Paul Makonda amwambia Lulu "Dady is coming"

Paul Makonda amwambia Lulu "Dady is coming"

We fala kweli..mtu kaandika dady is coming tu..una anza kulia lia hujajua hata ka maanisha nn.
 
Napata Ukakasi Kwa Kauli Aliyotoa Muheshimiwa Paulo Christian Makonda Mkuu Wa Mkoa wa Dar
Alimaanisha Dady Yupi!!! .LAZARO Nyalandu ,Tundu Lissu Or Jpm??
We Umemuelewaje ....!!!
 
Napata Ukakasi Kwa Kauli Aliyotoa Muheshimiwa Paulo Christian Makonda Mkuu Wa Mkoa wa Dar
Alimaanisha Dady Yupi!!! .LAZARO Nyalandu ,Tundu Lissu Or Jpm??
We Umemuelewaje ....!!!
Daddy wewee ndio uendee
 
Wenye mtoto wanajijua kaka. Usikute mtu alibanwa na hisia hadi akashindwa kujizuia akajikuta kasema iliyokua siri
 
Kwa jina la baba...la mwana na la roho mtakatifu...
Nahisi anamzungumzia baba huyo wa kwa jina la baba...
 
Back
Top Bottom