia ambao si wa taifa hili wanapewa nafasi ndani ya nchi.

Hili halitaishia hapa tu bali litarudi mpaka chini.

Yaani wewe utakuwa kwenye majukwa ya mpira na celebrity na kimatifa. Ndipo utakapo changia mada huko! Mambo ya Tanzania hayakuhusu.

By the way, karibu Mandi, ijumaa leo!
 
Wewe Mwarabu una utanzania gani hadi kuhoji uraia wangu.

Mimi ni Mwafrika katika Bara langu.
Sasa Sheikh imhotep

Unapata ugumu gani kusema kuwa una asili ya Rwanda ndugu yangu?

Haya! mimi ni mtanzania nina asili ya Yemen.

Wewe ni mtanzania wa asili ya wapi?
----------------------
Usisahau Ijumaa leo karibu Mandi.
 
Unapata ugumu gani kusema kuwa una asili ya Rwanda ndugu yangu?
Nimeshakwambia na hutaki kunielewa kwamba sio Watutsi wote ni Wanyarwanda.

Karimu Amstel Beer sheikh. Ijumaa njema.
 
Huyu jamaa ni mbabe wa vita katika nchi za Africa mashariki hamna jeshi la kumpiga yaani nchi yake ni kama Israel jamaa anaogopeka sana kawafyeka wanajeshi wa nchi mbalimbali pale Kongo na kashikilia goma umekua mkoa wa rwanda yaani anatisha huwezi kuwa na kiongozi mwanamke na kupasua matofali utarajie kumpiga kagame ni ndoto
Aliyekuuzia bangi mwambie apunguze vichanganyio
 
Paul Kagame ni kiwavi anayejifanya dubwana kuubwa la kutisha.
Wanyarwanda mnapa kichwa kuna siku mtajutia maneno yenu
 
Huyu jamaa ni mbabe wa vita katika nchi za Africa mashariki hamna jeshi la kumpiga yaani nchi yake ni kama Israel jamaa anaogopeka sana kawafyeka wanajeshi wa nchi mbalimbali pale Kongo na kashikilia goma umekua mkoa wa rwanda yaani anatisha huwezi kuwa na kiongozi mwanamke na kupasua matofali utarajie kumpiga kagame ni ndoto
sio kweli, mfano jeshi la tanzania au kenya kagame anapigwa vizuri tu..sema sasa shida akishapigwa ule ukanda wote unachafuka wahutu na watusi wanarudi kuchinjana upya..hapo ndo sehem ambapo tunaogopa.. damu itamwagika sana yani. waache washikabne mashati wenyewe kwa wenyewe ili wasipate wa kumnyooshea kidole.. maana pale rwanda kunuka lazima patanuka ni suala la muda tuu
 
Naona wengi mnaibeza eti Kwa kusema ardhi Yao ndogo mala population yao watu ni 14m nawaambia siku mkiigusa hiyo nchi Kwa ubora wa jeshi lake mtaaibika vibaya sana msiishi Kwa historia uzuri kagame kashasema anayetaka vita Naye ajaribu zone moto wake huyu ni netanyahu wa Africa maana mataifa yote ya Africa yanamuogopa vibaya sana
Tanzania inahitaji wiki kuiteka Rwanda. Kagame anajificha nyuma ya M23 tena kwa msaada wa mabeberu kufanya uhalifu hapo Congo, hana cha zaidi. Kwa East Afrika labda amsumbue Burundi, nayo hakuna uhakika wa ushindi.
 
Upo sahihi kiasi lakini ni mjinga sana!

Huwezi endesha nchi Kwa mkono wa chuma halafu ukawa salama maisha yako yote na kizazi chako!

Angetengeneza katiba nzuri na sheria Kali Ili Kila Raise anapochaguliwa awe chini ya katiba na dola kuliko kuwa juu ya katiba ingesaidia future ya Rwanda kuliko one man shows Kwa miaka zaidi ya 20.

Kwa maana akiondoka madarakani na Rwanda iliyopo itakufa kabisa kwasababu itabidi arithishe madaraka ambayo sio afya Kwa taifa la Rwanda!!

Miaka 15 ingetosha kuunda katiba Kali kisheria hata akiiingia mhutu ikulu hawezi Tanya yakwake bali matakawa ya dola kinyume na hapo analiwa kichwa na dola!!
 
Tanzania inahitaji wiki kuiteka Rwanda. Kagame anajificha nyuma ya M23 tena kwa msaada wa mabeberu kufanya uhalifu hapo Congo, hana cha zaidi. Kwa East Afrika labda amsumbue Burundi, nayo hakuna uhakika wa ushindi.
Endelea kuota
 
Back
Top Bottom