madam boss
JF-Expert Member
- Aug 19, 2017
- 701
- 742
Umeongea kweli Kaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hujaelewa wewe kichwa bogus wenzio tumeelewaWe fala kweli..mtu kaandika dady is coming tu..una anza kulia lia hujajua hata ka maanisha nn.
Mithuyuuuungoj tuone
Mkuu ameandika makonda unalalamika
Mbona kibatala kasema anaenda kukata rufaa haujasema chochote
Au kisa makonda ni kundi Fulani
Na kibatala ni kundi lenu
Tujue kila mtu ananafasi ya kuzungumza anacho amini kitamsaidia yeye na si wengine
Usishangae sana nchi hii ina wenyewe hivi unakumbuka kesi ya Ditopile ya mauaji ilivyoisha?
[emoji120] [emoji120] [emoji120]Umeongea kweli Kaka
patamu apoSeries inaendelea. Kila episode ikija inaifunika ya mwanzo
Wait a minute.......kuua bila kukusudia UNATAKIWA kua na siraha..!!!Kuua bila kukusudia unatikiwa uwe na siraha sasa LULU siraha hakua nayo, alijua mdogo weight ya kanumba na LULU hazina uwiano mdogo, how. @Kibatala kashindwa ii kesi ni kuonesha how incompetent he is, au anachukulia kesi kisiasa,
..Hata kama Kanumba alikua kalewa, bado itatafsiriwa kama self defense kwa sabab lulu alukua bado mdogo, yaan This case inanipa bells, Something is missing
Unatakiwa umuattack mtu,ndio tafsir yangu, lakin bado ii kesi inaukakasi, wanaoitafsir kua lulu ameua bila kukusudia wana underate sheriaWait a minute.......kuua bila kukusudia UNATAKIWA kua na siraha..!!!
Unatafasiri sheria ya wapi hiyo!?
Bush lawyerKuua bila kukusudia unatikiwa umuattack mtusasa LULU hakua hivyo, alikua mdogo weight ya kanumba na LULU hazina uwiano mdogo, how. @Kibatala kashindwa ii kesi ni kuonesha how incompetent he is, au anachukulia kesi kisiasa,
..Hata kama Kanumba alikua kalewa, bado itatafsiriwa kama self defense kwa sabab lulu alikua bado mdogo, yaan This case inanipa bells, Something is missing