Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We soma tu chief, utazifanyia conclusion 9/12.Chief mm nasoma comments
Kweli mkuuWe soma tu chief, utazifanyia conclusion 9/12.
Mtoto aliua mtu aliyekuwa akimbaka mara kwa mara!✍[emoji818]Lulu lazma atetewe kwa nguvu zote na wenye akili, no mattter aliua au la alikuwa anajitetea asibakwe.....
Naungana na Makonda kumtetea Lulu, mtu asiye na hatia anafungwa miaka miwili... Shubamitty
Baada ya Michael Elizabeth maarufu kama Lulu kuhukumiwa kifungo cha miaka miwili jela, mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam ndugu Paul Makonda kupitia akaunti yake rasmi ya Instagram ameandika maneno haya kwenye picha ya Lulu aliyoambatanisha "Stay strong, dady is coming"
Kwanza najiuliza huyo dady ni nani? Pili Paul Makonda alistahili kwanza kuelewa kuwa hata mama yake marehemu Kanumba ana uchungu wa kumpoteza mwanaye kipenzi na kwa hakika Lulu alistahili hukumu.
Tufike mahali tuache kuweka mahaba kwenye kila jambo, mumeona mrembo amepata haki yake sasa mnaanza kulialia. Tuacheni kuweka mbele mahaba hadi kuzuia haki. Eti dady.....!
View attachment 630076
ATAMTOA MKUU KWA USHAWISHI WA BASHITE,BASHITE AKISEMA LAZIMA HIVYO,SIZO HANA UJANJA KWA BASHITE,YEYE NDIYE Anaewajua waganga wanamsaidia sizo.Baada ya Michael Elizabeth maarufu kama Lulu kuhukumiwa kifungo cha miaka miwili jela, mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam ndugu Paul Makonda kupitia akaunti yake rasmi ya Instagram ameandika maneno haya kwenye picha ya Lulu aliyoambatanisha "Stay strong, dady is coming"
Kwanza najiuliza huyo dady ni nani? Pili Paul Makonda alistahili kwanza kuelewa kuwa hata mama yake marehemu Kanumba ana uchungu wa kumpoteza mwanaye kipenzi na kwa hakika Lulu alistahili hukumu.
Tufike mahali tuache kuweka mahaba kwenye kila jambo, mumeona mrembo amepata haki yake sasa mnaanza kulialia. Tuacheni kuweka mbele mahaba hadi kuzuia haki. Eti dady.....!
View attachment 630076
Ndo maana!9 December
Umemwelewa DAB? Nani kakuambia Daddy anafwata sheria?Msamaha wa Rais huhusisha waliotumikia adhabu walau robo hivyo Desemba hatoki labda April
Una uhakika hajawahi?au mnafahamiana?mkuu ulivyokuwa na hasira utadhani ulishawahi kubakwa
Kwa uandushi huu ndiyo umethubutisha pasipo shaka kuwa wewe ni demduh jamani wewe kama sio mara ya pili unaniambia basi ni mtu mwingine wa pili ananiambi a,acheni hizo bana,mi sio demu kwanza saa hii hapa mwanza kuna ka baridi nataka nikapige viroba vya empire nipate Yumani fesi nikapige papuchi ya kisukuma walau kibao kimoja
Umemwelewa DAB? Nani kakuambia Daddy anafwata sheria?