Paul Makonda amkabidhi Prof Jay millioni 20 ,Atoa ahadi nzitoo ya kumtafutia nyumba upanga ili kuwa karibu na hospitali.

Hongera Makonda kwa kumpigania mnyonge prof J ambae ni msanii maarufu na mbunge mstaafu
 
Mmhh! Kama Makonda ana Mungu basi huyo "mungu" atakuwa siyo yule anayebainishwa na vitabu vya dini.
 
Mmhh! Kama Makonda ana Mungu basi huyo "mungu" atakuwa siyo yule anayebainishwa na vitabu vya dini.
Ndio maana nikasema kuwa Mungu siyo mwanadamu na wala hana mawazo ya kibinadamu wala kuwa na chuki binafsi kama ilivyo kwa mwanadamu.
 
Asante kwa taarifa Mrs Joseph Haule na hongera kwa kumsemea mmeo.
TMy
 
Wivu gani wewe chawa; kumsaidia mtu mwenye shida sio sifa bali ni wajibu wa binadamu mwenye hekima!
Sasa mbona hekima hizo hazipo ndani ya CHADEMA? Mbona moyo huo wa kusaidia huukuti ndani ya mioyo ya viongozi wa CHADEMA? Mbona hisia hizo za huruma huwezi kuziona ndani ya vifua na nyuso za wana CHADEMA zaidi ya janja janja tu?
 
Povu likizidi kanye boga
 
Lissu na kelele zake million 2 tena y ahadi mpaka Leo apokei simu๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜‚
Hahaha kazi kubwabwaja tu!Na Lema mwizi wa magari hajatimiza ahadi
Wao CHADEMA watakujali na kukuchekelea wakiona unawapatia vijisenti lakini ukipatwa na matatizo wanakuruka kama mwewe aliyenyakua kifaranga.
Unakumbuka kipindi cha ajali ya MV Nyerere Ukerewe wote walipotezea ikabidi mbunge wa Ukerewe ahame! Wabinafsi na wana Ukabila na ukanda sana!
 
Hahaha kazi kubwabwaja tu!Na Lema mwizi wa magari hajatimiza ahadi

Unakumbuka kipindi cha ajali ya MV Nyerere Ukerewe wote walipotezea ikabidi mbunge wa Ukerewe ahame! Wabinafsi na wana Ukabila na ukanda sana!
CHADEMA ina laana kubwa sana inayoiandama .ndio maana kwa sasa ni kama wanajenga mnara wa babeli.kila mtu na lugha yake .
 
Makonda hana shida na kupora nyumba ya GSM yeye mwenyewe ana majumba tena Sehemu za Maana kama Masaki Dar,Capri point Mwanza na kingamboni ndo usiseme!
Kwa kifupi jamaa hana njaa!
Achana na huyo mwenye moyo wa wivu,chuki na roho mbaya.
 
Asante kwa taarifa Mrs Joseph Haule na hongera kwa kumsemea mmeo.

TMy
Acha dharau ndugu yangu .tangia lini mwanaume akawa mrs? Hata kama una chuki na mimi basi jaribu kuwa na heshima au kuheshimu utu wa mtu na siyo kuandika kwa lugha za dhihaka na kudhalilishana.
 

Ni hivi, msitumie matatizo ya mtu kujisafisha au kupanda ngazi za siasa. Huo si tu ni uhuni bali ujinga na upumbavu.

Mngalikuwa mnajali mungemuuliza huyo 'Boss' wenu, nini kilitokea Cocoa Beach. Vile Viroba mto Ruvu, wale waliopotea na kwanini alikwenda Dodoma siku ile.
Wiki hii kuna nyuzi nyingi za kumtukuza, tunajua ! kinachotusukuma kusema hapa ni udhalili wa kutumia maumivu ya mtu kujitangaza.

Hili lipo chini ya kiwango, acheni haya mambo ya njaa. Kuna mambo mengi ya kitaifa na ya muhimu kwa umma kuliko kueneza uchawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ