Paul Kimiti: Utaratibu wa mtu mmoja kutembea nchi nzima kufuatilia matatizo ya watu hauwezi kufanikiwa

Paul Kimiti: Utaratibu wa mtu mmoja kutembea nchi nzima kufuatilia matatizo ya watu hauwezi kufanikiwa

Enzi zao kulikuwa na mifumo thabiti ya kutatua matatizo ya wanaichi.Wakuu wa wilaya na Mikoa walikuwa na muda wa kushughulikia matatizo ya watu.Hivi Sasa muda wa kuwepo ofisini hawana tokana na mfumo ulivyo.Inaonyesha wewe haukuwepo zama hizo ndiyo maana unamtukana Mzee huyu.
Nimesema hakuna mifumo imekuwepo ya maana niambie nani aliiondoa?
Awamu ya kwanza ilipinga unyojaji lkn wezi walikuwa wanaua shitika moja na wanaenda lingine.

Awamu ya pili miiko ya uongozi iliuza mali na mashirika ya umma kwa bei za kutupa kwa lugha ya restucturing NBC CRDB ni benki za mfano wakimaliza wanaanzisha benki nyingine.
Ilifuata ndio kabisa miiko ya uongozi ikatupwa viongozi hao hao ndio wafanya biashara na kila aina ya upotevu. List inaenda hivyo hivyo kwa miaka yote ya uhuru. Ufisadi na rushwa hazijawahi kumuacha mtu maskini na haki. Ndio maana anapotokea mtu hata iwe kwa maigizo kuwa anatatua kero watu humuendea.
Kifupi unavyoona watu wanaenda kutafuta suluhu itoshe kusema haki haijawahi kutendeka. Sasa mzee atulie ale keki
 
Nadhani hujamuelewa mtoa Mada, yeye ajamlaumu Makonda na utaratibu anao ufanya ila alichosema siyo suruhisho la kutatua matatizo ktk nchi. Kinachotakiwa ni serkali ikishirikiana na chama tawala kujenga misingi imara ya mifumo yote ya utoaji haki.kama ,Mahakam, Polisi, Idara za Ardhi, Tra, halmashauri, Mifumo ya kodi, mifumo ya biashara, kilimo, ufugaji nakadhalika. Ila mtu mmoja kupanda jukwaani nakuanza kuwaita mtendaji mmoja mmoja wa serikali, mfumo huo hauwezi kutatua hata kiduchu matatizo ya wananchi, kwamfano ukienda magerezani kuna maelfu ya watu wanamiaka zaidi ya kumi wapo mahabusu wanasubiri kesi zao zisikilizwe au zinaendelea bila kujulikana zitakwisha lini, wizara ya Ardhi inaongoza kusababisha migogoro ya Ardhi kila kukicha, maafisa TRA wanashutumiwa na wafanya biashara kwa kuwabambikia kesi, Tume ya uchagizi inalaumiwa kwa kuwaweka watu ambao hawakuchaguliwa na wananchi. Hivi ndivyo vitu vinatakiwa kufanyiwa kazi, Makonda ni mtu leo yupo kesho hayupo, ila kukiwa na taasisi imara zinazoweza kujisimamia na kusimamiwa, wala hakuna mtu atakaye kwenda kwa makonda maswala yote yataishia ktk vyombo vinavyohusika.
Ahsante kwa kudadavua.Uelewa wa vijana wengi ni kiduchu sana.Maelezo aliyosema Mzee wetu na michango yao ni nje kabisa ya mada.
 
Mbona mnaweweseka sana Jamani kwani Makonda anachofanya si ndio kazi zenyewe za chama cha siasa? Mlitaka akae tuu ndani kule lumumba? Wacha atembee asaidie kuonesha shida zilizopo!

Shida wengi mnaona kama Makonda anachukua point kwa wananchi ndio maana mnajikuta mna mjadili yeye tuu na CCM yake na ndilo walilotaka….
Ni wapi katajwa Bashite ndugu
 
Kumbe Paul Kimiti bado yupo?! Nimemsikia akizumzungumzia Lowassa kwa undani na amezungumzia mengi kuhusu uongozi wa nchi na wanasiasa.

Mheshimiwa Kimiti anasema viongozi wengi hawana misingi ya uongozi na hawana maarifa.

Bila kumtaja mtu, Kimiti amesema utaratibu wa kumtuma mtu mmoja kuzunguka nchi nzima kutatua matatizo ya watanzania hauwezi kufanikiwa!
Mzee atulie. Wivu tu.
 
Kumbe Paul Kimiti bado yupo?! Nimemsikia akizumzungumzia Lowassa kwa undani na amezungumzia mengi kuhusu uongozi wa nchi na wanasiasa.

Mheshimiwa Kimiti anasema viongozi wengi hawana misingi ya uongozi na hawana maarifa.

Bila kumtaja mtu, Kimiti amesema utaratibu wa kumtuma mtu mmoja kuzunguka nchi nzima kutatua matatizo ya watanzania hauwezi kufanikiwa!
Huyo amekuwa mbuge wa Sumbawanga kwa miaka zaidi ya 20, hakufanikiwa hata kuitoa lami Tunduma kuileta sumbawanga katika kipindi chake,anaongea nini huyo mzee

Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app
 
Binafsi nimekuelewa na nimemuelewa mtoa hoja Paul Kimiti pia anachokifanya makonda Kwa nafasi yake kama mwenezi yupo sahahihi tatizo la kinakimiti na watu wengi wanatakiwa kuelewa kwamba hao watatua matatizo ya wananchi wapo huko ila hawawajibiki na wananchi hawatatuliwi shida zao na mishahara wanachukua Kila mwezi Sasa wangekuwa responsible hayo matatizo ya wananchi yasingefika Kwa Makonda .Watumishi wa Umma wamekuwa miungu watu huko walipo na hawamsaidii mh Rais maana amewapa wafanye Kwa niaba yake hawafanyi matokea yake mpaka wananchi walalamike na jambo limfikie yeye kutatua Tena

Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
Sio kazi ya katibu mwenezi wa ccm wala ccm yenyewe kutatua matatizo ya wananchi bali serikali. Jukumu la kuisimamia serikali ni la bunge sio ccm, acheni ujinga. Mwenezi wa ccm kazi yake ni kukitangaza chama na sera zake kwa wanachama na wafuasi wao.

Kwani katibu wa itikadi na uenezi ccm ana tofauti gani na mwenzake wa CHADEMA, act na cuf mbele ya sheria za nchi? Rasimu ya Jaji Warioba ilikataliwa na ccm kwa sababu wasingeendelea kujinufaisha mkaunga mkono. Hayo yote ni sababu ya madaraka makubwa ya rais. Kwenye katiba bora kila mtu angewajibika kwa sehemu yake akiwemo rais.

Kungekuwa na utawala wa haki bashite wenu huyo angekuwa jela.
 
Mbona mnaweweseka sana Jamani kwani Makonda anachofanya si ndio kazi zenyewe za chama cha siasa? Mlitaka akae tuu ndani kule lumumba? Wacha atembee asaidie kuonesha shida zilizopo!

Shida wengi mnaona kama Makonda anachukua point kwa wananchi ndio maana mnajikuta mna mjadili yeye tuu na CCM yake na ndilo walilotaka….
Sasa matatizo wayatengeneze wao, hao hao tena wanajifanya kutaka kuyatatua hizo sio hadaa? Zile ni porojo tu kama za vijieweni, eti natoa siku nne kiwanja cha huyu kirudishwe wakati kesi ipo mahakamani, leo ni wiki ya pili hakuna kilichofanyika!! Ila kosa ni wananchi kuwa mapimbi
 
Mbona mnaweweseka sana Jamani kwani Makonda anachofanya si ndio kazi zenyewe za chama cha siasa? Mlitaka akae tuu ndani kule lumumba? Wacha atembee asaidie kuonesha shida zilizopo!

Shida wengi mnaona kama Makonda anachukua point kwa wananchi ndio maana mnajikuta mna mjadili yeye tuu na CCM yake na ndilo walilotaka….
Wewe ni moja ya wapumbavu wa nchi hii? Hakuna Taifa hata moha hata ncji za jirana, ambako wanatumia huu uhuni,

Mkurugenzu wa Halmashauru yupo au hayupi? kama ameshindwa kazi anangoja nini kufukuzwa?

Mkuu wa wilaya je? DAS je? Mkuu wa mkoa je?

Anacho fanya maknda ni hadaaa kwa raia wasio jitambua kama wewe
 
Afanikiwe kujenga lami yote hiyo kwa fedha zipi? Hivi bado mnafikiri wabunge ndio watatujengea barabara?
Una shida,
Kwahiyo tunawapeleka bungeni wakagonge meza? Hujui kuwa kazi ya mbunge ni kusema matatizo ya jimbo kwa serikali na kung'ang'ania mpaka yatatuliwe?
Kwingine barabara zilifika mapema kwa hela ipi?

Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app
 
Yeye alifanya nini cha maana kwenye uongozi wake kule Sumbawanga? akae kwa kutulia amuache mwenezi aendelee kupiga spana.

Mzee Kimiti was failed leader hakuna cha maana chochote alichofanya.
Hicho ki english sasa. 🤣
 
Una shida,
Kwahiyo tunawapeleka bungeni wakagonge meza? Hujui kuwa kazi ya mbunge ni kusema matatizo ya jimbo kwa serikali na kung'ang'ania mpaka yatatuliwe?
Kwingine barabara zilifika mapema kwa hela ipi?

Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app
Mbunge hata apige kelele kiasi gani kama serikali haina hela hakuna kitakachofanyika. Sio wabunge walijenga Dar ni historia na umuhimu wa Dar kama makao makuu ya nchi na kitovu cha biashara.
 
Back
Top Bottom