SK2016
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 8,016
- 13,780
Kweli kabisaaa,
Watu wanaozea magereza kwa makosa kama hili la Lulu,
Inakuwaje yeye apigwe 2 yrs wengine hata kesi zao hazisikilizwi hata leo?
Halafu anajitokeza mtu Dady is coming.....!
Wewe ni dady kwa Lulu tu?
Watu kama nyie ndiyo mnatusababishia mvua zisinyeshe Tz
Watu wanaozea magereza kwa makosa kama hili la Lulu,
Inakuwaje yeye apigwe 2 yrs wengine hata kesi zao hazisikilizwi hata leo?
Halafu anajitokeza mtu Dady is coming.....!
Wewe ni dady kwa Lulu tu?
Watu kama nyie ndiyo mnatusababishia mvua zisinyeshe Tz